Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Kuboreshwa na KUBINAFSISHWA ni kitu kimoja?Kwa kukufahamisha tu uboreshwaji wa bandari upo kwenye ilani ya chama tawala. Maswala ya uzanzibari na propaganda za mkabila Mbowe yamegonga mwamba 🙂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuboreshwa na KUBINAFSISHWA ni kitu kimoja?Kwa kukufahamisha tu uboreshwaji wa bandari upo kwenye ilani ya chama tawala. Maswala ya uzanzibari na propaganda za mkabila Mbowe yamegonga mwamba 🙂
Kwani ile ripoti nani ataijali ?!.Hatari sana juzi ripoti ya Haki Jinai aliyotoa jaji mstaafu Mohamed Othman Chande na baadaye kauli ya mheshimiwa rais wa Jamhuri ya Muungano Dr. Samia Suluhu Hassan kuwa taasisi na viongozi waliopo katika mfumo wa haki jinai wabadilike bado haijaweza kuwafikia watendaji waliopo katika kuhakikisha haki ndani ya mfumo wa haki jinai Tanzania
View attachment 2690768
Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan tarehe 15 July 2023 amepokea ripoti ya Tume ya Rais ya Kuboresha Taasisi za Haki Jinai kutoka kwa Mwenyekiti wa tume hiyo, Jaji Mkuu Mstaafu Mohammed Othman Chande, Ikulu jijini Dar es Salaam.
Ukabila hauna tija Tanzania.Kuboreshwa na KUBINAFSISHWA ni kitu kimoja?
Sawa mwenye maradhi mtambukaUkabila hauna tija Tanzania.
Hatujawahi kuwa na rais dhaifu na mnafiki kama huyu mnamuita "nani kama mama". Look! Hypocrisy is written all over her many plastic faces. Alishawaambia anajua kupuliza hamkumuelewa! Hiyo report ni danganya toto kwa wamangaribi. Anataka kumuiga jakaya lakini kwa vile ni kilaza hawezi kuficha udhaifu wake! Draconian dictator!Hatari sana juzi ripoti ya Haki Jinai aliyotoa jaji mstaafu Mohamed Othman Chande na baadaye kauli ya mheshimiwa rais wa Jamhuri ya Muungano Dr. Samia Suluhu Hassan kuwa taasisi na viongozi waliopo katika mfumo wa haki jinai wabadilike bado haijaweza kuwafikia watendaji waliopo katika kuhakikisha haki ndani ya mfumo wa haki jinai Tanzania
View attachment 2690768
Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan tarehe 15 July 2023 amepokea ripoti ya Tume ya Rais ya Kuboresha Taasisi za Haki Jinai kutoka kwa Mwenyekiti wa tume hiyo, Jaji Mkuu Mstaafu Mohammed Othman Chande, Ikulu jijini Dar es Salaam.
Ulisikia wapi?🙂Sawa mwenye maradhi mtambuka
Watanzania tumelogwa haswaaa! sasa hapa umeandika ni wewe mrundi! Mtu anatetea maslahi yako wewe unainama chooni kunusa harufu ndio unakuja kuandika!Yeye si Wakili akapambane Sasa huko huko.
Mdomo Huwa unaponza kichwa 🤣🤣
Hivi Rostam alichozituhumu mahakama zetu ndicho kilichofanyika?Wakili Peter Madeleka amekamatwa na Polisi Arusha,
Amekamatwa mara baada ya High Court Arusha kufuta Plea Bargain aliyoingia na DPP
Taarifa zaidi kukujia
========
Tweet yake ya mwisho ilikuwa .... Mahakama Kuu ya Tanzania Arusha Leo tarehe 17 Julai 2023 IMEFUTA PLEA BARGAIN iliyoingiwa Kati ya DPP na PETER MADELEKA. Hata hivyo RCO ARUSHA ametuma ASKARI WANIKAMATE nikiwa Mahakamani. Bado sijatoka Kwa JAJI.
Baadhi ya kauli zake kuhusu sakata la bandari
1. Wakili Madeleka: Rais Samia nakusihi, Futa huu Mkataba wa Bandari
2. Wakili Madeleka: Dubai sio nchi kama ilivyo Zanzibar hivyo haiwezi kuingia mkataba na nchi nyingine
3. Wakili Madeleka ataka Jaji Biswalo achunguzwe suala zima la Plea Bargain
Rubbish thinking! wewe !Acha akafie jela, Hana adabu kwa serikali
Plea burgain ni criminal offence?Polisi ndiyo wamefuta plea bargain?
nidhaifu kwa kuwa kawafungulia uhuru wa kumtukanaMbinu batili za kuwazuia watanganyika wasidai bandari zao walizopewa waarabu milele, Samia ni mwongo na msaliti mkubwa sana kwa watanganyika, na ni kiongozi dhaifu pia, kwani anachokisema hakitekelezwi na watendaji wake na hawafanyi kitu.
Popote paleUlisikia wapi?🙂
Haya sawa.Popote pale
Maumivuu 😂😂😂😂Watanzania tumelogwa haswaaa! sasa hapa umeandika ni wewe mrundi! Mtu anatetea maslahi yako wewe unainama chooni kunusa harufu ndio unakuja kuandika!
Sasa Madeleka anaweza kuwa mjinga kuropoka that much wakati ajamalizia kulipa? Atakuwa mpumbavu wa karne
Ile rapoti ilikuwa ni furahisha genge. Hakuna uwezekano ile ripoti kutekelezwa chochote, maana ikitekelezwa itakuwa mwisho wa CCM kuendelea kukaa madarakani kwa shuruti.Hatari sana juzi ripoti ya Haki Jinai aliyotoa jaji mstaafu Mohamed Othman Chande na baadaye kauli ya mheshimiwa rais wa Jamhuri ya Muungano Dr. Samia Suluhu Hassan kuwa taasisi na viongozi waliopo katika mfumo wa haki jinai wabadilike bado haijaweza kuwafikia watendaji waliopo katika kuhakikisha haki ndani ya mfumo wa haki jinai Tanzania
View attachment 2690768
Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan tarehe 15 July 2023 amepokea ripoti ya Tume ya Rais ya Kuboresha Taasisi za Haki Jinai kutoka kwa Mwenyekiti wa tume hiyo, Jaji Mkuu Mstaafu Mohammed Othman Chande, Ikulu jijini Dar es Salaam.
Sio sheria, sema amri kutoka juu. Ama unadhani hatujui sheria zinafanya vipi kazi?Huyo ni mjinga kama Mbowe tu, wanafikiri kesi ya jinai huisha bila kuhukuiwa. Hawaelewi kuwa kesi ya jinai, hata Rais akikusamehe, sheria bado inaweza kukushitaki.
Ni kweli, serikali ya majizi ya kura lazima itawale kwa vitisho ama kukomoa.Huyu Wakili Madeleka Serikali imemlea sana. Ni wakati sasa wa kushughulikiwa!
100%Sio sheria, sema amri kutoka juu. Ama unadhani hatujui sheria zinafanya vipi kazi?