Wakili Peter Madeleka akamatwa na polisi baada ya Mahakama Kuu kufuta Plea Bargain aliyoingia na DPP

Wakili Peter Madeleka akamatwa na polisi baada ya Mahakama Kuu kufuta Plea Bargain aliyoingia na DPP

Hatari sana juzi ripoti ya Haki Jinai aliyotoa jaji mstaafu Mohamed Othman Chande na baadaye kauli ya mheshimiwa rais wa Jamhuri ya Muungano Dr. Samia Suluhu Hassan kuwa taasisi na viongozi waliopo katika mfumo wa haki jinai wabadilike bado haijaweza kuwafikia watendaji waliopo katika kuhakikisha haki ndani ya mfumo wa haki jinai Tanzania

View attachment 2690768
Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan tarehe 15 July 2023 amepokea ripoti ya Tume ya Rais ya Kuboresha Taasisi za Haki Jinai kutoka kwa Mwenyekiti wa tume hiyo, Jaji Mkuu Mstaafu Mohammed Othman Chande, Ikulu jijini Dar es Salaam.
Kwani ile ripoti nani ataijali ?!.
Mh mwenyewe katoa maelekezo utafikiri anaomba badala ya kuelekeza !! Ile itakaliwa kama ripoti za tume nyingine.
 
Do you know what is plea bargaining? Kuna makosa of lesser charge unakubali na mengine yanafutwa. Sasa Peter alikubaliana nini nakutimiza masharti yapi ? Imekula kwake
 
Hatari sana juzi ripoti ya Haki Jinai aliyotoa jaji mstaafu Mohamed Othman Chande na baadaye kauli ya mheshimiwa rais wa Jamhuri ya Muungano Dr. Samia Suluhu Hassan kuwa taasisi na viongozi waliopo katika mfumo wa haki jinai wabadilike bado haijaweza kuwafikia watendaji waliopo katika kuhakikisha haki ndani ya mfumo wa haki jinai Tanzania

View attachment 2690768
Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan tarehe 15 July 2023 amepokea ripoti ya Tume ya Rais ya Kuboresha Taasisi za Haki Jinai kutoka kwa Mwenyekiti wa tume hiyo, Jaji Mkuu Mstaafu Mohammed Othman Chande, Ikulu jijini Dar es Salaam.
Hatujawahi kuwa na rais dhaifu na mnafiki kama huyu mnamuita "nani kama mama". Look! Hypocrisy is written all over her many plastic faces. Alishawaambia anajua kupuliza hamkumuelewa! Hiyo report ni danganya toto kwa wamangaribi. Anataka kumuiga jakaya lakini kwa vile ni kilaza hawezi kuficha udhaifu wake! Draconian dictator!
 
Wakili Peter Madeleka amekamatwa na Polisi Arusha,

Amekamatwa mara baada ya High Court Arusha kufuta Plea Bargain aliyoingia na DPP

Taarifa zaidi kukujia

========
Tweet yake ya mwisho ilikuwa .... Mahakama Kuu ya Tanzania Arusha Leo tarehe 17 Julai 2023 IMEFUTA PLEA BARGAIN iliyoingiwa Kati ya DPP na PETER MADELEKA. Hata hivyo RCO ARUSHA ametuma ASKARI WANIKAMATE nikiwa Mahakamani. Bado sijatoka Kwa JAJI.

Baadhi ya kauli zake kuhusu sakata la bandari

1. Wakili Madeleka: Rais Samia nakusihi, Futa huu Mkataba wa Bandari
2. Wakili Madeleka: Dubai sio nchi kama ilivyo Zanzibar hivyo haiwezi kuingia mkataba na nchi nyingine
3. Wakili Madeleka ataka Jaji Biswalo achunguzwe suala zima la Plea Bargain
Hivi Rostam alichozituhumu mahakama zetu ndicho kilichofanyika?
 
Mbinu batili za kuwazuia watanganyika wasidai bandari zao walizopewa waarabu milele, Samia ni mwongo na msaliti mkubwa sana kwa watanganyika, na ni kiongozi dhaifu pia, kwani anachokisema hakitekelezwi na watendaji wake na hawafanyi kitu.
nidhaifu kwa kuwa kawafungulia uhuru wa kumtukana
 
Sasa Madeleka anaweza kuwa mjinga kuropoka that much wakati ajamalizia kulipa? Atakuwa mpumbavu wa karne

Huyo ni mjinga kama Mbowe tu, wanafikiri kesi ya jinai huisha bila kuhukuiwa. Hawaelewi kuwa kesi ya jinai, hata Rais akikusamehe, sheria bado inaweza kukushitaki.
 
Hatari sana juzi ripoti ya Haki Jinai aliyotoa jaji mstaafu Mohamed Othman Chande na baadaye kauli ya mheshimiwa rais wa Jamhuri ya Muungano Dr. Samia Suluhu Hassan kuwa taasisi na viongozi waliopo katika mfumo wa haki jinai wabadilike bado haijaweza kuwafikia watendaji waliopo katika kuhakikisha haki ndani ya mfumo wa haki jinai Tanzania

View attachment 2690768
Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan tarehe 15 July 2023 amepokea ripoti ya Tume ya Rais ya Kuboresha Taasisi za Haki Jinai kutoka kwa Mwenyekiti wa tume hiyo, Jaji Mkuu Mstaafu Mohammed Othman Chande, Ikulu jijini Dar es Salaam.
Ile rapoti ilikuwa ni furahisha genge. Hakuna uwezekano ile ripoti kutekelezwa chochote, maana ikitekelezwa itakuwa mwisho wa CCM kuendelea kukaa madarakani kwa shuruti.
 
Huyo ni mjinga kama Mbowe tu, wanafikiri kesi ya jinai huisha bila kuhukuiwa. Hawaelewi kuwa kesi ya jinai, hata Rais akikusamehe, sheria bado inaweza kukushitaki.
Sio sheria, sema amri kutoka juu. Ama unadhani hatujui sheria zinafanya vipi kazi?
 
Back
Top Bottom