Wakili Peter Madeleka akamatwa na polisi baada ya Mahakama Kuu kufuta Plea Bargain aliyoingia na DPP

Wakili Peter Madeleka akamatwa na polisi baada ya Mahakama Kuu kufuta Plea Bargain aliyoingia na DPP

Ripoti ya Haki jinai ulikuwa wazi kabisa yakuwa wale waliokuwa wanashitakiwa na walipo ingia makubaliano na Dpp hawakumalizia madeni Yao.

Na ripoti imeenda mbali zaidi na kusistiza wachukuliwe hatua maana kitendo hicho kinaalalisha yakuwa zoezi rile lilikuwa bariki.

Ninachotaka kusema hapa wale mliokamatwa mlidhani mmekamatwa na magufuli kiunevu na kifo chake mkaona mmepona umekula kwenu kimbieni fasta Kwa Dpp mmalize madeni yenu haraka kinyume chake sero zinawasubiri.

Popote ulipo Waitu Ta kabendera njoo ulipe mkopo wa uovu wako.

Popote mlipo waovu wote wa ple bagarning mjitokeze haraka mlipe mikopo ya matendo yenu machafu.

Sasa Madeleka anaweza kuwa mjinga kuropoka that much wakati ajamalizia kulipa? Atakuwa mpumbavu wa karne
 
Wakili Peter Madeleka amekamatwa na Polisi Arusha,

Amekamatwa mara baada ya High Court Arusha kufuta Plea Bargain aliyoingia na DPP

Taarifa zaidi kukujia

========
Tweet yake ya mwisho ilikuwa .... Mahakama Kuu ya Tanzania Arusha Leo tarehe 17 Julai 2023 IMEFUTA PLEA BARGAIN iliyoingiwa Kati ya DPP na PETER MADELEKA. Hata hivyo RCO ARUSHA ametuma ASKARI WANIKAMATE nikiwa Mahakamani. Bado sijatoka Kwa JAJI.

Baadhi ya kauli zake kuhusu sakata la bandari

1. Wakili Madeleka: Rais Samia nakusihi, Futa huu Mkataba wa Bandari
2. Wakili Madeleka: Dubai sio nchi kama ilivyo Zanzibar hivyo haiwezi kuingia mkataba na nchi nyingine
3. Wakili Madeleka ataka Jaji Biswalo achunguzwe suala zima la Plea Bargain
Wengi waliohoji bandari wanashughulikiwa....


Mimi mwenyewe nimeshaanza kupokea simu zisizoeleweka.

Siogopi
 
Wakili Peter Madeleka amekamatwa na Polisi Arusha,

Amekamatwa mara baada ya High Court Arusha kufuta Plea Bargain aliyoingia na DPP

Taarifa zaidi kukujia

========
Tweet yake ya mwisho ilikuwa .... Mahakama Kuu ya Tanzania Arusha Leo tarehe 17 Julai 2023 IMEFUTA PLEA BARGAIN iliyoingiwa Kati ya DPP na PETER MADELEKA. Hata hivyo RCO ARUSHA ametuma ASKARI WANIKAMATE nikiwa Mahakamani. Bado sijatoka Kwa JAJI.

Baadhi ya kauli zake kuhusu sakata la bandari

1. Wakili Madeleka: Rais Samia nakusihi, Futa huu Mkataba wa Bandari
2. Wakili Madeleka: Dubai sio nchi kama ilivyo Zanzibar hivyo haiwezi kuingia mkataba na nchi nyingine
3. Wakili Madeleka ataka Jaji Biswalo achunguzwe suala zima la Plea Bargain
Aliyejuu ya serikali ni Mungu tu.

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Itabidi kuangalia upya vigezo vya polisi. Badala ya kuifanya kazi ya polisi kuwa ni kazi ya watu wenye uwezo mdogo wa akili iwe ni kazi ya watu wenye upeo mkubwa, weledi na watu wenye akili ya kutosha.

Mkiwa na polisi wasiojitambua wanaweza kuifanya nchi kuonekana ni ya ajabu.
Shida ni jeshi la polisi kuwa chini ya amri ya hawa wezi. Tukiwa makini na uandishi wa katiba haya yote tutaweza kuwadhibiti hawa wanasiasa chafu. Shida inakuja ni wana mamlaka juu ya polisi. So hata polisi akiwa na discipline na akatumia common sense bado sheria za kazi zinambana.
 
Itabidi kuangalia upya vigezo vya polisi. Badala ya kuifanya kazi ya polisi kuwa ni kazi ya watu wenye uwezo mdogo wa akili iwe ni kazi ya watu wenye upeo mkubwa, weledi na watu wenye akili ya kutosha.

Mkiwa na polisi wasiojitambua wanaweza kuifanya nchi kuonekana ni ya ajabu.
Polisi ndiyo wamefuta plea bargain?
 
Hatari sana juzi ripoti ya Haki Jinai aliyotoa jaji mstaafu Mohamed Othman Chande na baadaye kauli ya mheshimiwa rais wa Jamhuri ya Muungano Dr. Samia Suluhu Hassan kuwa taasisi na viongozi waliopo katika mfumo wa haki jinai wabadilike bado haijaweza kuwafikia watendaji waliopo katika kuhakikisha haki ndani ya mfumo wa haki jinai Tanzania

View attachment 2690768
Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan tarehe 15 July 2023 amepokea ripoti ya Tume ya Rais ya Kuboresha Taasisi za Haki Jinai kutoka kwa Mwenyekiti wa tume hiyo, Jaji Mkuu Mstaafu Mohammed Othman Chande, Ikulu jijini Dar es Salaam.
Ile ilikuwa ripoti ya jumla. Mama kawapa tume majukumu mapya, kawaambia wajigawe kila kundi na specialisation yake na.kila kundi waje na recommendations na wahakikishe zinafanyiwa kazi.

Mama hatua zake faster, hakuna ngoja ngoja.

Watu wanaomtanguliza Mwenyezi Mungu wapo hivyo.
 
Kwani baada ya "plea bargain" kwa baadhi ya watuhumiwa tuliambiwa WENGINE hawakumaliza KULIPA MADENI YAO....

WENGINE hawakumaliza MADENI YAO.......

WENGINE hawakumaliza MADENI YAO......
 
Back
Top Bottom