johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Bavicha wakikosolewa na vitisho na Matusi tu watakuleteaFocus na kile alichosema Adv. Mwabukusi wacha kumlaumu kwa kutoa maoni yake, au hutaki upinzani usemwe hata wakikosea? kufanya hivyo huoni ndio unazidi kuthibitisha ubinafsi walionao wapinzani anaousema Adv. Mwabukusi!.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Sasa ataanzisha Chama kipi wakati yeye mwenyewe kashasema Upinzani ni kubaya kuliko CCM??
Wote upinzani na majambazi ya ccm ni wachumia tumbo tu.Ila wa report ya CAG mnawalamba matako. Mnafiki Sana. Bungeni mmejaza CCM , halmashauri zote na asilimia 96 ya vijiji na Mitaa ni CCM. Ila kil siku kuwasema upinzani na kuwalamba miguu wezi. Yani mwenye mamlaka mnamuogopa, ila mmebaki kuwasema wasiokuwa na mamlaka. Mnaboa Sana.
Focus na kile alichosema Adv. Mwabukusi wacha kumlaumu kwa kutoa maoni yake, au hutaki upinzani usemwe hata wakikosea? kufanya hivyo huoni ndio unazidi kuthibitisha ubinafsi walionao wapinzani anaousema Adv. Mwabukusi!.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Siasa za kutishana zilishapitwaga na wakati bwashee
Hakuna cha ukweli zaidi ya ujingaSidhani kama yupo anayejielewa atautilia shaka msimamo wa Adv. Mwabukusi, na ni ngumu sana kwa mtu mwenye msimamo wa aina ile, aliyeiweka mpaka nafsi yake rehani, kuchanganywa kundi moja na wapinzani maslahi wanaoutafuta utajiri kupitia siasa, hiyo ni sawa na kuchanganya maji na mafuta.
Huyu ameamua kusema kweli liwalo na liwe, kwani ameshaona dalili huko tuendako, ni wapinzani ndio wataanza kucheza ngoma za CCM na sio vice versa, CCM wameshajua hawa wakitaka kitu chelewa kuwapa mwishowe watageukana wenyewe, kwa sababu hawana misimamo ya pamoja.
Hiki ndicho Adv. Mwabukusi amekiona na kukilaani, na wala sio vinginevyo, ambacho kwangu ni ukweli mtupu.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Tazama maudhui ya kile kilichomfanya akatamka hayo maneno, kisha jiulize ni ya kweli au uongo.Mimi ni mmoja wa watu niliyeunga mkono maanadamano ya Mwabukusi, na kuona ugumu wa kilichotokea. Ila hii kauli yake ya kwamba CCM ni Wazuri kuliko upinzani, nimemfuta kabisa mpaka siku nyingine. Achelewi kuchukua kadi huyo.
Anasema ukweli, kuwa ni ukhanithi kwa wapinzani kuendelea kushiriki chaguzi hizi kwa mazingira haya ya kihanithi. Na hao wapinzani watakaokubali kushiriki huo uhuni uitwaa uchaguzi, watashangaa jinsi kutakakavyokua na wapiga kura wachache.
Wananchi wameshastuka hawana muda wa kufanywa mafala kwenye mstari wa kura, wakati ccm wamekuja na matokeo yao mfukoni. Machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ndio yataletaa mabadiko ya kweli kwenye chaguzi za nchi hii.
Sasa Mkuu Mwabukusi anapambana na nani na CCM au Wapinzani. Yaani uko vitani na Wenzako ghafula unawageuka na kuanza kuwashambulia, unategemea adui unampunguzia au unamuongezea nguvu?Sidhani kama yupo anayejielewa atautilia shaka msimamo wa Adv. Mwabukusi, na ni ngumu sana kwa mtu mwenye msimamo wa aina ile, aliyeiweka mpaka nafsi yake rehani, kuchanganywa kundi moja na wapinzani maslahi wanaoutafuta utajiri kupitia siasa, hiyo ni sawa na kuchanganya maji na mafuta.
Huyu ameamua kusema kweli liwalo na liwe, kwani ameshaona dalili huko tuendako, ni wapinzani ndio wataanza kucheza ngoma za CCM na sio vice versa, CCM wameshajua hawa wakitaka kitu chelewa kuwapa mwishowe watageukana wenyewe, kwa sababu hawana misimamo ya pamoja.
Hiki ndicho Adv. Mwabukusi amekiona na kukilaani, na wala sio vinginevyo, ambacho kwangu ni ukweli mtupu.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Usichanganye mambo, hapa hayazungumziwi maandamano, wewe tazama kile alichosema utuambie kama kina ukweli au hakina, kwa sababu zipi.Hakuna cha ukweli zaidi ya ujinga
Swali nikuulize kufeli kwa maandamano yake atawalaumu chadema
Anataka shortcut ndo tatizo lake alafu maisha hayako hivyo sio kila jambo ni rahisi kwenye maishaMimi ni mmoja wa watu niliyeunga mkono maanadamano ya Mwabukusi, na kuona ugumu wa kilichotokea. Ila hii kauli yake ya kwamba CCM ni Wazuri kuliko upinzani, nimemfuta kabisa mpaka siku nyingine. Achelewi kuchukua kadi huyo.
Mwanzilishi wa chama ni mteiKivipi alikuwa a anaburuzwa tu wakati Mtei hakuwa na mamlaka yoyote au nguvu zozote??
Siyo mchaga!?..sijauliza makaziMtei makazi yake ni Arusha.
Ukweli upi wewe unaweza fanya kazi bila mshahara kama unaweza unahaki ya kuwalaumu ambao wanatafuta ela kwenye siasaUsichanganye mambo, hapa hayazungumziwi maandamano, wewe tazama kile alichosema utuambie kama kina ukweli au hakina, kwa sababu zipi.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Gentleman,
Tz requires vibrant, united and very focused opposition, to checkmate and oversight the government policy, actions, plans and programmes towards wanainchi...
Sasa kwa hali hii anayoleta mwabukusi kweli mtaishia kutukana tu ili ipatikane tume huru ya uchaguzi au Katiba mpya? Kwamba matusi itazuia au kuibabaisha Serikali kuwatumikia wanainchi?
Friends,
Kwani hua mnatumia nini kufikiri? mathalani mchakato wa Katiba uanzishwe leo, itaundwa katiba itapitishwa na walio wengi ambao ni CCM vizur sana, na mtaishia kususa tu and nothing will happen...
Unganisheni nguvu, elewaneni , aminianeni, walau muwe na nguvu na sauti moja ndrugu zango....
I demand vibrant and united opposition in Tz.
Usipoziba nyufa zenu kama wapinzani ni vigumu sana kuwashinda CCM mkiwa hampo organised, na hii inasababishwa na tamaa ya ubunge anayoilaumu Adv. Mwabukusi, kuwa na msimamo usioyumba wa kile unachopigania ni muhimu sana, hapo ndipo CCM hushtuka.Sasa Mkuu Mwabukusi anapambana na nani na CCM au Wapinzani. Yaani uko vitani na Wenzako ghafula unawageuka na kuanza kuwashambulia, unategemea adui unampunguzia au unamuongezea nguvu?
Mbowe na Lisu wana tamaa sana