Wakili Mwabukusi, Emmanuel Masonga na Mdude Nyagali wakamatwa na Polisi Mikumi wakiwa safarini kuelekea Dar es Salaam

Wakili Mwabukusi, Emmanuel Masonga na Mdude Nyagali wakamatwa na Polisi Mikumi wakiwa safarini kuelekea Dar es Salaam

Kabisa mkuu polisi wanafikir wanawakomoa kwa kuwakamata wapinzani ovyo ovyo bila kujua wanawapa ujasir wa kupambana, jeshi la ovyo kabisa Jana nimelisikia kuu lao eti watu wanataka kumpindua SSH kwa kufanya maandamano nchi nzima yaan jitu cheo kikubwa limeitisha press kabisa linaongea ujinga tu

Hakuna kuhisi kukomolewa ukizingua lazima ukamatwe nchi ina uhuru ila usipitilize
Kuanzisha siasa za chuki ni uhaini
 
Ndio uboya wa watz wengi yaani kila habar inayohusu upinzani wanaichukua kama ilivo bila hata kuipima wao
Wapinzani wanajua wanachofanya sio sahihi ila wao shida yao ni kushika dola tuh
Hatuezi wapa nchi watu ambao wanabadili kauli na kupotosha wananchi kwa ajili yao
Spika aliyepita aliwahi kuuliza Bunge kama kweli sheria waliyoipitisha waliipitisha wao kweli. Hii ni baada ya sheria hiyo kurudishwa baada ya kuonekana ina dosari nyingi sana. Hilo ni Bunge la CCM na wao pamoja na Spika hawakujisumbua kusoma mswaada walioletewa na serikali ya chama chao. Hapa asiyepima mambo ni nani?
Sio dhambi kutaka kushika dola. Ndio maana hata CCM kila baada ya muda wanarudi kwa wananchi kuwaomba wawakubali ili waendelee kushika dola. Hivyo hivyo kwa vyama vya upinzani. Chama cha upinzani kisichokuwa na lengo la kushika dola kinapoteza sifa ya kuwa chama cha siasi na kinabakiza ya u NGO.

Amandla...
 
Mikumi walikuwa wanafanya mkutano?

Unakamatwa kwa kosa ambalo ushafanya au kama ukipanga kulifanya police wakajua bhc popote ulipo utakamatwa
Kwani ukiiba kariakoo ukakamtwa ubungo utasema umeonewa ujaiba ubungo?
 
Spika aliyepita aliwahi kuuliza Bunge kama kweli sheria waliyoipitisha waliipitisha wao kweli. Hii ni baada ya sheria hiyo kurudishwa baada ya kuonekana ina dosari nyingi sana. Hilo ni Bunge la CCM na wao pamoja na Spika hawakujisumbua kusoma mswaada walioletewa na serikali ya chama chao. Hapa asiyepima mambo ni nani?
Sio dhambi kutaka kushika dola. Ndio maana hata CCM kila baada ya muda wanarudi kwa wananchi kuwaomba wawakubali ili waendelee kushika dola. Hivyo hivyo kwa vyama vya upinzani. Chama cha upinzani kisichokuwa na lengo la kushika dola kinapoteza sifa ya kuwa chama cha siasi na kinabakiza ya u NGO.

Amandla...

Sahihi kabisa ila upinzani haufanyi kuleta chuki kwa wananchi na kuchochoea maandamano ambayo hoja zake ziko wazi
Wao wanachofanya ni kueka mpasuko tuh
Kama kwel umesikiliza mikutano yao mingi utajua ilo
 
Si ndio mnasikiliza sana nyie kwa lolote analosema?
Unadhani kwakuwa tunamkubali basi kila asemacho tunafuata, au unadhani tunamsubiri hadi yeye aseme? Lisu ni mpambanaji mwenzetu, na sio mtawala wetu.
 
Hawa jamaa wanaojifanya watetezi wa Bandari wanataka tuwaamini kwa kila wanachosema eti nyasi zote zina rangi ya blue ole wako upinge naona busara zote zime fikia mwisho wanahitaji matibabu hawa tiba nyingine ili kunusuru mgonjwa lazima apewe nusu kaputi ili afanyiwe upasuaji salama.
Wamebembelezwa sana inatosha.
Idiotic comments..!!
 
Sahihi kabisa ila upinzani haufanyi kuleta chuki kwa wananchi na kuchochoea maandamano ambayo hoja zake ziko wazi
Wao wanachofanya ni kueka mpasuko tuh
Kama kwel umesikiliza mikutano yao mingi utajua ilo
Nimesikiliza za vyama karibu vyote vya siasa.

Amandla...
 
Ni brighter Day bosi. Waache wakapumzishwe. Haiwezekani wanapokea rushwa kuchafua taswira ya rais Dkt Samia na taifa. Ndiyo maana Dkt Magufuli alikuwa hacheki na pimbi, naona Mama Dkt Samia naye sasa ameelewa namna ya kuendesha mfumo. Wawakomeshe kabisa huko waliko, binya sana kende zao ili waseme nani kawapa hela za rushwa
Kuna wakati Mwingine hata mavi hufikili badala ya ubongo.
 
Hakuna kuhisi kukomolewa ukizingua lazima ukamatwe nchi ina uhuru ila usipitilize
Kuanzisha siasa za chuki ni uhaini
Binafsi sijaona chuki yoyote sema propaganda zime tawala sanaaa upotoshaji ni mwingi sana.....

All in all hakuna mtanganyika anae taka bandari wapewe waarabu wa Dubai Kwa mkataba wa aina Ile....................
 
Ndugu Watanzania,

Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa wakili msomi Boniface Kanjunjule Mwabukusi amekamatwa na Jeshi la Polisi kule Mikumi, Morogoro akiwa pamoja na Katibu wa Kanda wa CHADEMA, Emmanuel Masonga na Mdude Nyagali.

Inadaiwa kuwa walikuwa safarini kuelekea Dar es Salaam. Kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, watu waliojitambulisha kuwa ni Askari ndio wamewakamata pasipo kutaja kosa lao na wapi wanapelekwa zaidi ya kuambiwa ni Maelekezo kutoka Juu. Pia, vifaa vyao vya mawasiliano (Simu za mkononi) vimechukuliwa.

Pia soma: RPC Morogoro: Sina taarifa ya kukamatwa kwa Wakili Mwabukusi, Mdude na Masonga
KAMATA KAMATA IMEANZA UPYA
 
Hapa nilipo nina kilema cha bomu katika mkutano wa cdm huko Arusha. Acha kabisa, ni bora ukae kimya maana sio kila mtu ni muoga wa hivyo.
Acha uwongo we keyboard warrior, hebu tuma picha tuone!!
 
Back
Top Bottom