Wakili Pasco Mayala ameshinda kesi zipi, au anaishia kugongesha muhuri mauziano ya viwanja tu?

Kwanza tuwekane sawa, wakili hashindi kesi na hakuna takwimu rasmi utakazopewa kuwa wakili huyu alishinda kesi hii na hii, wakili anaisaidia mahakama kufanya interpretation ya Sheria kulingana na mwenendo wa kesi , so hatujui ameshinda ngapi, je akienda mahakamani mahakama ikitoa hukumu in favour of his clients awe anakuja jamii foroum kuwatag watu, I think hoja Yako mleta Uzi ni first degree rubish
 
Haahhha Muhasibu Jibu lako Hili hapa
OKW BOBAN SUNZU
 
Haahhha Muhasibu Jibu lako Hili hapa
OKW BOBAN SUNZU
Mkuu mwanyaluke kazunguka tu na bila shaka anaelewa tunachozungumza. Hukumu ikitolewa in fovour of client kwa lugha nyepesi ameshinda kesi. Hakuna mahali tumetaka kila akishinda aje kusema humu, isipokuwa tumeomba kupima ufanisi wake kwa ujumla kama member anayeonekana VIP humu. Kwani ufanisi wa wakili msomi au hata kazi yeyote unapimwaje?
 
Utavitenganishaje sasa? Ni yeye
Uwakili una kazi nyingi, ushauri wa kisheria, kuthibitisha viapo, kuandaa nyaraka na mengineyo. Huwezi kupima uwakili wa mtu kwa kushinda kesi mahakamani.
Naweza kuwa nataka kununua nyumba au kufungua kampuni nikahitaji huduma ya kisheria.
Hao kina Kibatala wanaosifiwa ndio haohao walishitumiwa mke wa marehemu Msuya alipoachowa huruma kwa kesi ya mauaji ya Dada yake na Msuya.
Tofauti za kimitazamo ya kisiasa zisikufanye ukamshambulia mtu personal maadam amethibitishwa kuwa wakili Basi ana vigezo vyote ikiwemo kusimama mahakamani.
 
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ ukitaka taarifa nedna masijala, acha dharau bwana Mdogo, awe Intern? Kamaliza Law School tangu 2001.
 
We Jamaa mnaa sana
Faida ya kuwa na wakili aina ya Pascal Mayalla
Ana Ramani yote ya Nyumba mithiri ya Vessel 🚒
Anajua mengi kule,
Kula hawaitani Majina halisi wanaitana chief !
Ukiomba appointment naye hakikisha siyo siku ya weekend, maana ukijichanganya ukaenda Ijumaa familia yako iage kabisa maana humo hawaruhusu simu inaachwa kaunta! Utatoka jumatatu Kama ukienda kichwa kichwa
Wakili wa namna hii anajua mambo

Britanicca
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…