Wakili Pasco Mayala ameshinda kesi zipi, au anaishia kugongesha muhuri mauziano ya viwanja tu?

hahahaha umetema nyongo yote
 
labda za hapa JF.
Nakumbuka JPM alitafsiri jina la mayala ni njaa
 
Msomi mayala yeye alishasema kuwa yeye ni wakili wa haki za binadamu...


 
Sijaona haki yeyote ya mtu aliyoitetea

Kama Kuna ushaidi leta hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…