Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Eti wale wa "plea bargaining" wote walimaliza madeni yao ?!!!Unamtisha samaki na maji,wakili mahakamani ni sebuleni kwake.
Zaidi ya kumpaisha sidhani kuna jipya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti wale wa "plea bargaining" wote walimaliza madeni yao ?!!!Unamtisha samaki na maji,wakili mahakamani ni sebuleni kwake.
Zaidi ya kumpaisha sidhani kuna jipya
Eti wale wa "plea bargain" wote walimaliza madeni yao ?!!!Mbinu batili za kuwazuia watanganyika wasidai bandari zao walizopewa waarabu milele, Samia ni mwongo na msaliti mkubwa sana kwa watanganyika, na ni kiongozi dhaifu pia, kwani anachokisema hakitekelezwi na watendaji wake na hawafanyi kitu.
Eti wale watuhumiwa waliomalizana" kupitia "plea bargaining" wote walimaliza madeni wanayodaiwa?!!!Kuna wale wanatishia watu kuwakabidhi kwa machief!
Hii inadhihilisha kuwa, ccm, uovu wao wanaulinda kwa uovu! Wanatuma mapolisi kuwadhibiti watu ili wautetee uovu kwa nguvu zao zote! Na sisi kama watanganyika,
Watu wema wanaotetea haki, tutawakabidhi kwa Mungu mkuu wa haki na mwenye hukumu za haki dhidi ya uovu!
Nijualo ni moja tu! Jambo lenye haki, halilindwi kwa njia haramu!
Rudisheni bandari na ama mboreshe mkataba
Wale wadeni katika "plea bargaining" wote wamemaliza kulipa WANACHODAIWA?!!alitoa elimu ya mkataba,
Kwa hiyo kosa lake ni kuelimisha wananchi wa Tanganyika juu ya mkataba, wakaona walale nae mbele. Maigizo kutoka juu yameanza sio
Mimi sishikiwi akili kama weweChawa wa kiume huwa ni mkosi, badilika
Wengi walipotezea baada ya pressure ya kutoka nje kuisha.Eti wale wa "plea bargaining" wote walimaliza madeni yao ?!!!
Wakati mwingine tunawaonea polisi katika kazi zao....Mchongo kujifanya wanafanya kazi kumbe sifuri rushwa tupu
Washikishwe adabu Washenzi hawaNdio dawa yao Hawa watu wasio na shukran k
Hii ni Vita kamiliHatari sana juzi ripoti ya Haki Jinai aliyotoa jaji mstaafu Mohamed Othman Chande na baadaye kauli ya mheshimiwa rais wa Jamhuri ya Muungano Dr. Samia Suluhu Hassan kuwa taasisi na viongozi waliopo katika mfumo wa haki jinai wabadilike bado haijaweza kuwafikia watendaji waliopo katika kuhakikisha haki ndani ya mfumo wa haki jinai Tanzania
View attachment 2690768
Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan tarehe 15 July 2023 amepokea ripoti ya Tume ya Rais ya Kuboresha Taasisi za Haki Jinai kutoka kwa Mwenyekiti wa tume hiyo, Jaji Mkuu Mstaafu Mohammed Othman Chande, Ikulu jijini Dar es Salaam.
Sasa chawa ayashikiwaje akili kwani zipo sasa?Mimi sishikiwi akili kama wewe
Sasa chawa ayashikiwaje akili kwani zipo sasa?
Kwani zile pesa walizolipa mwanzo unajua zilipo?Eti wale watuhumiwa waliomalizana" kupitia "plea bargaining" wote walimaliza madeni wanayodaiwa?!!!
wazanzibar wanashirkikiana kuuza mali za Tangayika, hili tumewagomea - yes wakauze za kwao. afu na nyie wapemba mmezagaa tanganyika raha mustarehe, sasa tunasemajeeee - mjiandae mkabananiane huko kwenu. 😀😀Hata mkimkamata Bandari haiuzwi,kauzeni ya Zanzibar
Propaganda hizo zimegonga mwamba.😂wazanzibar wanashirkikiana kuuza mali za Tangayika, hili tumewagomea - yes wakauze za kwao. afu na nyie wapemba mmezagaa tanganyika raha mustarehe, sasa tunasemajeeee - mjiandae mkabananiane huko kwenu. 😀😀
Madeleka kutoka Polisi alifungua kampuni yake ya UWAKILI. Halafu kumbuka Mrs Madeleka alikuwa ni Mtumishi wa IMMIGRATION Mkoa wa Arusha akiwa kitengo kinachohusiana na wahamiaji haramu.Unamkamata kisa tu kakwambia ukweli kwamba DP World ni kampuni ya kitapeli. 🙂
Plea bargain inafutwaje na Mahakama?Mahakama Kuu ya Tanzania Arusha leo tarehe 17 Julai 2023 imefuta Plea Bargain iliyoingiwa Kati ya DPP na PETER MADELEKA. Hata hivyo RCO Arusha ametuma Askari Wanikamate nikiwa Mahakamani. Bado sijatoka Kwa Jaji.
Hukumu iliyosomwa leo na Mahakama Kuu ya Tanzania Arusha mbele ya JAji Bade, licha ya Kufuta Plea Bargain Kati ya DPP na PETER MADELEKA, ilikuwa imeshajulikana Kwa Polisi na DPP Kabla ya kusomwa na Mahakama ikasaidia Mazingira ya Mimi kukamatwa.
Ameandika Wakili Peter Madeleka, Twitter
Kwani wale wa "plea bargaining" wote wameshamaliza madeni yao ?!!Unamkamata kisa tu kakwambia ukweli kwamba DP World ni kampuni ya kitapeli. 🙂