Pre GE2025 Wakili Mwabukusi: Mwaka 2020 nilikamata masanduku manne ya kura bandia za Rais

Pre GE2025 Wakili Mwabukusi: Mwaka 2020 nilikamata masanduku manne ya kura bandia za Rais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
wewe unanufaika na mfumo kandamizi na si ajabu babayo ni mwenyekiti wa kitongoji unajhsi umemaliza maisha.
Wapinzani wakianzishq machafuko hii kauli utaikumbuka.
Mkitaka kuanzisha machafuko tuu mnaitwa Ikulu mnalishwa vijiko vya asali mnarudi kwa wake zenu mikono nyuma
 
Mkitaka kuanzisha machafuko tuu mnaitwa Ikulu mnalishwa vijiko vya asali mnarudi kwa wake zenu mikono nyuma
Nimesema wapinzani unafikiri ni viongozi ndio wapinzani ama ni watu?
Unafikiri Zitto, Lema na Mbowe ndio wapinzani?
Bado mchanga sana kwenye siasa, hebu jielekeze mapinduzi cup, huku umepotea.
 
Nimesema wapinzani unafikiri ni viongozi ndio wapinzani ama ni watu?
Unafikiri Zitto, Lema na Mbowe ndio wapinzani?
Bado mchanga sana kwenye siasa, hebu jielekeze mapinduzi cup, huku umepotea.
Mwendo ni ule ule, Tulishinda uchaguzi mkuu lakini tumeibiwa kura
 
Mwendo ni ule ule, Tulishinda uchaguzi mkuu lakini tumeibiwa kura
Very low hata kama umeishia form two, wewe unafaidika nini na wizi wa kura na kubakiza madarakani watu wanaofuta bima ya mdogo wako ambaye mama yako amezaa na baba wa jirani?
 
Naona wapinzani wamefungua tena kitabu cha mafashisti.

Wanaanza na stori za "kuibiwa kura"...watapiga domo wee, mwishowe watajikuta pale pale walipojikuta 2010, 2015 na 2020.

Uzeni agenda na sera zenu za Jamii, Siasa na Uchumi na sio kulalamika kila uchwao.
 
Kiongozi ulikuwa hujui hilo!.

Uchaguzi wa Tanzania ni upumbavu mtupu (ni maigizo tu)....Uchaguzi wa Tanzania si huru na wa haki.

Wizi wa kura na hujma nyingine (kama kuengua wagombea, nk.) hufanywa na maafisa wa uchaguzi ambao ndio tume yenyewe ama serikali yenyewe....na hao maafisa uchaguzi kwa asilimia kubwa ni watumishi wa umma tena wa mihalmashauri.
Inadikitisha kabisa alafu tunaambiwa ni kisiwa cha amani
 
wewe unanufaika na mfumo kandamizi na si ajabu babayo ni mwenyekiti wa kitongoji unajhsi umemaliza maisha.
Wapinzani wakianzishq machafuko hii kauli utaikumbuka.
Waswahili wanasema kuwa hakuna marefu yasiyo na ncha.

Iwe leo au kesho ipo asiku ccm watatoka madarakani na watalipa machozi ya watanzania.
 
Fuatilia yanayojiri kwenye mkutano wa waandishi wa Habari wa Dkt. Slaa, Mdude na Wakili Mwabukusi.

Mabadiliko ya Sheria yanayotaka kufanyika yanapasaswa kuendana na mabadiliko ya katiba. Huwezi kujenga. Tunashauri kwamba katiba ibadilishwe, tazama sheria inayohusu sheria ya uchaguzi, kilichofanyika wamekopi ibara ya 74 ya Katiba ikaitwa sheria ya uchaguzi. Hakuna kilichotatuliwa, uundwaji na uhuru wa tume bado haujashughulikiwa.

Katiba ya sasa haikujadiliwa hata kwa masaa 4 kwenye kuandokwa kwake, sasa ina umri wa mtu mzima. Katiba ndio msingi wa mamlaka tunayokabidhi kwa viongozi, sasa wewe tunakupa mamlaka kwa katiba hii unakwendaje kujipa mamlaka makubwa kuliko yale tuliyokupa?

Kinachotakiwa ni kutunga sheria kukwamua mchakato wa jaji Warioba, kuna sarakasi zilipigwa bungeni enzi hizo kukwamisha mchakato huo. Hapo ndipo kwenye mkwamo. Kazi hii ukiwapa watu serious inachukua miezi 3 tu, wao wanasema kila siku kuwa muda hautoshi, katiba ya India iliandikwa miaka 2 tu na mwezi 1 na ndio katiba kubwa zaidi duniani.

Yale niliyoshuhudia mimi, wanaoratibu wizi wakura ni maafisa wa uchaguzi, na wale wanasoma nyaraka za mahakamani, niliomba scrutiny of vote, huwezi amini afisa alirudi kwenye kituo cha kupiga kura akaanza kuchoma moto kura zangu. Nikaiandikia tume ya uchaguzi kwa barua kuwa nipo mahakamani, afisa wenu anachoma kura zangu, tume ikanijibu nipo mahakamani haiwezi kuingilia. Nimejaribu kuonesha experience yangu.

Mimi jimbo langu ni dogo sana, lakini nilikamata masanduku manne ya kura bandia za Rais. Mimi niliibiwa kizembe 2015, lakini 2020 niliibiwa. Unadhani sasa hivi nikiibiwa kuna kesi itaenda mahakamani? Hapana. Itaenda Manslaughter.

'nipo mahakamani, afisa wenu anachoma kura zangu", hilo ni kosa, tume haiwezi kuingilia mahakama.
 
Back
Top Bottom