Wakili Mwabukusi, Emmanuel Masonga na Mdude Nyagali wakamatwa na Polisi Mikumi wakiwa safarini kuelekea Dar es Salaam

Wakili Mwabukusi, Emmanuel Masonga na Mdude Nyagali wakamatwa na Polisi Mikumi wakiwa safarini kuelekea Dar es Salaam

Polisi siyo Watanganyika wenzetu hawa. Let them go where they belong.. Wanachelewesha sana mabadiliko kuanzia kwenye chaguzi.
 
Hawa jamaa wanaojifanya watetezi wa Bandari wanataka tuwaamini kwa kila wanachosema eti nyasi zote zina rangi ya blue ole wako upinge naona busara zote zime fikia mwisho wanahitaji matibabu hawa tiba nyingine ili kunusuru mgonjwa lazima apewe nusu kaputi ili afanyiwe upasuaji salama.
Wamebembelezwa sana inatosha.
Ugonjwa ukifikia stage hii kuwaona wazima ya kua ndio wagonjwa ni kitu cha kawaida.
 
20230812_180045.jpg
 
Mimi ni chadema lakini huyu mdude sijawahi kumuelewa. Ni jamii ya watu wanaotafuta Political Attention. Sample ya watu wa namna hii hatuwataki kwenye chama chetu.
 
Mimi ni chadema lakini huyu mdude sijawahi kumuelewa. Ni jamii ya watu wanaotafuta Political Attention. Sample ya watu wa namna hii hatuwataki kwenye chama chetu.
Wale vijana wa Chato na kaulizao
Mzee Bulembo
Machizi wapo kilachama
 
Sahihi lakini…
karibu bomu linalipuka
Kuna mikoa mingi ziara ya chadema serikali ilipashwa wawe wamejifunza jambo…
Karibu kunakucha Mkuu
Mungu ni mkubwa sana
 
Back
Top Bottom