Lakini kuna nini cha uongo kasema? Mbona hata Lissu huwa anasema haya hasa kushiriki uchaguzi bila katiba mpya? Je ni wangapi wanakubaliana na Lissu?Slaa anamdanganya sana huyu jamaa
Kwenye maisha hamnaga short-cut hasa kwenye mambo yanayohusu itikadi kama siasa
Kama anajiamini aanzishe chama chake asitake kutumia watu kama mgongo wa kufikia malengo yake maisha sio marahisi hivyo yaani chadema waache agenda zake wamfuate yeye mbona ni kituko na kichekesho
Katiba mpya wanapigania wanasiasa au wananchiLakini kuna nini cha uongo kasema? Mbona hata Lissu huwa anasema haya hasa kushiriki uchaguzi bila katiba mpya? Je ni wangapi wanakubaliana na Lissu?
Siasa ni kazi ambayo hata wewe uko eligible kugombaniaWengine tulishastuka kitambo. Siasa tunatumika kama mitaji kwa watu. Wananchi wakifikia hatua hawaamini wanasiasa watakuja kutafuta njia zao zingine kudai maslahi yao.
wapi chadema imesema itashiriki uchaguzi? jiepushe na watu wa hovyo......usiwe kwenye kundi la mtu kutofungu post/thread yako akijua kuna rubbish!Lakini kuna nini cha uongo kasema? Mbona hata Lissu huwa anasema haya hasa kushiriki uchaguzi bila katiba mpya? Je ni wangapi wanakubaliana na Lissu?
Anasema ukweli, kuwa ni ukhanithi kwa wapinzani kuendelea kushiriki chaguzi hizi kwa mazingira haya ya kihanithi. Na hao wapinzani watakaokubali kushiriki huo uhuni uitwaa uchaguzi, watashangaa jinsi kutakakavyokua na wapiga kura wachache.kwahiyo anachofanya mwabukusi ni kuunganisha nguvu upinzani 😅
UVCCM najua leo mmepewa bando, mnatunga story yeyote so long as mwajiri wenu [MWANA MFALME BASHITE] aone thread kuhusu Mbowe.HAKUNA TOFAUTI KATI YA CCM NA WAPINZANI, NI WALEWALE" MWABUKUSI
Upinzani na CCM hawana tofauti, kitendo cha kutaka kuingia kwenye uchaguzi bila katiba mpya ni kwa sababu ya maslahi binafsi na sio maslahi ya Taifa, ndio maana kuna chawa wa chama tawala na huku upinzani nako kuna machawa huku kwetu kwenye upinzani
Hakuna mtu yuko tayari kumwambia kiongozi wake kwamba anayoyafanya hayako sawa, hatuna hata mgambo lakini nakuhakikishia sisi wapinzani ni wabaya kuliko hawa walioko madarakani, tunaogopana kuambiana ukweli, sisi na CCM hatuna tofauti kabisa.
Najiuliza kwanini wapinzani tunashindwa kuonyesha msimamo?
kwanini twende kushiriki uchaguzi bila katiba mpya?
Nilishasema kuna biashara ya Demokrasia inafanyika hapa nchini"
Chanzo : Jambo Tv
Uko sahihi kwa hili. Ni Bora hawa wanaonajisi chaguzi zetu waendelee kukaa madarakani kwa shuruti, siku wananchi wakijua wanafanywa mafala wataingia mtaani, au jeshi likijua wajibu wake litafanya mapinduzi.Wengine tulishastuka kitambo. Siasa tunatumika kama mitaji kwa watu. Wananchi wakifikia hatua hawaamini wanasiasa watakuja kutafuta njia zao zingine kudai maslahi yao.
