Wakili Mwabukusi: Wapinzani hawana afadhali yoyote na CCM, ni wabaya kuliko hata CCM

Wakili Mwabukusi: Wapinzani hawana afadhali yoyote na CCM, ni wabaya kuliko hata CCM

Ila wa report ya CAG mnawalamba matako. Mnafiki Sana. Bungeni mmejaza CCM , halmashauri zote na asilimia 96 ya vijiji na Mitaa ni CCM. Ila kil siku kuwasema upinzani na kuwalamba miguu wezi. Yani mwenye mamlaka mnamuogopa, ila mmebaki kuwasema wasiokuwa na mamlaka. Mnaboa Sana.
Wote upinzani na majambazi ya ccm ni wachumia tumbo tu.
 
Focus na kile alichosema Adv. Mwabukusi wacha kumlaumu kwa kutoa maoni yake, au hutaki upinzani usemwe hata wakikosea? kufanya hivyo huoni ndio unazidi kuthibitisha ubinafsi walionao wapinzani anaousema Adv. Mwabukusi!.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app

Mimi ni mmoja wa watu niliyeunga mkono maanadamano ya Mwabukusi, na kuona ugumu wa kilichotokea. Ila hii kauli yake ya kwamba CCM ni Wazuri kuliko upinzani, nimemfuta kabisa mpaka siku nyingine. Achelewi kuchukua kadi huyo.
 
Siasa za kutishana zilishapitwaga na wakati bwashee

Nimekutishia wapi?. Kukwambia siku yako inakuja nimekutishia?. Nimekuona sehemu unaikanja CHADEMA kijinga nikachukia Sana Tena kwenye suala sensitive wewe unafanya dhihaka. Ndio maana nikakwambia siku yako inakuja.
 
Sidhani kama yupo anayejielewa atautilia shaka msimamo wa Adv. Mwabukusi, na ni ngumu sana kwa mtu mwenye msimamo wa aina ile, aliyeiweka mpaka nafsi yake rehani, kuchanganywa kundi moja na wapinzani maslahi wanaoutafuta utajiri kupitia siasa, hiyo ni sawa na kuchanganya maji na mafuta.

Huyu ameamua kusema kweli liwalo na liwe, kwani ameshaona dalili huko tuendako, ni wapinzani ndio wataanza kucheza ngoma za CCM na sio vice versa, CCM wameshajua hawa wakitaka kitu chelewa kuwapa mwishowe watageukana wenyewe, kwa sababu hawana misimamo ya pamoja.

Hiki ndicho Adv. Mwabukusi amekiona na kukilaani, na wala sio vinginevyo, ambacho kwangu ni ukweli mtupu.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Hakuna cha ukweli zaidi ya ujinga
Swali nikuulize kufeli kwa maandamano yake atawalaumu chadema
 
Mimi ni mmoja wa watu niliyeunga mkono maanadamano ya Mwabukusi, na kuona ugumu wa kilichotokea. Ila hii kauli yake ya kwamba CCM ni Wazuri kuliko upinzani, nimemfuta kabisa mpaka siku nyingine. Achelewi kuchukua kadi huyo.
Tazama maudhui ya kile kilichomfanya akatamka hayo maneno, kisha jiulize ni ya kweli au uongo.

Usimgombeze.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Anasema ukweli, kuwa ni ukhanithi kwa wapinzani kuendelea kushiriki chaguzi hizi kwa mazingira haya ya kihanithi. Na hao wapinzani watakaokubali kushiriki huo uhuni uitwaa uchaguzi, watashangaa jinsi kutakakavyokua na wapiga kura wachache.

Wananchi wameshastuka hawana muda wa kufanywa mafala kwenye mstari wa kura, wakati ccm wamekuja na matokeo yao mfukoni. Machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ndio yataletaa mabadiko ya kweli kwenye chaguzi za nchi hii.

Hivi CHADEMA imeshiriki uchaguzi gani?. Tuwe serious kidogo. Wanaoshiriki so wanajulikana?. Kwanini asiwaseme moja kwa moja?
 
Sidhani kama yupo anayejielewa atautilia shaka msimamo wa Adv. Mwabukusi, na ni ngumu sana kwa mtu mwenye msimamo wa aina ile, aliyeiweka mpaka nafsi yake rehani, kuchanganywa kundi moja na wapinzani maslahi wanaoutafuta utajiri kupitia siasa, hiyo ni sawa na kuchanganya maji na mafuta.

