Na hata wale mnaowaita Covid 19, watamaliza muda wao bila shida , wewe mjinga mjinga piga kelele,wenzio wanaishi vzr tu
Mnyika jana kashiriki kwenye kikao cha kuandikisha wapiga kura ..kimsingi chama kipo tayari kushiriki uchaguzi huu kwa katiba hii! Walitakiwa kugomea mchakato mzima!
Katika hili namuelewa sana Lissu ni msema kweli
Huyo Mtikila wewe humfahamu tu lakini naye alikuwa mtu wa ovyo sana. Nilifanya kazi naye kwa karibu ,alikuwa anavuta hela kwa CCM kuwashambulia wapinzani. Mfano hai kwenye uchaguzi mdogo wa Tarime baada ya kifo cha Chacha Wangwe,alidakishwa hela na CCM kwenda kuishambulia Chadema kuwa ndiyo wamemuua Chacha lakini watu wa Tarime kwa vile walijua ukweli kuwa ni CCM ndiyo wamemuua ndugu yao wakampopoa mawe Mtikila na wakaichagua tena Chadema.Yuko sahihi, na hii tabia imedhohofisha sana upinzani na kuwakatisha tamaa wapiga kura.
Kwa hii tabia CCM Itatawala milele yote.
Wapinzani wangekuwa siriaz hadi leo hii CCM ingekuwa Chama cha upinzani.
Unampigia kura leo mpinzani kwa lengo la kuimarisha demokrasia kesho anahamia CCM.
Ndio maana CCM inatumia viruzuku tu kuwamaliza Wapinzani.
RIP. Christopher Mtikila, kidogo alikuwa siriaz.
Lissu alisema wazi kuwa wasishiriki uchaguzi wowote bila katiba mpya lakini wangapi wamemuunga mkono?
Mwabukusi angeanzisha chama chake cha siasa, halafu wafuasi kama nyie mkamuunga mkono, mtafika mbali
Mimi binafsi naamini haki inapiganiwa na sio kususiwa hivyo washiriki uchaguzi mpaka kieleweke
Point ni kwamba unavyosusa they don't care kwa hiyo kususa sio suluhisho
HAKUNA TOFAUTI KATI YA CCM NA WAPINZANI, NI WALEWALE" MWABUKUSI
Upinzani na CCM hawana tofauti, kitendo cha kutaka kuingia kwenye uchaguzi bila katiba mpya ni kwa sababu ya maslahi binafsi na sio maslahi ya Taifa, ndio maana kuna chawa wa chama tawala na huku upinzani nako kuna machawa huku kwetu kwenye upinzani
Hakuna mtu yuko tayari kumwambia kiongozi wake kwamba anayoyafanya hayako sawa, hatuna hata mgambo lakini nakuhakikishia sisi wapinzani ni wabaya kuliko hawa walioko madarakani, tunaogopana kuambiana ukweli, sisi na CCM hatuna tofauti kabisa.
Najiuliza kwanini wapinzani tunashindwa kuonyesha msimamo?
kwanini twende kushiriki uchaguzi bila katiba mpya?
Nilishasema kuna biashara ya Demokrasia inafanyika hapa nchini"
Chanzo : Jambo Tv
HAKUNA TOFAUTI KATI YA CCM NA WAPINZANI, NI WALEWALE" MWABUKUSI
Upinzani na CCM hawana tofauti, kitendo cha kutaka kuingia kwenye uchaguzi bila katiba mpya ni kwa sababu ya maslahi binafsi na sio maslahi ya Taifa, ndio maana kuna chawa wa chama tawala na huku upinzani nako kuna machawa huku kwetu kwenye upinzani
Hakuna mtu yuko tayari kumwambia kiongozi wake kwamba anayoyafanya hayako sawa, hatuna hata mgambo lakini nakuhakikishia sisi wapinzani ni wabaya kuliko hawa walioko madarakani, tunaogopana kuambiana ukweli, sisi na CCM hatuna tofauti kabisa.
Najiuliza kwanini wapinzani tunashindwa kuonyesha msimamo?
kwanini twende kushiriki uchaguzi bila katiba mpya?
Nilishasema kuna biashara ya Demokrasia inafanyika hapa nchini"
Chanzo : Jambo Tv
Na kwa maneno yao haya wenda ndo maana hata ayo maandamano hayakwenda vizuri, kwa kauli hizi hata yangeenda vizuri kwa vyama kadhaa kushiriki bado ingeonekaka yeye na watu wake ndo kila kitu
tuwekee hapa huyo Mnyika anafanya hicho...kwahiyo tume imeshaanza kuadika wapiga kura?Mnyika jana kashiriki kwenye kikao cha kuandikisha wapiga kura ..kimsingi chama kipo tayari kushiriki uchaguzi huu kwa katiba hii! Walitakiwa kugomea mchakato mzima!
