Wakili Peter Madeleka: Freeman Mbowe amechanganywa na wafungwa wanaosubiri kunyongwa gerezani

Wakili Peter Madeleka: Freeman Mbowe amechanganywa na wafungwa wanaosubiri kunyongwa gerezani

Space imenoga kwa kweli ,Lema anazidi kutema cheche..ila Mama ni zaidi ya Magu yaani,unamweka mtu kwenye death row hata hukumu bado [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Mama ana roho mbaya sana kuliko watu wanavyodhani.
 
Nimeshtushwa na kusikitishwa sana, na hii taarifa kuwa mh. Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kuwekwa 'Condemn'. Yaan kuwekwa katika gerezani kwa kuchanganywa na wafungwa wanaosubiri kunyongwa.

Hii Ina leta maana kwamba wanamuandaa na kumtesa kisaikolojia kufanya ajiskie si chochote, na kwamba wanaweza hata kumnyonga.

Kwa kweli huu sio utu, kinyume cha haki za binadamu na kinyume cha katiba. Kwa katiba yetu, kila mtu anatakiwa kutafsiriwa kuwa huru mpaka atakapodhibitishwa na mahaka kuwa na kosa la kisheria.

Nchi ya Tanzania ni kwaajili ya watanzania wote.
Dah...huko kushtuka na kusikitishwa umejitakia mwenyewe...tena kwa uzembe binafsi...umeshindwa hata kuuliza utaratibu wa magereza na mahabusu ukoje? 🤣 🤣 🤣 🤣 🤭
 
Nimeshtushwa na kusikitishwa sana, na hii taarifa kuwa mh. Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kuwekwa 'Condemn'. Yaan kuwekwa katika gerezani kwa kuchanganywa na wafungwa wanaosubiri kunyongwa.

Hii Ina leta maana kwamba wanamuandaa na kumtesa kisaikolojia kufanya ajiskie si chochote, na kwamba wanaweza hata kumnyonga.

Kwa kweli huu sio utu, kinyume cha haki za binadamu na kinyume cha katiba. Kwa katiba yetu, kila mtu anatakiwa kutafsiriwa kuwa huru mpaka atakapodhibitishwa na mahaka kuwa na kosa la kisheria.

Nchi ya Tanzania ni kwaajili ya watanzania wote.
Huyo machozi malegevu na mkwe wake wote hawatoboi 2025 ndani ya ccm,yote wanayofanya yana wanarudi,naskia kuna mtoto wake watu wanampakata
 
Wewe ni muongo wa kupindukia kabisa. Kwanza Mahabusu hawachanganywi na wafungwa pia wafungwa walioadhibiwa kunyongwa hawakai na wafungwa wengine kabisa. Acha uongo mkuu!!
Dada kwema,pole n msiba wa hamza
 
Unaona ulivohujui kitu....gereza lolote lile wanakaa mahabusu na wafungwa..isipokuwa wanalala tofauti...hi Ni kutokana personal experience
Nyau wewe Dar es salaam Magereza ya mahabusu ni Keko na Segerea ,kama hujawahi kukaa jela Kaa kimya sisi tunajua uchungu wa jela
 
Wewe ni muongo wa kupindukia kabisa. Kwanza Mahabusu hawachanganywi na wafungwa pia wafungwa walioadhibiwa kunyongwa hawakai na wafungwa wengine kabisa. Acha uongo mkuu!!
Weka ushahidi hapa na siyo kupanua domo la maneno matupu...
 
Siku ukijua unacho kiandika na ukweli ulivyo utaacha upumbavu wa kusikia na kuanza kufatilia hata mfungwa aliefungwa kifungo Cha miaka 30 hawezi kuchanganywa na walio hukumiwa kunyongwa wale hawana Cha kupoteza wanaweza hata kumuuwa mfungwa mwenzao hivyo wana ulinz na utaratbu maalum ili hata mmoja asisababishe madhara kwa mwngne je ndo waje wafanye ujinga wa kumchanganya na mahabusu?
Mbowe kuchanganywa na walio hukumiwa kunyongwa huo ni uongo uliokaa kitoto sana
 
Nyie nyie nyie washinda twitter na kutoa povu space mna tabia mbaya kumtesa baba wa watu kwa kisingizio cha ushupavu. Mnadanganyana huko weee kiongozi wenu lema ila kumkomboa mbowe mmejificha hamjitokezi
 
Nimeshtushwa na kusikitishwa sana, na hii taarifa kuwa mh. Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kuwekwa 'Condemn'. Yaan kuwekwa katika gerezani kwa kuchanganywa na wafungwa wanaosubiri kunyongwa.

Hii Ina leta maana kwamba wanamuandaa na kumtesa kisaikolojia kufanya ajiskie si chochote, na kwamba wanaweza hata kumnyonga.