Huyu ameamua kusema kweli liwalo na liwe, kwani ameshaona dalili huko tuendako, ni wapinzani ndio wataanza kucheza ngoma za CCM na sio vice versa, CCM wameshajua hawa wakitaka kitu chelewa kuwapa mwishowe watageukana wenyewe, kwa sababu hawana misimamo ya pamoja.

Hiki ndicho Adv. Mwabukusi amekiona na kukilaani, na wala sio vinginevyo, ambacho kwangu ni ukweli mtupu.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Sasa Mkuu Mwabukusi anapambana na nani na CCM au Wapinzani. Yaani uko vitani na Wenzako ghafula unawageuka na kuanza kuwashambulia, unategemea adui unampunguzia au unamuongezea nguvu?
 
Mimi ni mmoja wa watu niliyeunga mkono maanadamano ya Mwabukusi, na kuona ugumu wa kilichotokea. Ila hii kauli yake ya kwamba CCM ni Wazuri kuliko upinzani, nimemfuta kabisa mpaka siku nyingine. Achelewi kuchukua kadi huyo.
Anataka shortcut ndo tatizo lake alafu maisha hayako hivyo sio kila jambo ni rahisi kwenye maisha
 
Usichanganye mambo, hapa hayazungumziwi maandamano, wewe tazama kile alichosema utuambie kama kina ukweli au hakina, kwa sababu zipi.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Ukweli upi wewe unaweza fanya kazi bila mshahara kama unaweza unahaki ya kuwalaumu ambao wanatafuta ela kwenye siasa

Kama unafamilia jaribu uone kufanya kazi bila mshahara kwa kisingizio ni mzalendo
 
Gentleman,
Tz requires vibrant, united and very focused opposition, to checkmate and oversight the government policy, actions, plans and programmes towards wanainchi...

Sasa kwa hali hii anayoleta mwabukusi kweli mtaishia kutukana tu ili ipatikane tume huru ya uchaguzi au Katiba mpya? Kwamba matusi itazuia au kuibabaisha Serikali kuwatumikia wanainchi?

Friends,
Kwani hua mnatumia nini kufikiri? mathalani mchakato wa Katiba uanzishwe leo, itaundwa katiba itapitishwa na walio wengi ambao ni CCM vizur sana, na mtaishia kususa tu and nothing will happen...

Unganisheni nguvu, elewaneni , aminianeni, walau muwe na nguvu na sauti moja ndrugu zango....

I demand vibrant and united opposition in Tz.

Mimi namuona mwabukusi Kama pandikizi. Maana kaikuta CHADEMA inapambana, kaanzsha movement yake. Cha ajabu kila akiamka asubuhi matusi kwa upinzani ikiwemo CHADEMA. Mwabukusi anajua kuwa wananchi na wanachama wa CHADEMA waliotaka chama kishiriki uchaguzi mdogo wa mbarali, viongozi wakagoma. Sasa unamlaumuje CHADEMA kwa nafasi hiyo?. Mumshauri aache kelele za kuishambulia upinzani ana ajikiye kwenye movement yake.
 
Kwa akili yako unafikiri unaweza toka nyumbani kwako na visera vyako Chadema au ACT wakakuchukua tu??

Hizo taasisi ni Mali binafsi za watu kuingia huko mpaka ushikwe mkono.
 
Sasa Mkuu Mwabukusi anapambana na nani na CCM au Wapinzani. Yaani uko vitani na Wenzako ghafula unawageuka na kuanza kuwashambulia, unategemea adui unampunguzia au unamuongezea nguvu?
Usipoziba nyufa zenu kama wapinzani ni vigumu sana kuwashinda CCM mkiwa hampo organised, na hii inasababishwa na tamaa ya ubunge anayoilaumu Adv. Mwabukusi, kuwa na msimamo usioyumba wa kile unachopigania ni muhimu sana, hapo ndipo CCM hushtuka.

Lakini ukiona Samia anasema kule ndani kwao hapajatulia, ujue ameshawapima uzito akajua kilo zenu, hamumtishi tena, ndio maana Adv. Mwabukusi anawataka kurudi kwenye drawing board muangalie mnakosea wapi, yuko sahihi kabisa.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom