OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
-
- #61
Ameshinda kesi ipi? Ni hilo tuMzee wangu pasco, ni moja kati ya watu muhimu na wenye upeo mkubwa hapa Jukwaani. Kiufupi ni hazina.
Japokuwa tunaweza kutofautiana mitazamo ila yuko vizuri sana.
Nadhani tatizo tunaliona kwake ni sababu ya KAZI anayoifanya.
Huwa ana jaribu kuwa neutral ila ndio hivyo.
Hivi Pascal naye ni Wakili wa kujitegemea?Habari wana ndugu
Habari zinasema mwanahabari mwandamizi Pasco Mayala ni wakili msomi.
Kumekuwa na kesi mbalimbali zinazovuta hisia za watu ikiwemo zile kesi ambazo mawakili maarufu kama Madeleke, Kibatala, Matata hutokea kusaidia jamii ili kuweka mambo sawa na kuondoa uonevu kwa jamii inayoonewa na mafisadi. Lakini kwenye kesi hizi hatumsikii Pasco
Sasa najiuliza, yeye Pasco ameshinda kesi zipi?
Au bado yupo intern sehemu?
Au anaishia kugongesha mihuli tu kwenye mikataba ya mauziano ya mashamba na viwanja, ku certfy vyeti na kutengeneza Affidavit?
Naomba kuuliza Pascal Mayalla
Utavitenganishaje sasa? Ni yeyeHii mada imekaa kujadili mtu personal badala ya taaluma yake.
Anaokotoleza story za kijiweni na korido za mtaa na kuzifanya ziwe zake.Mwacheni aiseh mwacheni zile "voices from within " zinatosha kabisa kuwa hata namba moja sio uwakili msomi tu!!!
Moja kati ya watu makini wenye Bongo zinazosafiri mbele Kwa Kasi ya kipekee ni huyu jamaa!!!
"Could be john pombe Joseph magufuli"mgombea urais 2015!!!
Tena "mpango ndio mpango mzima"
"Japo tumeamua kwenda na mwanamke ,lakini amuachie kwanza mwanamme halafu ndio tuje na mwanamke !!!
Pascal mayala!
CPA ngoja na wewe aje kukuuliza umefunga mahesabu ya kampuni ngapi kubwaHabari wana ndugu
Habari zinasema mwanahabari mwandamizi Pasco Mayala ni wakili msomi.
Kumekuwa na kesi mbalimbali zinazovuta hisia za watu ikiwemo zile kesi ambazo mawakili maarufu kama Madeleke, Kibatala, Matata hutokea kusaidia jamii ili kuweka mambo sawa na kuondoa uonevu kwa jamii inayoonewa na mafisadi. Lakini kwenye kesi hizi hatumsikii Pasco
Sasa najiuliza, yeye Pasco ameshinda kesi zipi?
Au bado yupo intern sehemu?
Au anaishia kugongesha mihuli tu kwenye mikataba ya mauziano ya mashamba na viwanja, ku certfy vyeti na kutengeneza Affidavit?
Naomba kuuliza Pascal Mayalla
Umeuliza kuwa alishinda kesi ipi ya kumtetea Mwananchi wa kawaida, mwisho wa hiyo Kesi Wakili Mayalla alinisaidia nikashinda kesiLakini mimi sikutaka tufike huku
Ndio, na kwa msaada wa wakili nilishinda kesi, hapa kijijini wamebaki kuniita MchawiAaahaaa
Huyo ng'ombe alishazaaa?
Huyo sijwahi kusikia kuwa ni wakili, nijuavyo anasema amesoma sheria. Kusoma sheria siyo lazima uwe wakili,Habari wana ndugu
Habari zinasema mwanahabari mwandamizi Pasco Mayala ni wakili msomi.
Kumekuwa na kesi mbalimbali zinazovuta hisia za watu ikiwemo zile kesi ambazo mawakili maarufu kama Madeleke, Kibatala, Matata hutokea kusaidia jamii ili kuweka mambo sawa na kuondoa uonevu kwa jamii inayoonewa na mafisadi. Lakini kwenye kesi hizi hatumsikii Pasco
Sasa najiuliza, yeye Pasco ameshinda kesi zipi?
Au bado yupo intern sehemu?
Au anaishia kugongesha mihuli tu kwenye mikataba ya mauziano ya mashamba na viwanja, ku certfy vyeti na kutengeneza Affidavit?
Naomba kuuliza Pascal Mayalla
Kwani wakili ni lazima ashinde kesi mahakamani?Habari wana ndugu
Habari zinasema mwanahabari mwandamizi Pasco Mayala ni wakili msomi.
Kumekuwa na kesi mbalimbali zinazovuta hisia za watu ikiwemo zile kesi ambazo mawakili maarufu kama Madeleke, Kibatala, Matata hutokea kusaidia jamii ili kuweka mambo sawa na kuondoa uonevu kwa jamii inayoonewa na mafisadi. Lakini kwenye kesi hizi hatumsikii Pasco
Sasa najiuliza, yeye Pasco ameshinda kesi zipi?
Au bado yupo intern sehemu?
Au anaishia kugongesha mihuli tu kwenye mikataba ya mauziano ya mashamba na viwanja, ku certfy vyeti na kutengeneza Affidavit?
Naomba kuuliza Pascal Mayalla
Upiga debeAmepewa kitengo Gani?
Kazi kweli kweliKAka Yangu Pascal Mayalla hebu Njoo huku vijana tuliowalea Leo hii wanakuja Kutuchafua Mitandaoni
Ukisikia umbea ndiyo huu, unafuatilia maisha ya mwanamme mwenzako ili iweje?Habari wana ndugu
Habari zinasema mwanahabari mwandamizi Pasco Mayala ni wakili msomi.
Kumekuwa na kesi mbalimbali zinazovuta hisia za watu ikiwemo zile kesi ambazo mawakili maarufu kama Madeleke, Kibatala, Matata hutokea kusaidia jamii ili kuweka mambo sawa na kuondoa uonevu kwa jamii inayoonewa na mafisadi. Lakini kwenye kesi hizi hatumsikii Pasco
Sasa najiuliza, yeye Pasco ameshinda kesi zipi?
Au bado yupo intern sehemu?
Au anaishia kugongesha mihuli tu kwenye mikataba ya mauziano ya mashamba na viwanja, ku certfy vyeti na kutengeneza Affidavit?
Naomba kuuliza Pascal Mayalla
Mwacheni Pasco na maisha yake bana!Habari wana ndugu
Habari zinasema mwanahabari mwandamizi Pasco Mayala ni wakili msomi.
Kumekuwa na kesi mbalimbali zinazovuta hisia za watu ikiwemo zile kesi ambazo mawakili maarufu kama Madeleke, Kibatala, Matata hutokea kusaidia jamii ili kuweka mambo sawa na kuondoa uonevu kwa jamii inayoonewa na mafisadi. Lakini kwenye kesi hizi hatumsikii Pasco
Sasa najiuliza, yeye Pasco ameshinda kesi zipi?
Au bado yupo intern sehemu?
Au anaishia kugongesha mihuli tu kwenye mikataba ya mauziano ya mashamba na viwanja, ku certfy vyeti na kutengeneza Affidavit?
Naomba kuuliza Pascal Mayalla
Unazijua sifa za kuwa wakili au unaandika kwasababu unacho cha kuandikia ?Hajawahienda hata law school
Hata kama angeenda kwa uchawa wake kwa Serikali na Chama asingeweza simama mahakamani kuipinga Serikali kwa kigezo Cha kuwateteea walalahoi
Yuko radhi alambe matako ya wenye madaraka Ili tu kikampuni chake kipande tenda za kuhost sherehe za 7/7 au 8/8
Au kufukuzia teuzi za uDC na uRC
He is too coward to stand up for anything
We si unaona hata nyuzi zake humu ni ndeeeeefu kama kitabu Cha Barua Ndefu Kama Hii
Tena ni za kuuma na kupuliza bila ya kuwa msimamo maalumu
Zimejaa question marks ili likitokea la kutokea aseme nilishatabiri
Ndumilakuwili huyo