Wakili Peter Madeleke: Tundu Lissu ni Simba Mkali

Wakili Peter Madeleke: Tundu Lissu ni Simba Mkali

Mimi Peter Madeleka, natangaza rasmi, kwa wale ambao hamjui msimamo wangu, kwamba; ninamuunga mkono “simba” Tundu Lissu

Kwa kuwa anafaa kuwa, si tu, mwenyekiti wa chadema, bali, rais wa tanzania. Sifa zote anazo.

Naona kila mtu anamuunga mkono Tundu Lissu nadhani sauti ya Wengi ni Sauti ya Mungu,
Vox Populi, Vox Dei

View attachment 3183345
Naunga mkono hoja
P
 
Uchaguzi ukiwa huru, Mbowe hashindi. Walio wengi ndani na nje ya CHADEMA wanamtaka Lissu. Nadhani hata yeye Mbowe anaingia mitandaoni na anajionea hali halisi.

Siyo kweli wengi tunamtaka Mbowe hatutaki chama kifutwe au watu wafe kwa ukosefu wa busara.
Mitulinga haiwezi kuwa siasa ya maana mark my words mkuu
 
Uchaguzi ukiwa huru, Mbowe hashindi. Walio wengi ndani na nje ya CHADEMA wanamtaka Lissu. Nadhani hata yeye Mbowe anaingia mitandaoni na anajionea hali halisi.
Mkuu amini nakwambia Mbowe anatumiwa na CCM katika kugombea huo uenyekiti kumzuia Lissu. Hili limeliuma sana. CCM hawataishia hapo, watahakikisha anashinda hata iweje
 
Mimi Peter Madeleka, natangaza rasmi, kwa wale ambao hamjui msimamo wangu, kwamba; ninamuunga mkono “simba” Tundu Lissu

Kwa kuwa anafaa kuwa, si tu, mwenyekiti wa chadema, bali, rais wa tanzania. Sifa zote anazo.

Naona kila mtu anamuunga mkono Tundu Lissu nadhani sauti ya Wengi ni Sauti ya Mungu,
Vox Populi, Vox Dei

View attachment 3183345
Kama unaipenda nchi yetu, na mabadiliko ya kweli kwa vyama vya upinzani, lissu ndo jawabu sahihi, mbowe Hana jipya.Madeleka aungane na wapenda mabadiliko kumtafutia kura lissu
 
Siyo kweli wengi tunamtaka Mbowe hatutaki chama kifutwe au watu wafe kwa ukosefu wa busara.
Mitulinga haiwezi kuwa siasa ya maana mark my words mkuu
Haahaa mbowe yupi? Huyu aliyetawala miaka 20+ na Bado hatosheki?
 
Mimi Peter Madeleka, natangaza rasmi, kwa wale ambao hamjui msimamo wangu, kwamba; ninamuunga mkono “simba” Tundu Lissu

Kwa kuwa anafaa kuwa, si tu, mwenyekiti wa chadema, bali, rais wa tanzania. Sifa zote anazo.

Naona kila mtu anamuunga mkono Tundu Lissu nadhani sauti ya Wengi ni Sauti ya Mungu,
Vox Populi, Vox Dei

View attachment 3183345
Vita ni Kali sana
 
Mimi Peter Madeleka, natangaza rasmi, kwa wale ambao hamjui msimamo wangu, kwamba; ninamuunga mkono “simba” Tundu Lissu

Kwa kuwa anafaa kuwa, si tu, mwenyekiti wa chadema, bali, rais wa tanzania. Sifa zote anazo.

Naona kila mtu anamuunga mkono Tundu Lissu nadhani sauti ya Wengi ni Sauti ya Mungu,
Vox Populi, Vox Dei

View attachment 3183345
Safi Madeleke
 
Mimi Peter Madeleka, natangaza rasmi, kwa wale ambao hamjui msimamo wangu, kwamba; ninamuunga mkono “simba” Tundu Lissu

Kwa kuwa anafaa kuwa, si tu, mwenyekiti wa chadema, bali, rais wa tanzania. Sifa zote anazo.

Naona kila mtu anamuunga mkono Tundu Lissu nadhani sauti ya Wengi ni Sauti ya Mungu,
Vox Populi, Vox Dei

View attachment 3183345
Sahihi
 
Back
Top Bottom