Wakili Mwabukusi, Emmanuel Masonga na Mdude Nyagali wakamatwa na Polisi Mikumi wakiwa safarini kuelekea Dar es Salaam

Wakili Mwabukusi, Emmanuel Masonga na Mdude Nyagali wakamatwa na Polisi Mikumi wakiwa safarini kuelekea Dar es Salaam

Ndugu Watanzania,

Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa wakili msomi Boniface Kanjunjule Mwabukusi amekamatwa na Jeshi la Polisi kule Mikumi, Morogoro akiwa pamoja na Katibu wa Kanda wa CHADEMA, Emmanuel Masonga na Mdude Nyagali.

Inadaiwa kuwa walikuwa safarini kuelekea Dar es Salaam. Kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, watu waliojitambulisha kuwa ni Askari ndio wamewakamata pasipo kutaja kosa lao na wapi wanapelekwa zaidi ya kuambiwa ni Maelekezo kutoka Juu. Pia, vifaa vyao vya mawasiliano (Simu za mkononi) vimechukuliwa.

Pia soma: RPC Morogoro: Sina taarifa ya kukamatwa kwa Wakili Mwabukusi, Mdude na Masonga
Hii nchi bhana....sarakasi tupu.
 
Wanisiasa wanafki afu mtz nayo inapelekeshwa kama mitahira
Walimtukana magu ety anakimbiza wawekezajj mara hana mahusiano mazuri na mataifa ya nje
Mara serikali itapata hasara kuvunja mikataba
Hayo yote waliyokua wanalia mama kaja kuyafanya kama walivopendekeza tena hawataki
Anachokifanya hangaya sasa hakiwezi ku justify kwamba alichofanya jiwe was better.....no big no.
 
Itapendeza kikianza kiroba Cha MAMAYO
Kwani cha MAMAYO wewe tayari? Unashindwa kujibu hoja unaanza matusi?
Kumamayozenu na safari hii tutawaffirra mpaka mtajua mlipotoka ni wapi, nyama nguruwe nyie, mlifkiri hii ni serikali ya kuchezea? Tutawawashia moto mpaka makaburini nyama nyie hakuna kucheka na umbwa ni moto kwenda mbele
 
Hakuna jipya hapo, Adv Mwabukusi hajakamatwa peke yake, hata Mdude Nyagali, na kamanda Nyaisunga, nao pia wamekamatwa, wote wako kutuo cha polisi, Mikumi, Morogoro.

Hapa tuwekane sawa tu, hayupo yeyote kati ya waliokamatwa ambaye hakujua matokeo ya kile wanachokipigania, wanachokifanya polisi sio kuwatisha, au kuwaogopesha, ni kuwafanya wawe imara zaidi kwenye mapambano.
Ni serikali ya Taifa lipi itakayo ruhusu mtu asambaze uongo na uchochezi..
Mfano kusema unaipa serikali siku kumi na nne,Serikali imeuza nchi,CCM imeuza Tanganyika nk.
Kauli hizi zote ni seditious..
Wasubiri wajibu
Makosa yao....Kuna watu waliwai kueneza maneno kua CHADEMA wanatetea Ushoga,CHADEMA ni wadini,CHADEMA ni wakanda....he CHADEMA ili kaa kimya??
Hao wajibu tu tuhuma zao maana kukamatwa sio kua basi umefungwa
 
Matatizo ya kuishi in a shithole country, police wanapomkamata suspect ni LAZIMA haki yake apewe ikiwa ni pamoja na kuambiwa why anakamatwa, haki zake including kuwa kimya, na anapewa nafasi ya ku contact lawyer wake na ndugu yake(mmoja),watanzania watapiga kelele na kulalama humu, mabadiliko yanapatikana kwenye streets battles, igp ameogopa kivuli chake
Nakuona huko frontline
 
Unakamatwa kwa kosa ambalo ushafanya au kama ukipanga kulifanya police wakajua bhc popote ulipo utakamatwa
Kwani ukiiba kariakoo ukakamtwa ubungo utasema umeonewa ujaiba ubungo?
Nahisi ujaelewa, nilimjibu alichouliza huyo awali
 
Hao labda wasiwekwe ndani zaidi ya wiki 2, bila hivyo lazima warudi majumbani mwao na uja uzito, sijui watawaambia nini familia zao.
Halafu unashupaza shingo kupinga uahoga wakati ndo ibada yako
 
Kwani cha MAMAYO wewe tayari? Unashindwa kujibu hoja unaanza matusi?
Kumamayozenu na safari hii tutawaffirra mpaka mtajua mlipotoka ni wapi, nyama nguruwe nyie, mlifkiri hii ni serikali ya kuchezea? Tutawawashia moto mpaka makaburini nyama nyie hakuna kucheka na umbwa ni moto kwenda mbele
Kubabako wote mwisho wetu ni kuoza na kunuka tu, mkwara mbuzi tu huo mbweha wewe
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kamanda toka shimoni uongee mbele ya wanaume. Mbona nyie waoga sana kukamatwa.
Mzee mbona umekaa kimafia mafia sana?

Au sababu ya ID fake?

Ukiitwa polisi utajitetea?

Maana unaonekana we ni mtu hatari sana kwa Taifa.
 
Back
Top Bottom