Wakili Pasco Mayala ameshinda kesi zipi, au anaishia kugongesha muhuri mauziano ya viwanja tu?

Wakili Pasco Mayala ameshinda kesi zipi, au anaishia kugongesha muhuri mauziano ya viwanja tu?

Mzee wangu pasco, ni moja kati ya watu muhimu na wenye upeo mkubwa hapa Jukwaani. Kiufupi ni hazina.

Japokuwa tunaweza kutofautiana mitazamo ila yuko vizuri sana.

Nadhani tatizo tunaliona kwake ni sababu ya KAZI anayoifanya.
Huwa ana jaribu kuwa neutral ila ndio hivyo.
Ameshinda kesi ipi? Ni hilo tu
 
Habari wana ndugu
Habari zinasema mwanahabari mwandamizi Pasco Mayala ni wakili msomi.
Kumekuwa na kesi mbalimbali zinazovuta hisia za watu ikiwemo zile kesi ambazo mawakili maarufu kama Madeleke, Kibatala, Matata hutokea kusaidia jamii ili kuweka mambo sawa na kuondoa uonevu kwa jamii inayoonewa na mafisadi. Lakini kwenye kesi hizi hatumsikii Pasco

Sasa najiuliza, yeye Pasco ameshinda kesi zipi?
Au bado yupo intern sehemu?
Au anaishia kugongesha mihuli tu kwenye mikataba ya mauziano ya mashamba na viwanja, ku certfy vyeti na kutengeneza Affidavit?

Naomba kuuliza Pascal Mayalla
Hivi Pascal naye ni Wakili wa kujitegemea?
 
Mwacheni aiseh mwacheni zile "voices from within " zinatosha kabisa kuwa hata namba moja sio uwakili msomi tu!!!

Moja kati ya watu makini wenye Bongo zinazosafiri mbele Kwa Kasi ya kipekee ni huyu jamaa!!!

"Could be john pombe Joseph magufuli"mgombea urais 2015!!!

Tena "mpango ndio mpango mzima"

"Japo tumeamua kwenda na mwanamke ,lakini amuachie kwanza mwanamme halafu ndio tuje na mwanamke !!!

Pascal mayala!
Anaokotoleza story za kijiweni na korido za mtaa na kuzifanya ziwe zake.
 
Habari wana ndugu
Habari zinasema mwanahabari mwandamizi Pasco Mayala ni wakili msomi.
Kumekuwa na kesi mbalimbali zinazovuta hisia za watu ikiwemo zile kesi ambazo mawakili maarufu kama Madeleke, Kibatala, Matata hutokea kusaidia jamii ili kuweka mambo sawa na kuondoa uonevu kwa jamii inayoonewa na mafisadi. Lakini kwenye kesi hizi hatumsikii Pasco

Sasa najiuliza, yeye Pasco ameshinda kesi zipi?
Au bado yupo intern sehemu?
Au anaishia kugongesha mihuli tu kwenye mikataba ya mauziano ya mashamba na viwanja, ku certfy vyeti na kutengeneza Affidavit?

Naomba kuuliza Pascal Mayalla
CPA ngoja na wewe aje kukuuliza umefunga mahesabu ya kampuni ngapi kubwa
 
Habari wana ndugu
Habari zinasema mwanahabari mwandamizi Pasco Mayala ni wakili msomi.
Kumekuwa na kesi mbalimbali zinazovuta hisia za watu ikiwemo zile kesi ambazo mawakili maarufu kama Madeleke, Kibatala, Matata hutokea kusaidia jamii ili kuweka mambo sawa na kuondoa uonevu kwa jamii inayoonewa na mafisadi. Lakini kwenye kesi hizi hatumsikii Pasco

Sasa najiuliza, yeye Pasco ameshinda kesi zipi?
Au bado yupo intern sehemu?
Au anaishia kugongesha mihuli tu kwenye mikataba ya mauziano ya mashamba na viwanja, ku certfy vyeti na kutengeneza Affidavit?

