Wakili Mwabukusi nakukubali sana, ila taniana na Wote lakini usitake Kuwazoea vibaya JWTZ na Usijidanganye ukaja Kujuta

Wakili Mwabukusi nakukubali sana, ila taniana na Wote lakini usitake Kuwazoea vibaya JWTZ na Usijidanganye ukaja Kujuta

Waache wafanye Kazi yao na kwa Taarifa yako tu isingekuwa Ushujaa wait na Kulipambania Taifa hili kwa Uweledi Wao Uliotukuka ya Amboni Tanga na MKIRU Pwani yangeleta madhara na maafa makubwa nchini kiasi kwamba hata hizo Bia unazopenda Kunywa na hizo Nyama Choma zinazokunenepesha Mashavu yako hayo kama Panya Buku wa Nangurukuru usingeweza Kuzipata kwakuwa nchi ingekuwa Imeshachafuka ( namaanisha kingekuwa Kimeshanuka ) na tunatafutana tu.

Labda tu Wakili Mwabukusi nikusaidie Kukuelekeza wa Wewe Kuwatania na Kuwapiga Mikwara yako Mbuzi ni akina Mgambo Tanzania, Polisi Taniana, K4Security, Kiwango Security, TAKUKURU, UHAMIAJI Tanzania, TISS na Ulinzi Shirikisho ila Usithubutu tena Kuwatishia Kisheria JWTZ na usisahau kuwa hata huko Kwao JWTZ pia kuna Wabobezi ( Gurus ) wa Sheria na Uwakili na huenda wana Akili, Uwezo na Ujuzi hata wa Kukuzidi Wewe.

JWTZ fanyeni Kazi yenu bila Uwoga.
Hebu jijibu mwenyewe, hivi Jeshi liko juu ya sheria?
 
Waache wafanye Kazi yao na kwa Taarifa yako tu isingekuwa Ushujaa wait na Kulipambania Taifa hili kwa Uweledi Wao Uliotukuka ya Amboni Tanga na MKIRU Pwani yangeleta madhara na maafa makubwa nchini kiasi kwamba hata hizo Bia unazopenda Kunywa na hizo Nyama Choma zinazokunenepesha Mashavu yako hayo kama Panya Buku wa Nangurukuru usingeweza Kuzipata kwakuwa nchi ingekuwa Imeshachafuka ( namaanisha kingekuwa Kimeshanuka ) na tunatafutana tu.

Labda tu Wakili Mwabukusi nikusaidie Kukuelekeza wa Wewe Kuwatania na Kuwapiga Mikwara yako Mbuzi ni akina Mgambo Tanzania, Polisi Taniana, K4Security, Kiwango Security, TAKUKURU, UHAMIAJI Tanzania, TISS na Ulinzi Shirikisho ila Usithubutu tena Kuwatishia Kisheria JWTZ na usisahau kuwa hata huko Kwao JWTZ pia kuna Wabobezi ( Gurus ) wa Sheria na Uwakili na huenda wana Akili, Uwezo na Ujuzi hata wa Kukuzidi Wewe.

JWTZ fanyeni Kazi yenu bila Uwoga.
Angalizo:
Ukimpenda GENTAMYCINE naye atakutunuku chochote utakachomwomba,pigia mstari "chochote"
 
Waache wafanye Kazi yao na kwa Taarifa yako tu isingekuwa Ushujaa wait na Kulipambania Taifa hili kwa Uweledi Wao Uliotukuka ya Amboni Tanga na MKIRU Pwani yangeleta madhara na maafa makubwa nchini kiasi kwamba hata hizo Bia unazopenda Kunywa na hizo Nyama Choma zinazokunenepesha Mashavu yako hayo kama Panya Buku wa Nangurukuru usingeweza Kuzipata kwakuwa nchi ingekuwa Imeshachafuka ( namaanisha kingekuwa Kimeshanuka ) na tunatafutana tu.

Labda tu Wakili Mwabukusi nikusaidie Kukuelekeza wa Wewe Kuwatania na Kuwapiga Mikwara yako Mbuzi ni akina Mgambo Tanzania, Polisi Taniana, K4Security, Kiwango Security, TAKUKURU, UHAMIAJI Tanzania, TISS na Ulinzi Shirikisho ila Usithubutu tena Kuwatishia Kisheria JWTZ na usisahau kuwa hata huko Kwao JWTZ pia kuna Wabobezi ( Gurus ) wa Sheria na Uwakili na huenda wana Akili, Uwezo na Ujuzi hata wa Kukuzidi Wewe.

JWTZ fanyeni Kazi yenu bila Uwoga.
Mentality za kikoroni hizi,
USA ina jeshi shupavu na imara na la kutisha kuliko yote duniani, nimefanya kazi kama mkandarasi raia, na vikosi vyenye kambi hapa Afrika, marine Corps, hawa jamaa wana humanity side unaweza ukafikiri, ni manesi!
Wakiwa off duty na kama hawana mission, huwa very friendly na raia,
Wao u deal na mbaya wao tu, hawa wakwetuwakwetu, kila wakati wamekaa kishari shari tu!
Wanatamsni wamlukie mtu wamlalue!
Hivi for crying out loud! Where and why do you get satisfaction beating people!
If not ur a mental case!
Unakuta mijitu Saba mnasurubu raia mmoja kijsna mdogo! Na mnatoka pale mnakenua meno!
HeLa hamna,vimishahsra china ya milioni mbili,wakiendesha vimtumba vya Japan, wanaona wameyapatia maisha
 
Mentality za kikoroni hizi,
USA ina jeshi shupavu na imara na la kutisha kuliko yote duniani, nimefanya kazi kama mkandarasi raia, na vikosi vyenye kambi hapa Afrika, marine Corps, hawa jamaa wana humanity side unaweza ukafikiri, ni manesi!
Wakiwa off duty na kama hawana mission, huwa very friendly na raia,
Wao u deal na mbaya wao tu, hawa wakwetuwakwetu, kila wakati wamekaa kishari shari tu!
Wanatamsni wamlukie mtu wamlalue!
Hivi for crying out loud! Where and why do you get satisfaction beating people!
If not ur a mental case!
Unakuta mijitu Saba mnasurubu raia mmoja kijsna mdogo! Na mnatoka pale mnakenua meno!
HeLa hamna,vimishahsra china ya milioni mbili,wakiendesha vimtumba vya Japan, wanaona wameyapatia maisha
Hujawatukana Ila umeongea ukweli mchungu. JW hawana utu na narudia Kwa msisitizo hawana utu. Taasisi iliitwa JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA kwa makusudi kabisa lakini wao wanajiona raia wa daraja la 1. Kijana anakutwa na kijitshirt cha mtumba anapigwa mpaka anavunjwa mkono. Bado tuunge mkono huo ujinga?
 
Back
Top Bottom