Wakili Peter Madeleka akamatwa na polisi baada ya Mahakama Kuu kufuta Plea Bargain aliyoingia na DPP

Wakili Peter Madeleka akamatwa na polisi baada ya Mahakama Kuu kufuta Plea Bargain aliyoingia na DPP

wazanzibar wanashirkikiana kuuza mali za Tangayika, hili tumewagomea - yes wakauze za kwao. afu na nyie wapemba mmezagaa tanganyika raha mustarehe, sasa tunasemajeeee - mjiandae mkabananiane huko kwenu. 😀😀
Mkuu unataka "kuwafukuza" watanzania wenzako kutoka Pemba na kuwaanzishia "ambush" kisa DP WORLD ?!!

Mh.Rais SSH ni mtanzania kutoka "kusini" kunaitwa Kizimkazi Makunduchi [emoji1787]

Unapotaka kujenga hoja uijue kwanza historia....vinginevyo inakuwa "sarcasm" [emoji1787]

Tanganyika dola halikufutwa na wapemba bali baba wa taifa hayati JKN kwa malengo mapana na makubwa mno juu ya ustawi wetu watanzania....

Resty easy El Commandante JKN ,amen[emoji120]
 
Watu wengi wanashindwa kuelewa jambo moja, kilichotokea kwa Madeleka kukamatwa ni sawa sababu faili lake limerudishwa polisi wao warudishe kwa DPP alafu kesi iendelee pale ilipoishia.

Sasa mambo ya Tume ya kuchunguza haki jinai hapa yanaingia kwa udogo sana sababu Madeleka hajashinda kesi ya msingi bali ni ombi tu linalorudisha ile kesi ya msingi.

Kwa ufupi sana ni kwamba Madeleka ni mtuhumiwa kwa sasa, na ni mtuhumiwa kwa ile ile kesi yake ya awali ambayo kimsingi yeye mwenyewe ndio ameona sasa bora akapambane na ile kesi ya awali kwa kupinga alichokubaliana na DPP.

kwa ufupi sana jambo lake limekaa hivyo.
Enheee hizi ndizo akili za uchangiaji....si kujiropokea tu[emoji1787]

Kudos [emoji120]
 
Mkuu unataka "kuwafukuza" watanzania wenzako kutoka Pemba na kuwaanzishia "ambush" kisa DP WORLD ?!!

Mh.Rais SSH ni mtanzania kutoka "kusini" kunaitwa Kizimkazi Makunduchi [emoji1787]

Unapotaka kujenga hoja uijue kwanza historia....vinginevyo inakuwa "sarcasm" [emoji1787]

Tanganyika dola halikufutwa na wapemba bali baba wa taifa hayati JKN kwa malengo mapana na makubwa mno juu ya ustawi wetu watanzania....

Resty easy El Commandante JKN ,amen[emoji120]
Kuna watu hawajui historia ya hii nchi kabisaa

Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
 
Utadakwa tu, Samia alikuwa anawatendea wema mkamchukulia poa
Kwa kuwa nchi ni yake na anajitwika umungu kwenye hatma ya maisha yetu?

Mungu alitemuumba yeye hatomuacha atese wanadamu wenzake. Hakuna atakayeishi milele. Damu itamlilia hadi atakaposhuka kuzimu
 
Mkuu unataka "kuwafukuza" watanzania wenzako kutoka Pemba na kuwaanzishia "ambush" kisa DP WORLD ?!!

Mh.Rais SSH ni mtanzania kutoka "kusini" kunaitwa Kizimkazi Makunduchi [emoji1787]

Unapotaka kujenga hoja uijue kwanza historia....vinginevyo inakuwa "sarcasm" [emoji1787]

Tanganyika dola halikufutwa na wapemba bali baba wa taifa hayati JKN kwa malengo mapana na makubwa mno juu ya ustawi wetu watanzania....

Resty easy El Commandante JKN ,amen[emoji120]
ni sawa, tumeungana lakini kila nchi iheshimu mali za mwenzake, kwa mfano wapemba wao wananunua mashamba huku kwetu bila zuio lolote lakini sisi kule kwao kupata hati ya kumiliki kipande cha ardhi haipo, sasa huo ndo muungano gani bwa sheikh.

Basi sawa mengi tuyaache cha msingi huyo mwarabu DP World hatumtaki ndani ya Tanganyika yetu.
 
Hakuna mahakama Tz
Mahakama ni kichaka cha kutesa watu lakini ipo siku walio ndani watakuwa nje na walio nje watakuwa ndani.
 
ni sawa, tumeungana lakini kila nchi iheshimu mali za mwenzake, kwa mfano wapemba wao wananunua mashamba huku kwetu bila zuio lolote lakini sisi kule kwao kupata hati ya kumiliki kipande cha ardhi haipo, sasa huo ndo muungano gani bwa sheikh.

Basi sawa mengi tuyaache cha msingi huyo mwarabu DP World hatumtaki ndani ya Tanganyika yetu.
Kwa kukufahamisha tu uboreshwaji wa bandari upo kwenye ilani ya chama tawala. Maswala ya uzanzibari na propaganda za mkabila Mbowe yamegonga mwamba 🙂
 
Katika kuhakikisha bandari zetu zisiharibiwe Kwa vizazi vijavyo,

We have a price to pay.

Hatutakubali.
 
Ngoja watanzania wazalendo wataingia barabarani kuandamana kwa ajili yake ili aachiwe asijali.
 
Ripoti ya Haki jinai ulikuwa wazi kabisa yakuwa wale waliokuwa wanashitakiwa na walipo ingia makubaliano na Dpp hawakumalizia madeni Yao.

Na ripoti imeenda mbali zaidi na kusistiza wachukuliwe hatua maana kitendo hicho kinaalalisha yakuwa zoezi rile lilikuwa bariki.

Ninachotaka kusema hapa wale mliokamatwa mlidhani mmekamatwa na magufuli kiunevu na kifo chake mkaona mmepona umekula kwenu kimbieni fasta Kwa Dpp mmalize madeni yenu haraka kinyume chake sero zinawasubiri.

Popote ulipo Waitu Ta kabendera njoo ulipe mkopo wa uovu wako.

Popote mlipo waovu wote wa ple bagarning mjitokeze haraka mlipe mikopo ya matendo yenu machafu.
Nyie ni wajinga sana hapa nchini.
 
Itabidi kuangalia upya vigezo vya polisi. Badala ya kuifanya kazi ya polisi kuwa ni kazi ya watu wenye uwezo mdogo wa akili iwe ni kazi ya watu wenye upeo mkubwa, weledi na watu wenye akili ya kutosha.

Mkiwa na polisi wasiojitambua wanaweza kuifanya nchi kuonekana ni ya ajabu.
Hili nalo ni neno
 
Kuna wale wanatishia watu kuwakabidhi kwa machief!

Hii inadhihilisha kuwa, ccm, uovu wao wanaulinda kwa uovu! Wanatuma mapolisi kuwadhibiti watu ili wautetee uovu kwa nguvu zao zote! Na sisi kama watanganyika,

Watu wema wanaotetea haki, tutawakabidhi kwa Mungu mkuu wa haki na mwenye hukumu za haki dhidi ya uovu!

Nijualo ni moja tu! Jambo lenye haki, halilindwi kwa njia haramu!

Rudisheni bandari na ama mboreshe mkataba
CCM ni hatari sn kwa uovu
 
Back
Top Bottom