Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Wewe ?.Unamuuliza nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ?.Unamuuliza nani?
Team Lissu hiyo.VIpi Mh Lema na Mh Heche?.
Kwani ulikuwa hujui?Boni Egg kumbe ni mtu wa hovyo.
Naunga mkono hojaMimi Peter Madeleka, natangaza rasmi, kwa wale ambao hamjui msimamo wangu, kwamba; ninamuunga mkono “simba” Tundu Lissu
Kwa kuwa anafaa kuwa, si tu, mwenyekiti wa chadema, bali, rais wa tanzania. Sifa zote anazo.
Naona kila mtu anamuunga mkono Tundu Lissu nadhani sauti ya Wengi ni Sauti ya Mungu,
Vox Populi, Vox Dei
View attachment 3183345
Uchaguzi ukiwa huru, Mbowe hashindi. Walio wengi ndani na nje ya CHADEMA wanamtaka Lissu. Nadhani hata yeye Mbowe anaingia mitandaoni na anajionea hali halisi.
Hata kama Mwenyekiti katuvunja moyo bado hatuwezi ku risk kuacha kumuunga Mkono Mzalendo mwenzetu Tundu Lissu.
Mkuu amini nakwambia Mbowe anatumiwa na CCM katika kugombea huo uenyekiti kumzuia Lissu. Hili limeliuma sana. CCM hawataishia hapo, watahakikisha anashinda hata iwejeUchaguzi ukiwa huru, Mbowe hashindi. Walio wengi ndani na nje ya CHADEMA wanamtaka Lissu. Nadhani hata yeye Mbowe anaingia mitandaoni na anajionea hali halisi.
TrueMkuu amini nakwambia Mbowe anatumiwa na CCM katika kugombea huo uenyekiti kumzuia Lissu. Hili limeliuma sana. CCM hawataishia hapo, watahakikisha anashinda hata iweje
Watu wote wenye akili wanaunva mkonp jambo hiliNaunga mkono hoja
P
Kama unaipenda nchi yetu, na mabadiliko ya kweli kwa vyama vya upinzani, lissu ndo jawabu sahihi, mbowe Hana jipya.Madeleka aungane na wapenda mabadiliko kumtafutia kura lissuMimi Peter Madeleka, natangaza rasmi, kwa wale ambao hamjui msimamo wangu, kwamba; ninamuunga mkono “simba” Tundu Lissu
Kwa kuwa anafaa kuwa, si tu, mwenyekiti wa chadema, bali, rais wa tanzania. Sifa zote anazo.
Naona kila mtu anamuunga mkono Tundu Lissu nadhani sauti ya Wengi ni Sauti ya Mungu,
Vox Populi, Vox Dei
View attachment 3183345
Haahaa mbowe yupi? Huyu aliyetawala miaka 20+ na Bado hatosheki?Siyo kweli wengi tunamtaka Mbowe hatutaki chama kifutwe au watu wafe kwa ukosefu wa busara.
Mitulinga haiwezi kuwa siasa ya maana mark my words mkuu
Je hawa ni wapiga kura?Mzee mbowe alinipanga miaka mitanoMwabukusi Slaa Mdude Lwaitama na wengine wengi wanamuunga mkono Lissu.
Boniyai Lumumba na Yericko ndo against Lissu.
Vita ni Kali sanaMimi Peter Madeleka, natangaza rasmi, kwa wale ambao hamjui msimamo wangu, kwamba; ninamuunga mkono “simba” Tundu Lissu
Kwa kuwa anafaa kuwa, si tu, mwenyekiti wa chadema, bali, rais wa tanzania. Sifa zote anazo.
Naona kila mtu anamuunga mkono Tundu Lissu nadhani sauti ya Wengi ni Sauti ya Mungu,
Vox Populi, Vox Dei
View attachment 3183345
Kaka mkubwa upo?Naunga mkono hoja
P
Safi MadelekeMimi Peter Madeleka, natangaza rasmi, kwa wale ambao hamjui msimamo wangu, kwamba; ninamuunga mkono “simba” Tundu Lissu
Kwa kuwa anafaa kuwa, si tu, mwenyekiti wa chadema, bali, rais wa tanzania. Sifa zote anazo.
Naona kila mtu anamuunga mkono Tundu Lissu nadhani sauti ya Wengi ni Sauti ya Mungu,
Vox Populi, Vox Dei
View attachment 3183345
SahihiMimi Peter Madeleka, natangaza rasmi, kwa wale ambao hamjui msimamo wangu, kwamba; ninamuunga mkono “simba” Tundu Lissu
Kwa kuwa anafaa kuwa, si tu, mwenyekiti wa chadema, bali, rais wa tanzania. Sifa zote anazo.
Naona kila mtu anamuunga mkono Tundu Lissu nadhani sauti ya Wengi ni Sauti ya Mungu,
Vox Populi, Vox Dei
View attachment 3183345
Nyingi tu ni Kwa kuwa sio mfuatiliajiHivi huyu Madeleka ameshinda kesi ngapi !.