ighaghe
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 2,286
- 3,203
Mimi sio TL na siutaki uraisi wala siisumbui serikali.Kwa hiyo wewe ukipigwa na mitutu ya bunduki, ukipona unatakiwa kukamatwa ili uhojiwe kuhusu shambulio lako ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sio TL na siutaki uraisi wala siisumbui serikali.Kwa hiyo wewe ukipigwa na mitutu ya bunduki, ukipona unatakiwa kukamatwa ili uhojiwe kuhusu shambulio lako ?
Wakati Lissu anawapambania Watanzania wanaonyanyaswa na makampuni ya madini duniani kule Nyamongo na serikali ikipambana naye tokea wakati wa Mkapa ili kuyalinda makampuni hayo, huyo mnayempigia chapuo kuwa mzalendo alikuwepo baraza LA mawaziri.
Ndio maana mauongo yenu dhidi ya Lissu ukiyazungumzia pale Tarime watu wanaweza kukutwanga marungu.
Nani nchi hii kawapigania RAIA dhidi ya makampuni ya madini yanayoiba na viongozi wa serikali zaidi ya Lissu nchi hii?
CCM labda muyadanganye mazwazwa kama yale mliyoyakusanya uwanjani Jana jukwaani maana hayafuatilii mambo ya nchi hii kwa kusoma historia
Naskia tumeshitakiwa MIGA
Kwaiyo unatakaje??Baada ya taarifa za kuwepo kwa Tweet yenye barua ya wazi toka kwa raia wa Canada Bw. Robert Amsterdam, nimelazimika kujielemisha ili kujua huyu mtu ni nani, thanks to Google search. Niliyosoma kuhusu huyu mtu yamenishitua.
Kwa kifupi imeelezwa kwamba Bw Amsterdam ni wakili wa kimataifa anayejihusisha na kesi za kisiasa, mikataba ya madini, haki za binadamu, uakilishi wa kisheria wa makubwa duniani, n.k.
Kati ya kesi maarufu alizowahi kuzisimamia wakili Amsterdam ni zile zilizo wahusisha tajiri Mikhail Khodorkovsky wa Urusi na bilionea Thaksin Shinawatra wa Thailand. Wote hawa walishitakiwa nchini mwao kwa tuhuma za uhujumu uchumi na kuonyesha nia ya kupindua serikali za nchi zao. Ni wazi kwamba Rais Putin wa Urusi hakuchelewa kumsweka ndani tajiri huyo wa mafuta.
Kwenye kichwa cha habari "A lesson in Intellectual dishonesty and International meddling" mwandishi wa habari Tony Cartalucci anaelezea Wakili Robert Amsterdam kama mtetezi wa majambazi (convicted criminals) hida ya serikali kwa kutumia agenda za Uhuru wa kisiasa.
Wakili Amsterdam pia ameshiriki kwenye kesi za mikataba ya madini katika nchi za kiafrika. Kama raia wa Canada sitashangaa nikisikia kwamba pia alihusika kusimamia makampuni kama Acasia kwenye kesi mbali mbali za kuishitaki Tanzania kwenye mahakama za kimaifa.
Huyu ndiye mtu ambaye Tindu Lissu amemkodisha kusimamia kwenye shughuli zake za kisiasa. Swali linakuja akilini ni kwamba Bwana Lissu amempa ahadi gani ikiwa atakupa Rais?
Huyu mtu anahesabu za political goes gani kwa Tanzania kama ilivyokuwa huko kwenye mataifa mengine? Hakuna chembe ya ukweli kwamba mkataba wa Bw Lissu na Amsterdam unahusu kutuma ya kisiasa.
Andiko la mwandishi Tony kuhusu Intellectual dishonesty and International meddling linatoa picha kamili ya huyu mtu. Hapo ndipo Mh. Lissu ametufikisha kama nchi.
Nadhani kuna ukweli kwamba anatumwa na wakubwa.
