Wakili Peter Madeleka akamatwa na polisi baada ya Mahakama Kuu kufuta Plea Bargain aliyoingia na DPP

Kwamba sijaelewa kwamb imefutwa na kutakiwa kutumikia kifungo au imefutwa na SAS alipe pesa zote za plea bargain

Sijaelewa mkuu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hili sakata la huyu wakili nimewai kulisiki Ni tapeli mmoja mzuri San akishirikiana na mke wake

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kesi yake ya awali ilkuwa ipi mkuu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
HV huyu wakili Ana akili timamu kwli unajuwa kbsa una kesi na mamlakalkn uishi kuokozoaa HV hz Ni akili si angetulia kuliko kujifanya kisebusebu ona SAS watakacho mfanya yaani litafungwa kisembe sana

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Alianza mdude,
Kafata mdeleka,
Bado yule wakili wambeya.

List inaendelea, yote sababu ya bandari
 
Kuna mtu anajitambua mbele ya maelekezo?
 
Taasisi zibadilike huku anazipa maelekezo ya ajabu? Kuna taasisi imejituma?
 
Pascal Mayalla naomba mkiwa huko kwenye mikutano ya chama muwe mnashare huu ujumbe,

Tanzania ni nchi yenye polisi wa ajabu na sipati picha kama hawa polisi wadogo akili zao zipo hivi je viongozi wake uwezo wao ukoje
 
alitoa elimu ya mkataba,

Kwa hiyo kosa lake ni kuelimisha wananchi wa Tanganyika juu ya mkataba, wakaona walale nae mbele. Maigizo kutoka juu yameanza sio
SIMBA wa YUDA amerudi. Itakuwa alikuwa amekaa ngoxi ya, kondoo sasa taratibu inatoka.
 
Warudishe pesa yake sasa ,nchi ina watu wa ajabu sana hii
 
@PMadeleka alifanya plea bargain halafu karudi kuichallenge tena kama haikuwa voluntary. Ameshinda kesi na plea bargain kufutwa so kesi inaanza upya ya kwake

Haku calculate vizuri strategy yake and he chose the wrong time to challenge this
Labda ana uhakika wa kushinda kesi kama anajua jamuhuri haina ushahidi wa kutosheleza lakini atakuwa ashaumia mpaka ije iishe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…