uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Ripoti ya Haki jinai ulikuwa wazi kabisa yakuwa wale waliokuwa wanashitakiwa na walipo ingia makubaliano na Dpp hawakumalizia madeni Yao.
Na ripoti imeenda mbali zaidi na kusistiza wachukuliwe hatua maana kitendo hicho kinaalalisha yakuwa zoezi rile lilikuwa bariki.
Ninachotaka kusema hapa wale mliokamatwa mlidhani mmekamatwa na magufuli kiunevu na kifo chake mkaona mmepona umekula kwenu kimbieni fasta Kwa Dpp mmalize madeni yenu haraka kinyume chake sero zinawasubiri.
Popote ulipo Waitu Ta kabendera njoo ulipe mkopo wa uovu wako.
Popote mlipo waovu wote wa ple bagarning mjitokeze haraka mlipe mikopo ya matendo yenu machafu.
Sasa Madeleka anaweza kuwa mjinga kuropoka that much wakati ajamalizia kulipa? Atakuwa mpumbavu wa karne