Mwandiko wako Kama wa Anna MakindaBaada ya taarifa za kuwepo kwa Tweet yenye barua ya wazi toka kwa raia wa Canada Bw. Robert Amsterdam, nimelazimika kujielemisha ili kujua huyu mtu ni nani, thanks to Google search. Niliyosoma kuhusu huyu mtu yamenishitua.
Kwa kifupi imeelezwa kwamba Bw Amsterdam ni wakili wa kimataifa anayejihusisha na kesi za kisiasa, mikataba ya madini, haki za binadamu, uakilishi wa kisheria wa makubwa duniani, n.k.
Kati ya kesi maarufu alizowahi kuzisimamia wakili Amsterdam ni zile zilizo wahusisha tajiri Mikhail Khodorkovsky wa Urusi na bilionea Thaksin Shinawatra wa Thailand. Wote hawa walishitakiwa nchini mwao kwa tuhuma za uhujumu uchumi na kuonyesha nia ya kupindua serikali za nchi zao. Ni wazi kwamba Rais Putin wa Urusi hakuchelewa kumsweka ndani tajiri huyo wa mafuta.
Kwenye kichwa cha habari "A lesson in Intellectual dishonesty and International meddling" mwandishi wa habari Tony Cartalucci anaelezea Wakili Robert Amsterdam kama mtetezi wa majambazi (convicted criminals) hida ya serikali kwa kutumia agenda za Uhuru wa kisiasa.
Wakili Amsterdam pia ameshiriki kwenye kesi za mikataba ya madini katika nchi za kiafrika. Kama raia wa Canada sitashangaa nikisikia kwamba pia alihusika kusimamia makampuni kama Acasia kwenye kesi mbali mbali za kuishitaki Tanzania kwenye mahakama za kimaifa.
Huyu ndiye mtu ambaye Tindu Lissu amemkodisha kusimamia kwenye shughuli zake za kisiasa. Swali linakuja akilini ni kwamba Bwana Lissu amempa ahadi gani ikiwa atakupa Rais?
Huyu mtu anahesabu za political goes gani kwa Tanzania kama ilivyokuwa huko kwenye mataifa mengine? Hakuna chembe ya ukweli kwamba mkataba wa Bw Lissu na Amsterdam unahusu kutuma ya kisiasa.
Andiko la mwandishi Tony kuhusu Intellectual dishonesty and International meddling linatoa picha kamili ya huyu mtu. Hapo ndipo Mh. Lissu ametufikisha kama nchi.
Nadhani kuna ukweli kwamba anatumwa na wakubwa.
Wewe ni mmoja wa wainamia beberu?Hakuna nchi yoyote duniani including Marekani na China ambazo haziogopi sera mbaya za nje dhidi ya nchi yao sembuse nchi maskini kama Tanzania ambayo fedha karibu 50% zinatoka nje. Tumeona nchi nyingi tu tena zenye nguvu kama Russia, China, Iraq, etc zikiathirika vibaya na sunctions kutoka nje. Kuiangusha Tz ni rahisi mno hata baadhi ya watu binafsi wakiamua tu kufunga viwanda au biashara zao tayari nchi inayumba sembuse nchi matajiri. Lakini kwanini Robert unamsapoti magu na yote haya ya hovyo anayofanya? Natumaini wewe ni msomi flani lakini sioni unakwama wapi kuhusu uongozi mbovu wa kidikteta tulio nao, kwanini unasapoti udikteta na ukandamizi uliopo? Unafaidika nao? Basi jua kuna wengi sana wanaumia.
Sivyo hata kigogo na hata siwaiti mabeberu manake kama wao ni mabeberu basi akina nani ni majike? Nasema tu ni busara kushiriiana na nchi zilizoendelea badala ya kuwatukana huku tukikopa matrilioni kwao kila kukicha.Wewe ni mmoja wa wainamia beberu?