Katika hili namuelewa sana Lissu ni msema kweli
Ni kweli anachosema Adv. Mwabukusi, siasa zetu kwa kiasi kikubwa zimegeuzwa kuwa ajira, na wala sio kuwatumikia wananchi kama walivyozoea kutudanganya.
Ndio maana unawaona wale wanawake 19 bado wako bungeni mpaka leo bila aibu yoyote, wanakula bure kodi za watanganyika, huku ajabu wakiwa bungeni nao wanajidai kulaani upotevu wa fedha serikalini, wao hawajioni!..
Huku wengine nao wameshasahau kama msimamo wa chama chao ni kutoshiriki uchaguzi, mpaka Katiba Mpya ipatikane, wao wameshaanza kusema watahakikisha wanawaondoa wabunge wa CCM majimboni mwao, hii kauli ni sawa na tusi kwa mtu mwenye spirit ya Adv. Mwabukusi.
Wapiga kura tunageuzwa mtaji wa wanasiasa bila kujua, sometime tuna siasa za kisanii sana, za kupitisha muda ili wale na familia zao, kwa wale walioupata utajiri kupitia siasa, kamwe hawawezi kuuacha uchaguzi upite mpaka waisubiri Katiba Mpya ipatikane.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Mwabukusi ndio mtu pekee tunaeweza kumuamini hawa kina Zuberi, Alkaeli chenga tupu
Ni kweli anachosema Adv. Mwabukusi, siasa zetu kwa kiasi kikubwa zimegeuzwa kuwa ajira, na wala sio kuwatumikia wananchi kama walivyozoea kutudanganya.
Ndio maana unawaona wale wanawake 19 bado wako bungeni mpaka leo bila aibu yoyote, wanakula bure kodi za watanganyika, huku ajabu wakiwa bungeni nao wanajidai kulaani upotevu wa fedha serikalini, wao hawajioni!..
Huku wengine nao wameshasahau kama msimamo wa chama chao ni kutoshiriki uchaguzi, mpaka Katiba Mpya ipatikane, wao wameshaanza kusema watahakikisha wanawaondoa wabunge wa CCM majimboni mwao, hii kauli ni sawa na tusi kwa mtu mwenye spirit ya Adv. Mwabukusi.
Wapiga kura tunageuzwa mtaji wa wanasiasa bila kujua, sometime tuna siasa za kisanii sana, za kupitisha muda ili wale na familia zao, kwa wale walioupata utajiri kupitia siasa, kamwe hawawezi kuuacha uchaguzi upite mpaka waisubiri Katiba Mpya ipatikane.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Kweli kabisa mkuu
Kama kweli watakubali kushiriki uchaguzi ujao bila katiba mpya,sitokuwa na sababu ya kuwa mwanachama wa upinzani,sitokuwa na sababu ya kwenda kwenye mikutano ya wapinzani kuwasikiliza wala kwenda kupanga foleni kumpigia kura yeyote mwanasiasa yeyote.
Ni kweli anachosema Adv. Mwabukusi, siasa zetu kwa kiasi kikubwa zimegeuzwa kuwa ajira, na wala sio kuwatumikia wananchi kama walivyozoea kutudanganya.
Ndio maana unawaona wale wanawake 19 bado wako bungeni mpaka leo bila aibu yoyote, wanakula bure kodi za watanganyika, huku ajabu wakiwa bungeni nao wanajidai kulaani upotevu wa fedha serikalini, wao hawajioni!..
Huku wengine nao wameshasahau kama msimamo wa chama chao ni kutoshiriki uchaguzi, mpaka Katiba Mpya ipatikane, wao wameshaanza kusema watahakikisha wanawaondoa wabunge wa CCM majimboni mwao, hii kauli ni sawa na tusi kwa mtu mwenye spirit ya Adv. Mwabukusi.
Wapiga kura tunageuzwa mtaji wa wanasiasa bila kujua, sometime tuna siasa za kisanii sana, za kupitisha muda ili wale na familia zao, kwa wale walioupata utajiri kupitia siasa, kamwe hawawezi kuuacha uchaguzi upite mpaka waisubiri Katiba Mpya ipatikane.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
π€£π€£π€£π€£Hakuna kitu kisicho nafaida. Nani anafanya siasa bila kutafuta manufaiko ndani ya afrika hii