WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
Kumwabudu Rais kunawafanya mkose akili ulishawahi kusikia Mungu ni Mwanamke?Hata zumaridi naye anasema hivo hivoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumwabudu Rais kunawafanya mkose akili ulishawahi kusikia Mungu ni Mwanamke?Hata zumaridi naye anasema hivo hivoo
Nikuulize wewe na zumaridi wenuuKumwabudu Rais kunawafanya mkose akili ulishawahi kusikia Mungu ni Mwanamke?
Unfortunately ametikea kwenye Taifa la wapiga pambio, mapenzi na mpira wasiojua critical issuesSwali la kijinga sana. Kwani mtu asipokuwepo enzi za jpm hafai kuwepo enzi za samia?
Alikuwa katili lakini sio muuza nchi ndio maana jamaa alinyutiNi wazi hakuna ubishi Man of The Moment (MOTM) kwa sasa ni Wakili Boniface Mwabukusi kutokana na namna alivyolibeba suala la Bandari/DP WORLD kwa mabega mawili. Wanasiasa na Wanaharakati wengi wameongea kama kina Lissu, Mbowe, Slaa, Tibaijuka, Shivji, Binti Sarungi, Madeleka na Nshala.
Lakini ni Wakili Boniphace Mwabukusi ndiyo maneno yake na haiba yake yana mvuto kuliko mtu yeyote. Mwabukusi ana uwezo wa kuwasilisha mada kwenye hadhara kama Wahubiri wa Kilokole akina Mwamposa/ Gwajima, ana maneno makali kama Mdude na ana uwezo kuchambua sheria kama Lissu.
Swali:
Je, huyu Bwana alikuwa wapi wakati wa Dikteta Magufuli 2015-21? Alipobana kabisa uhuru wa maoni na kukanyaga katiba
Je, kwa huu ubingwa wake, nini ingekuwa hatma yake kipindi cha Magufuli?
Uhuru,uhuru uhuru,watu woote wenye akili hawengeweza kupambana na jpm,kwa sababu jpm alisimama kwa ajiri ya nchi,sio kwa ajiri ya kundi furani au familia yake,jpm alikuwa anaongea zaidi kwa vitendo na sio maneno na brabra,na kwa taarifa yako,mwambukusi ni mshabiki kindakindaki wa magufuli.Ni wazi hakuna ubishi Man of The Moment (MOTM) kwa sasa ni Wakili Boniface Mwabukusi kutokana na namna alivyolibeba suala la Bandari/DP WORLD kwa mabega mawili. Wanasiasa na Wanaharakati wengi wameongea kama kina Lissu, Mbowe, Slaa, Tibaijuka, Shivji, Binti Sarungi, Madeleka na Nshala.
Lakini ni Wakili Boniphace Mwabukusi ndiyo maneno yake na haiba yake yana mvuto kuliko mtu yeyote. Mwabukusi ana uwezo wa kuwasilisha mada kwenye hadhara kama Wahubiri wa Kilokole akina Mwamposa/ Gwajima, ana maneno makali kama Mdude na ana uwezo kuchambua sheria kama Lissu.
Swali:
Je, huyu Bwana alikuwa wapi wakati wa Dikteta Magufuli 2015-21? Alipobana kabisa uhuru wa maoni na kukanyaga katiba
Je, kwa huu ubingwa wake, nini ingekuwa hatma yake kipindi cha Magufuli?
Upumbavu wako bado haujakutoka tu.Alikuwa anamuogopa Magufuli.Mbona Bwawa la Nyerere,walipewa waarabu,na hakusema kitu.
Wewe ninaamini dish lilishayumba siku nyingi,kila picha unayooleta ni mchelemchele,Kwamba dhalimu hakuwa mwanasiasa, au baada ya kuona haziwezi siasa na siasa hazimtaki, ndio akasema yeye sio mwanasiasa?
Hata hivyo dhalimu hakuwa na historia ya kupambania raslimali za taifa, kwani alisubiri hadi awe rais ndio aanze kupambania raslimali za taifa. Ina maana asingekuwa rais asingekaa apambane raslimali za taifa.
Well said....Uhuru,uhuru uhuru,watu woote wenye akili hawengeweza kupambana na jpm,kwa sababu jpm alisimama kwa ajiri ya nchi,sio kwa ajiri ya kundi furani au familia yake,jpm alikuwa anaongea zaidi kwa vitendo na sio maneno na brabra,na kwa taarifa yako,mwambukusi ni mshabiki kindakindaki wa magufuli.
Kama Mwabukusi ni mshabiki kindakindaki wa magufuri basi hafiki mbali. Hii nchi haitaki vichaa wengine tena baada ya huyo wa Chato kufa mwaka 2021Uhuru,uhuru uhuru,watu woote wenye akili hawengeweza kupambana na jpm,kwa sababu jpm alisimama kwa ajiri ya nchi,sio kwa ajiri ya kundi furani au familia yake,jpm alikuwa anaongea zaidi kwa vitendo na sio maneno na brabra,na kwa taarifa yako,mwambukusi ni mshabiki kindakindaki wa magufuli.
Muumini wa dhalimu tulia tafadhali.Wewe ninaamini dish lilishayumba siku nyingi,kila picha unayooleta ni mchelemchele,