Wakili Peter Madeleka akamatwa na polisi baada ya Mahakama Kuu kufuta Plea Bargain aliyoingia na DPP

Wakili Peter Madeleka akamatwa na polisi baada ya Mahakama Kuu kufuta Plea Bargain aliyoingia na DPP

Wakili Peter Madeleka amekamatwa na Polisi Arusha,

Amekamatwa mara baada ya High Court Arusha kufuta Plea Bargain aliyoingia na DPP

Taarifa zaidi kukujia

========
Tweet yake ya mwisho ilikuwa .... Mahakama Kuu ya Tanzania Arusha Leo tarehe 17 Julai 2023 IMEFUTA PLEA BARGAIN iliyoingiwa Kati ya DPP na PETER MADELEKA. Hata hivyo RCO ARUSHA ametuma ASKARI WANIKAMATE nikiwa Mahakamani. Bado sijatoka Kwa JAJI.

Baadhi ya kauli zake kuhusu sakata la bandari

1. Wakili Madeleka: Rais Samia nakusihi, Futa huu Mkataba wa Bandari
2. Wakili Madeleka: Dubai sio nchi kama ilivyo Zanzibar hivyo haiwezi kuingia mkataba na nchi nyingine
3. Wakili Madeleka ataka Jaji Biswalo achunguzwe suala zima la Plea Bargain
Kukichwa kutapambazuka..!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakili Peter Madeleka amekamatwa na Polisi Arusha,

Amekamatwa mara baada ya High Court Arusha kufuta Plea Bargain aliyoingia na DPP

Taarifa zaidi kukujia

========
Tweet yake ya mwisho ilikuwa .... Mahakama Kuu ya Tanzania Arusha Leo tarehe 17 Julai 2023 IMEFUTA PLEA BARGAIN iliyoingiwa Kati ya DPP na PETER MADELEKA. Hata hivyo RCO ARUSHA ametuma ASKARI WANIKAMATE nikiwa Mahakamani. Bado sijatoka Kwa JAJI.

Baadhi ya kauli zake kuhusu sakata la bandari

1. Wakili Madeleka: Rais Samia nakusihi, Futa huu Mkataba wa Bandari
2. Wakili Madeleka: Dubai sio nchi kama ilivyo Zanzibar hivyo haiwezi kuingia mkataba na nchi nyingine
3. Wakili Madeleka ataka Jaji Biswalo achunguzwe suala zima la Plea Bargain
Yeye si Wakili akapambane Sasa huko huko.

Mdomo Huwa unaponza kichwa 🤣🤣
 
Mahakama Kuu ya Tanzania Arusha leo tarehe 17 Julai 2023 imefuta Plea Bargain iliyoingiwa Kati ya DPP na PETER MADELEKA. Hata hivyo RCO Arusha ametuma Askari Wanikamate nikiwa Mahakamani. Bado sijatoka Kwa Jaji.

Hukumu iliyosomwa leo na Mahakama Kuu ya Tanzania Arusha mbele ya JAji Bade, licha ya Kufuta Plea Bargain Kati ya DPP na PETER MADELEKA, ilikuwa imeshajulikana Kwa Polisi na DPP Kabla ya kusomwa na Mahakama ikasaidia Mazingira ya Mimi kukamatwa.

Ameandika Wakili Peter Madeleka, Twitter
Hivi huyu bwana alikosea nini na wapi?
 
Hatari sana juzi ripoti ya Haki Jinai aliyotoa jaji mstaafu Mohamed Othman Chande na baadaye kauli ya mheshimiwa rais wa Jamhuri ya Muungano Dr. Samia Suluhu Hassan kuwa taasisi na viongozi waliopo katika mfumo wa haki jinai wabadilike bado haijaweza kuwafikia watendaji waliopo katika kuhakikisha haki ndani ya mfumo wa haki jinai Tanzania

View attachment 2690768
Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan tarehe 15 July 2023 amepokea ripoti ya Tume ya Rais ya Kuboresha Taasisi za Haki Jinai kutoka kwa Mwenyekiti wa tume hiyo, Jaji Mkuu Mstaafu Mohammed Othman Chande, Ikulu jijini Dar es Salaam.
Unapotaka na wewe tenda haki

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Itabidi kuangalia upya vigezo vya polisi. Badala ya kuifanya kazi ya polisi kuwa ni kazi ya watu wenye uwezo mdogo wa akili iwe ni kazi ya watu wenye upeo mkubwa, weledi na watu wenye akili ya kutosha.

Mkiwa na polisi wasiojitambua wanaweza kuifanya nchi kuonekana ni ya ajabu.
Polisi ni watekelezaji tu.
Polisi hawezi kukukamata ikiwa huna anayekushtaki.
Haya ni maelekezo ya wajomba wa DPW
 
Nini sababu ya kupata matatizo yaliyopelekea kufanya makubaliano ya malipo? Kuna nyakati zinafanunua lengo la maisha yetu. kama vile ukweli ulivyofanana na kisu kikali kiachochoma.
Na ukweli huo ndio utatuweka huru
Alikua na kesi enzi za Magu zile ya uhujumu uchumi na utakasishaji.
Ishu ni kesi yake ya nyuma na sio hili la maoni ya bandari.
 