Gentleman,Yaani huu mgao wa umeme ndio usambaratishe wapinzani? Au kuuza bandari ndio kunaweza kusambaratisha wapinzani? Ukitaka kujua watu wamepuuza hilo zoezi liitwalo uchaguzi, subira chaguzi zijazo uone jinsi wapiga kura watakavyokuwa wachache. Na sababu hasa ya watu kupuuza uchaguzi, ni kitendo Cha ccm kulazimisha kutangazwa washindi kwa shuruti bila ridhaa ya wananchi.
Hata kama ni kweli hivyo ndivyo upinzani unapaswa kuwa au ni utoto au ufahamu na uelewa ni duni juu ya siasa za upinzani?Anasema ukweli, kuwa ni ukhanithi kwa wapinzani kuendelea kushiriki chaguzi hizi kwa mazingira haya ya kihanithi. Na hao wapinzani watakaokubali kushiriki huo uhuni uitwaa uchaguzi, watashangaa jinsi kutakakavyokua na wapiga kura wachache.
Wananchi wameshastuka hawana muda wa kufanywa mafala kwenye mstari wa kura, wakati ccm wamekuja na matokeo yao mfukoni. Machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ndio yataletaa mabadiko ya kweli kwenye chaguzi za nchi hii.
Subirini Nusu Mkate baada ya Tume Mpya ya Uchaguzi kuundwa na mh RaisInabidi uende mirembe ukakae kama mwezi hivi yaan we ni bingwa wa kuropoka kama kichaa
Narudia tena, hakuna mtu mwenye akili timamu ataendelea kushiriki hizi chaguzi za kipuuzi. Serekali kutumikia wananchi ni wajibu hata ingeingia serekali ya kijeshi itatumikia wananchi, as long as wanakusanya Kodi. Hapa tunazungumzia legitimacy ya umma. Unaweza kukaa madarakani bila ridhaa ya umma.Gentleman,
Tz requires vibrant, united and very focused opinions, to checkmate and oversight the government policy, actions, plans and programmes towards wanainchi...
Sasa kwa hali hii anayoleta mwabukusi kweli mtaishia kutukana tu ili ipatikane tume huru ya uchaguzi au Katiba mpya? Kwamba matusi itazuia au kuibabaisha Serikali kuwatumikia wanainchi?
Friends,
Kwani hua mnatumia nini kufikiri? mathalani mchakato wa Katiba uanzishwe leo, itaundwa katiba itapitishwa na walio wengi ambao ni CCM vizur sana, na mtaishia kususa tu and nothing will happen...
Unganisheni nguvu, elewaneni , aminianeni, walau muwe na nguvu na sauti moja ndrugu zango....
I demand vibrant and united opposition in Tz.
Kaa kando na mihemko yako ni haki na uhuru wako. Wala hayupo kukushurutisha....Narudia tena, hakuna mtu mwenye akili timamu ataendelea kushiriki hizi chaguzi za kipuuzi. Serekali kutumikia wananchi ni wajibu hata ingeingia serekali ya kijeshi itatumikia wananchi, as long as wanakusanya Kodi. Hapa tunazungumzia legitimacy ya umma. Unaweza kukaa madarakani bila ridhaa ya umma.
Tunapiga kura na kuwapa watu tuwatakao na sio hao wanaochomekwa na ccm kwa kunajisi uchaguzi. Kama issue ni serekali kutumikia wananchi, uchaguzi ni wa nini wakati hata mkoloni alikuwa na serekali?
ushauri mujarab sana huuHuyo jamaa kama anaona mambo hayaendi vizuri ndani ya vyama vya upinzani ofisi ya msajili iko wazi afike pale asajili chama chake ili kifuate msimamo wake
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Hata kama ni kweli hivyo ndivyo upinzani unapaswa kuwa au ni utoto au ufahamu na uelewa ni duni juu ya siasa za upinzani?
Gentlemans,
Joins your heads, hands and ideas together and find a one way or path to go,
and confront the government in a formal way everyone can understand, apriciete and may be attracted by the approaches you are using....
Kubweka bweka na kutukana ni nonsense...