BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 5,259
- 10,078
Usifananishe Watanzania na kenya mzee.Wanaotishia kupindua serikali hawapigi kelele.
Nimeona nikukumbushe hilo pamoja na kwamba akili yako ni ndogo kujua hivyo.
Najua lengo ni kutia watu hofu/uoga, lakini hili hufikia mahala likawa halina vitisho tena kwa watu waliodhamiria kufanya kweli.
Na watu wamekwishadhamiria hivyo, hata mfanye nini, hatma yenu shaamuriwa.
Watanzania ni Waoga , hata usijipe moyo mkuu.