Wakili Peter Kibatala amuumbua IGP Simon Sirro katika Sakata la kesi ya Freeman Mbowe

Wakili Peter Kibatala amuumbua IGP Simon Sirro katika Sakata la kesi ya Freeman Mbowe

CDM mnatakiwa mzinduke sikuu moja mjue kuwa, kibatala hana uwezo kuwasaidia kesi za mahakamani, zote huwa anadondokea pua, hata ile kesi laini ya sugu na masonga mbeya alidondokea pua. ni mwanasiasa tu lakini uwezo wa sheria hana.

Mtu pekee aliyekuwa anawasaidia alikuwa Tundu lisu, huyo ana uwezo mkubwa sana mahakamani, tafuteni wengine, hata kina john malya tu ambao wao hawaongei ongei, vitendo wanavifanya, Kibatala tangu asome kadigrii kake "Mzumbe" ka miaka 3 na kubambiabambia analoliweza ni siasa za mahakamani tu.

Kwa wanaomjua vizuri akiwa mahakamani, ana emotions mno anawaka mno hatoi hoja, ni mlopokaji tu tofauti na wanasheria wenye akili. BADILISHENI MWANASHERIA, MTAKUJA KUNISHUKURU.
Acha uwongo mwezi uliopita kashinda kesi mahakama kuu ile kesi serikali waliamuliwa warudishe fedha, kadanganye ccm wenzako
 
Mbona naye huyo anaiongelea sasa, na mbona hao CDM wanaiongelea kila siku tena kwenye press?!
Mi siipendi michadema kwa sababu inapendaga kupindisha ukweli.
CCM wananyoosha sio?

Mbinguni utapasikia tu
 
CDM mnatakiwa mzinduke sikuu moja mjue kuwa, kibatala hana uwezo kuwasaidia kesi za mahakamani, zote huwa anadondokea pua, hata ile kesi laini ya sugu na masonga mbeya alidondokea pua. ni mwanasiasa tu lakini uwezo wa sheria hana.

Mtu pekee aliyekuwa anawasaidia alikuwa Tundu lisu, huyo ana uwezo mkubwa sana mahakamani, tafuteni wengine, hata kina john malya tu ambao wao hawaongei ongei, vitendo wanavifanya, Kibatala tangu asome kadigrii kake "Mzumbe" ka miaka 3 na kubambiabambia analoliweza ni siasa za mahakamani tu.

Kwa wanaomjua vizuri akiwa mahakamani, ana emotions mno anawaka mno hatoi hoja, ni mlopokaji tu tofauti na wanasheria wenye akili. BADILISHENI MWANASHERIA, MTAKUJA KUNISHUKURU.
Umemaliza kuandika...?

Au bado unaendelea...?
 
Dear Mr. IGP, Esq; Simon Sirro

1. When a matter is in Court, U are no longer the spokesperson in terms of the charges, or the evidence to be adduced in that regard. U, and those subordinate to U, of whom we will cherish the opportunity to cross-examine thoroughly, are just witnesses. The DPP's Office prosecutes, and it ought to be spokes-institution in the matter; if at all such a need is logically and legally necessary when they have notified the Court that investigation is complete and we expect the judicial process to take its course. Mbowe will tell his story, too; do not forget that.

Unasema suala lipo Mahakamani; and yet unaenda kwenye contents in a Press Conference 🤷‍♂️.

Anyways; Thank U for making Urself eligible to be summoned by us.

2. Nimesikia unasema watu wakamuulize Mbowe awaambie ukweli; do U also mean waende wakawaulize wale vijana waliokuwa wanajeshi wa zamani, ambao wanashtakiwa pamoja na Mbowe, namna walivyotuambia sisi Mawakili kwamba waliteswa sana kabla ya kufikishwa Mahakamani? Mmoja wa hao vijana anasema hawezi hata kutembea vyema (ni kama amepata ulemavu) kwa sababu hiyo, na mwingine ametuonesha kile anachosema ni makovu aliyoyapata kutokana na mateso makali wakati wa mahojiano. Did U mean they should also have the opportunity to air their grievances of torture at this moment in time; to say that they were pressurized into implicating Mbowe, something they steadfastly refused to do?

I mean; what is good for the goose, must be good for the gander.

3. I am sure, upon reflection, U will find that Ur Presser was a contradiction in terms, inopportune and very ill-advised; and that the professional thing for U to do was to muster Ur witnesses and bring them to Court, where they will meet us fully prepared.
Mkuu wa jeshi la polisi anafanya utopolo ule je hao walioko chini yake watafanya nini? Hawa viongozi wamechanganyukiwa nafsi zinawatesa.
 
Dear Mr. IGP, Esq; Simon Sirro

1. When a matter is in Court, U are no longer the spokesperson in terms of the charges, or the evidence to be adduced in that regard. U, and those subordinate to U, of whom we will cherish the opportunity to cross-examine thoroughly, are just witnesses. The DPP's Office prosecutes, and it ought to be spokes-institution in the matter; if at all such a need is logically and legally necessary when they have notified the Court that investigation is complete and we expect the judicial process to take its course. Mbowe will tell his story, too; do not forget that.

Unasema suala lipo Mahakamani; and yet unaenda kwenye contents in a Press Conference 🤷‍♂️.

Anyways; Thank U for making Urself eligible to be summoned by us.

2. Nimesikia unasema watu wakamuulize Mbowe awaambie ukweli; do U also mean waende wakawaulize wale vijana waliokuwa wanajeshi wa zamani, ambao wanashtakiwa pamoja na Mbowe, namna walivyotuambia sisi Mawakili kwamba waliteswa sana kabla ya kufikishwa Mahakamani? Mmoja wa hao vijana anasema hawezi hata kutembea vyema (ni kama amepata ulemavu) kwa sababu hiyo, na mwingine ametuonesha kile anachosema ni makovu aliyoyapata kutokana na mateso makali wakati wa mahojiano. Did U mean they should also have the opportunity to air their grievances of torture at this moment in time; to say that they were pressurized into implicating Mbowe, something they steadfastly refused to do?

I mean; what is good for the goose, must be good for the gander.

3. I am sure, upon reflection, U will find that Ur Presser was a contradiction in terms, inopportune and very ill-advised; and that the professional thing for U to do was to muster Ur witnesses and bring them to Court, where they will meet us fully prepared.

Kamanda Sirro ayarudie rudie madini haya na kuyaweka for future references:

"1. Anyways; Thank U for making Urself eligible to be summoned by us.

2. I mean; what is good for the goose, must be good for the gander.

3. the professional thing for U to do was to muster Ur witnesses and bring them to Court, where they will meet us fully prepared."

Eti lawyer. Huo u lawyer haimkiniki ni kama zile PhD za korosho.

Hiiii bagosha!
 
Back
Top Bottom