Itabidi kuangalia upya vigezo vya polisi. Badala ya kuifanya kazi ya polisi kuwa ni kazi ya watu wenye uwezo mdogo wa akili iwe ni kazi ya watu wenye upeo mkubwa, weledi na watu wenye akili ya kutosha.

Mkiwa na polisi wasiojitambua wanaweza kuifanya nchi kuonekana ni ya ajabu.
Hapo unawalaumu vp polisi wakati Mahakama ndiyo imefuta PB?

Polisi wamefata maelekezo tu
 
Haya sasa BANDARI 😳😳😳😳😳
91BD5A72-BEC0-4E8D-91FD-31B84DA7B4CC.jpeg
 
Itabidi kuangalia upya vigezo vya polisi. Badala ya kuifanya kazi ya polisi kuwa ni kazi ya watu wenye uwezo mdogo wa akili iwe ni kazi ya watu wenye upeo mkubwa, weledi na watu wenye akili ya kutosha.

Mkiwa na polisi wasiojitambua wanaweza kuifanya nchi kuonekana ni ya ajabu.
Huyu Wakili Madeleka Serikali imemlea sana. Ni wakati sasa wa kushughulikiwa!
 
Mbinu batili za kuwazuia watanganyika wasidai bandari zao walizopewa waarabu milele, Samia ni mwongo na msaliti mkubwa sana kwa watanganyika, na ni kiongozi dhaifu pia, kwani anachokisema hakitekelezwi na watendaji wake na hawafanyi kitu.
Last week Masauni alitoa vitisho nadhani huu ndio utekelezaji wake.
 
Wakili Peter Madeleka amekamatwa na Polisi Arusha,

Amekamatwa mara baada ya High Court Arusha kufuta Plea Bargain aliyoingia na DPP

Taarifa zaidi kukujia

========
Tweet yake ya mwisho ilikuwa .... Mahakama Kuu ya Tanzania Arusha Leo tarehe 17 Julai 2023 IMEFUTA PLEA BARGAIN iliyoingiwa Kati ya DPP na PETER MADELEKA. Hata hivyo RCO ARUSHA ametuma ASKARI WANIKAMATE nikiwa Mahakamani. Bado sijatoka Kwa JAJI.

Baadhi ya kauli zake kuhusu sakata la bandari

1. Wakili Madeleka: Rais Samia nakusihi, Futa huu Mkataba wa Bandari
2. Wakili Madeleka: Dubai sio nchi kama ilivyo Zanzibar hivyo haiwezi kuingia mkataba na nchi nyingine
3. Wakili Madeleka ataka Jaji Biswalo achunguzwe suala zima la Plea Bargain
E9B5B78D-6829-4D15-9332-6A735C2AAFA5.jpeg
 
Tatizo polisi wa Tanzania wanajiona wako so attached na CCM wanasahau upepo unaweza badilika saa yoyote. Uraiani watu wamechoka aisee. I bet Chanzo cha vurugu kitakuwa ni kauli za kibabe za CCM na polisi.
 
Sasa ni Rasmi BANDARI ni tatizo na yanayoendelea tunayafuatilia kwa karibu sana.
 
Itabidi kuangalia upya vigezo vya polisi. Badala ya kuifanya kazi ya polisi kuwa ni kazi ya watu wenye uwezo mdogo wa akili iwe ni kazi ya watu wenye upeo mkubwa, weledi na watu wenye akili ya kutosha.

Mkiwa na polisi wasiojitambua wanaweza kuifanya nchi kuonekana ni ya ajabu.


Shida siyo Police wala, ni center, hapo kazi inaanza upya.
 
Wakili Peter Madeleka amekamatwa na Polisi Arusha,

Amekamatwa mara baada ya High Court Arusha kufuta Plea Bargain aliyoingia na DPP

Taarifa zaidi kukujia

========
Tweet yake ya mwisho ilikuwa .... Mahakama Kuu ya Tanzania Arusha Leo tarehe 17 Julai 2023 IMEFUTA PLEA BARGAIN iliyoingiwa Kati ya DPP na PETER MADELEKA. Hata hivyo RCO ARUSHA ametuma ASKARI WANIKAMATE nikiwa Mahakamani. Bado sijatoka Kwa JAJI.

Baadhi ya kauli zake kuhusu sakata la bandari

1. Wakili Madeleka: Rais Samia nakusihi, Futa huu Mkataba wa Bandari
2. Wakili Madeleka: Dubai sio nchi kama ilivyo Zanzibar hivyo haiwezi kuingia mkataba na nchi nyingine
3. Wakili Madeleka ataka Jaji Biswalo achunguzwe suala zima la Plea Bargain
Acha akafie jela, Hana adabu kwa serikali
 
Back
Top Bottom