Pre GE2025 Wakili Mwabukusi: Mwaka 2020 nilikamata masanduku manne ya kura bandia za Rais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
wewe unanufaika na mfumo kandamizi na si ajabu babayo ni mwenyekiti wa kitongoji unajhsi umemaliza maisha.
Wapinzani wakianzishq machafuko hii kauli utaikumbuka.
Mkitaka kuanzisha machafuko tuu mnaitwa Ikulu mnalishwa vijiko vya asali mnarudi kwa wake zenu mikono nyuma
 
Mkitaka kuanzisha machafuko tuu mnaitwa Ikulu mnalishwa vijiko vya asali mnarudi kwa wake zenu mikono nyuma
Nimesema wapinzani unafikiri ni viongozi ndio wapinzani ama ni watu?
Unafikiri Zitto, Lema na Mbowe ndio wapinzani?
Bado mchanga sana kwenye siasa, hebu jielekeze mapinduzi cup, huku umepotea.
 
Nimesema wapinzani unafikiri ni viongozi ndio wapinzani ama ni watu?
Unafikiri Zitto, Lema na Mbowe ndio wapinzani?
Bado mchanga sana kwenye siasa, hebu jielekeze mapinduzi cup, huku umepotea.
Mwendo ni ule ule, Tulishinda uchaguzi mkuu lakini tumeibiwa kura
 
Mwendo ni ule ule, Tulishinda uchaguzi mkuu lakini tumeibiwa kura
Very low hata kama umeishia form two, wewe unafaidika nini na wizi wa kura na kubakiza madarakani watu wanaofuta bima ya mdogo wako ambaye mama yako amezaa na baba wa jirani?
 
Naona wapinzani wamefungua tena kitabu cha mafashisti.

Wanaanza na stori za "kuibiwa kura"...watapiga domo wee, mwishowe watajikuta pale pale walipojikuta 2010, 2015 na 2020.

Uzeni agenda na sera zenu za Jamii, Siasa na Uchumi na sio kulalamika kila uchwao.
 
Inadikitisha kabisa alafu tunaambiwa ni kisiwa cha amani
 
wewe unanufaika na mfumo kandamizi na si ajabu babayo ni mwenyekiti wa kitongoji unajhsi umemaliza maisha.
Wapinzani wakianzishq machafuko hii kauli utaikumbuka.
Waswahili wanasema kuwa hakuna marefu yasiyo na ncha.

Iwe leo au kesho ipo asiku ccm watatoka madarakani na watalipa machozi ya watanzania.
 
'nipo mahakamani, afisa wenu anachoma kura zangu", hilo ni kosa, tume haiwezi kuingilia mahakama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…