Kwa kweli huu sio utu, kinyume cha haki za binadamu na kinyume cha katiba. Kwa katiba yetu, kila mtu anatakiwa kutafsiriwa kuwa huru mpaka atakapodhibitishwa na mahaka kuwa na kosa la kisheria.

Nchi ya Tanzania ni kwaajili ya watanzania wote.
Labda niseme kitu, tujifunze kusema ukweli ili tusipotoshe watu hapa, Wafungwa wa Kunyongwa wana gereza lao maalumu ambalo hata mfungwa wa kifungo cha maisha haruhusiwi kuingia huko, huyu mnayemsema kawekwa huko ni Mahabusu bado, hawezi kuingizwa huko kwa namna yeyote ile, semeni ukweli kwaajili ya ustawi wa Taifa letu msiwape watu taharuki ambayo haipo na haiwezi kutokea.
 
Wewe ni muongo wa kupindukia kabisa. Kwanza Mahabusu hawachanganywi na wafungwa pia wafungwa walioadhibiwa kunyongwa hawakai na wafungwa wengine kabisa. Acha uongo mkuu!!
Kwakweli watu tujitahidi kuwa wakweli, hakuna sababu ya kusema uongo ambao hata hauna faida yoyote kwa jamii
 
Pamoja na ukweli kwamba hakuna Mtu yeyote aliyehukumiwa kunyongwa na Mahakama za Tanzania ambaye atanyongwa , kutokana na "ucha mungu wa marais" wa nchi hii na kushindwa kusaini vifo vya waliohukumiwa kunyongwa , lakini binafsi sioni uhalali wowote wa Mahabusu kuchanganywa na Wafungwa .

Pamoja na ukweli kwamba lengo la Mamlaka kumchanganya Mbowe na waliohukumiwa kunyongwa ni mbinu ya kizamani na ya kishamba ya Kumtisha Mwamba Mbowe asiyetishika , lakini sioni uhalali wa Kisheria kwa Mahabusu kuchanganywa na Wafungwa , ni vema sheria za nchi zikaheshimiwa kidogo , hii ni kwa sababu WHAT GOES AROUND COMES AROUND .

Tunaomba Wanasheria waliopo hapa jf watutolee ufafanuzi wa Jambo hili
 
Pamoja na ukweli kwamba hakuna Mtu yeyote aliyehukumiwa kunyongwa na Mahakama za Tanzania ambaye atanyongwa , kutokana na "ucha mungu wa marais" wa nchi hii na kushindwa kusaini vifo vya waliohukumiwa kunyongwa , lakini binafsi sioni uhalali wowote wa Mahabusu kuchanganywa na Wafungwa .

Pamoja na ukweli kwamba lengo la Mamlaka kumchanganya Mbowe na waliohukumiwa kunyongwa ni mbinu ya kizamani na ya kishamba ya Kumtisha Mwamba Mbowe asiyetishika , lakini sioni uhalali wa Kisheria kwa Mahabusu kuchanganywa na Wafungwa , ni vema sheria za nchi zikaheshimiwa kidogo , hii ni kwa sababu WHAT GOES AROUND COMES AROUND .

Tunaomba Wanasheria waliopo hapa jf watutolee ufafanuzi wa Jambo hili
Mungu ibariki CHADEMA... Tutashinda zaidi ya kushinda..! Pambazuko haliko mbali... Mwamba yuko imara zaidi ya jana
 
Huyu watamnyonga wanajua wakimwachia atawaharbia
 
Hii imenishtusha sana.
Wakili amekwenda kumtembelea mheshimiwa Mbowe huko jela, na cha ajabu amewekwa sehemu ambayo hukaa wafungwa wanaosubiri kunyongwa. Mheshimiwa Mbowe hajahukumiwa mahakama yoyote lakini anakuwa treated vibaya sana.
Kwa kweli huu ni ukatili usio na kifani.
Kosa la mheshimiwa Mbowe ni kudai katiba mpya tu, kitu ambacho kimsingi kipo kwa mujibu wa sheria, maana kuna sheria ya mabadiliko ya katiba ya mwaka 2012.
Kwa kweli sikudhani kuwa serikali hii ingekuwa katili kiasi hiki.
But hebu ngoja tuone mwisho wake.

-----------------------------------------------------

Anaandika Wakili Peter Madeleka

Serikali ya SSH inafanya mambo yasiyokubalika kwa Freeman Aikael Mbowe.

Nilienda gereza la Ukonga na kwa bahati mbaya Sana nilikataliwa kumuona Mbowe Ingawa ninafahamika mimi ni wakili na nimeenda pale kwa mambo ya kisheria.

Kitu Cha ajabu imetolewa amri kutoka sehemu fulani na uongozi wa magereza umemtenga Mbowe na mahabusu wenzake na badala yake amewekwa pamoja na wafungwa wanaosubiri kunyongwa

Hii haikubaliki na ni Lazima kila mtu apige Kelele kwa anachofanyiwa Mbowe

 
Back
Top Bottom