Naomba kuuliza Pascal Mayalla
Huyo sijwahi kusikia kuwa ni wakili, nijuavyo anasema amesoma sheria. Kusoma sheria siyo lazima uwe wakili,
 
Habari wana ndugu
Habari zinasema mwanahabari mwandamizi Pasco Mayala ni wakili msomi.
Kumekuwa na kesi mbalimbali zinazovuta hisia za watu ikiwemo zile kesi ambazo mawakili maarufu kama Madeleke, Kibatala, Matata hutokea kusaidia jamii ili kuweka mambo sawa na kuondoa uonevu kwa jamii inayoonewa na mafisadi. Lakini kwenye kesi hizi hatumsikii Pasco

Sasa najiuliza, yeye Pasco ameshinda kesi zipi?
Au bado yupo intern sehemu?
Au anaishia kugongesha mihuli tu kwenye mikataba ya mauziano ya mashamba na viwanja, ku certfy vyeti na kutengeneza Affidavit?

Naomba kuuliza Pascal Mayalla
Kwani wakili ni lazima ashinde kesi mahakamani?

Huelewi kuwa hata muandishi wa habari anaweza kutaka kusoma sheria na kuwa wakili ili kuwakilisha hoja fulani katika habari vizuri zaidi?
 
Habari wana ndugu
Habari zinasema mwanahabari mwandamizi Pasco Mayala ni wakili msomi.
Kumekuwa na kesi mbalimbali zinazovuta hisia za watu ikiwemo zile kesi ambazo mawakili maarufu kama Madeleke, Kibatala, Matata hutokea kusaidia jamii ili kuweka mambo sawa na kuondoa uonevu kwa jamii inayoonewa na mafisadi. Lakini kwenye kesi hizi hatumsikii Pasco

Sasa najiuliza, yeye Pasco ameshinda kesi zipi?
Au bado yupo intern sehemu?
Au anaishia kugongesha mihuli tu kwenye mikataba ya mauziano ya mashamba na viwanja, ku certfy vyeti na kutengeneza Affidavit?

Naomba kuuliza Pascal Mayalla
Ukisikia umbea ndiyo huu, unafuatilia maisha ya mwanamme mwenzako ili iweje?
 
Habari wana ndugu
Habari zinasema mwanahabari mwandamizi Pasco Mayala ni wakili msomi.
Kumekuwa na kesi mbalimbali zinazovuta hisia za watu ikiwemo zile kesi ambazo mawakili maarufu kama Madeleke, Kibatala, Matata hutokea kusaidia jamii ili kuweka mambo sawa na kuondoa uonevu kwa jamii inayoonewa na mafisadi. Lakini kwenye kesi hizi hatumsikii Pasco

Sasa najiuliza, yeye Pasco ameshinda kesi zipi?
Au bado yupo intern sehemu?
Au anaishia kugongesha mihuli tu kwenye mikataba ya mauziano ya mashamba na viwanja, ku certfy vyeti na kutengeneza Affidavit?

Naomba kuuliza Pascal Mayalla
Mwacheni Pasco na maisha yake bana!
 
Hajawahienda hata law school

Hata kama angeenda kwa uchawa wake kwa Serikali na Chama asingeweza simama mahakamani kuipinga Serikali kwa kigezo Cha kuwateteea walalahoi

Yuko radhi alambe matako ya wenye madaraka Ili tu kikampuni chake kipande tenda za kuhost sherehe za 7/7 au 8/8

Au kufukuzia teuzi za uDC na uRC


He is too coward to stand up for anything


We si unaona hata nyuzi zake humu ni ndeeeeefu kama kitabu Cha Barua Ndefu Kama Hii

Tena ni za kuuma na kupuliza bila ya kuwa msimamo maalumu

Zimejaa question marks ili likitokea la kutokea aseme nilishatabiri


Ndumilakuwili huyo
Unazijua sifa za kuwa wakili au unaandika kwasababu unacho cha kuandikia ?
 
Back
Top Bottom