Wakili Robert Amsterdam ni nani?

Wakili Robert Amsterdam ni nani?

Nimemsikia akiipangia mahakama Cha kufanya. Hii ni style mpya na sijui itamfikisha wapi?

Anasema "kisutu nitakuja lakini no baada ya kujiridhisha kwamba Jambo hili la KIKATIBA ambalo linakuja kila baada ya miaka mitano ninajidhirisha kwamba Jambo hili limekamilika kikamilifu"

"Nawaomba Watanzania walio Dar es Salaam na mikoa jirani wajitokeze kwa wingi Kisutu siku ya jumatano"

Nimetafakari sana na kujiridhisha kwamba Tundu Lissu hayuko peke yake nyuma ya kauli na matendo take wapo watu wengi nyuma yake wasioitakia mema Tanzania na yeye ni kama chambo.

Aidha kwako Mwenyekiti Mbowe huyu Bwana kaja kukupaka kinyesi na kukipaka chama kinyesi hana Shida ya kuwa Rais wa Tanzania kwakua anajua Hilo haliwezekani, bali kaja kutumia CHADEMA Kama Daraja la kupata kile walichokipanga na walio nyuma yake.

Tahadhari Chama chako kisije kubeba dhima ya historia mbaya ya Udalali wa nchi yako kwa wazungu.

Mwisho, nijikumbushe pamoja na kuwakumbusha Watanzania wenzangu kwamba Tanzania ni kubwa kuliko mtu.

Wasalam
 
Nimemsikia akiipangia mahakama Cha kufanya. Hii ni style mpya na sijui itamfikisha wapi?

Anasema "kisutu nitakuja lakini no baada ya kujiridhisha kwamba Jambo hili la KIKATIBA ambalo linakuja kila baada ya miaka mitano ninajidhirisha kwamba Jambo hili limekamilika kikamilifu"

"Nawaomba Watanzania walio Dar es Salaam na mikoa jirani wajitokeze kwa wingi Kisutu siku ya jumatano"

Nimetafakari sana na kujiridhisha kwamba Tundu Lissu hayuko peke yake nyuma ya kauli na matendo take wapo watu wengi nyuma yake wasioitakia mema Tanzania na yeye ni kama chambo.

Aidha kwako Mwenyekiti Mbowe huyu Bwana kaja kukupaka kinyesi na kukipaka chama kinyesi hana Shida ya kuwa Rais wa Tanzania kwakua anajua Hilo haliwezekani, bali kaja kutumia CHADEMA Kama Daraja la kupata kile walichokipanga na walio nyuma yake.

Tahadhari Chama chako kisije kubeba dhima ya historia mbaya ya Udalali wa nchi yako kwa wazungu.

Mwisho, nijikumbushe pamoja na kuwakumbusha Watanzania wenzangu kwamba Tanzania ni kubwa kuliko mtu.

Wasalam
Si mlisema akija ataishia mikononi mwa polisi?? Pambaneni sasa
 
Sovereignty of our country can not be threatened by a certain law firm in other countries. Dunia haifanyi kazi hivyo
 
Nitagusia machache kwa upendeleo kwa sababu wewe ni wajina wangu;

1. Amani ya nchi yetu

Watanzania ni watu wapendao amani, na hapa nimedhamiria kuzungumzia amani ya kutokuwa na vita, vurugu, kadhia, maandamano yenye mauaji, majeraha, uharibifu wa mali n.k.
Pengine tukawa hatuna amani ya kukosa mali, chakula na pesa. Lakini tunaamini amani ya kwanza ni kutokuwa na vita na matumizi ya mabavu.


.................................................................................................................................
Leo wanachama wa CCM 12 Wanafikishwa mahakamani Moshi kwa kumrushia mawe Tundu Lissu. Hii ni baada ya Wajina wako kuandika barua unayosema ni ya vitisho. Swali: Huoni kuwa waleta vurugu nchi hii ni ninyi ma - CCM? mbona sikuelewei? Watanzania ni watu wapendao amani lakini CCM mnaichukia amani. Kajipange.
 
Dhambi kubwa mliyoifanya ni kutaka kumwua Lissu na Hamna pa kujificha maana tamko la kutaka Lissu auawe Mwenyekiti wenu alilitoa hadharani kwenye Live TV..

Sasa ndo mtajua kwanini Waswahili walisema Damu ya Mtu ni nzito kuliko Maji, pumbavu


Jaribio la kuuawa na Lisu nilililaana dakika chache baada ya kusikia Lisu kapigwa risasi. Nenda kwenye ukurasa wangu wa facebook utaelewa.

Ninachopenda ni haki.
Lakini haki inayoingilia maslahi ya taifa hiyo itadhibitiwa, japo sishauri njia ya kifo, lakini kama itashindikana kabisa, hakuna namna
 
Wewe ni mmoja wa wainamia beberu?
Mabeberu ni kana nani ni hawa wanaokuja kuwekeza?

ni hawa tunaonunua ndege kutoka kwao?

Ni hawa wanaotupatia silaha?

Ni hawa wanaotupa mikopo?

Naomba jibu.
 
Huyo Jamaa yupo na Twitter activists wana RT post yake wakitegemea Voters wako Twitter kwa taarifa tu hao washabiki wa Twitter majority sio wapiga kura, Sisi tupo kijiji kwa kijiji na leo tumeitisha harambee kanisani ya kuchangia ujenzi wa msikiti chamwino, Hii nikuonesha sisi watanzania hatuwezi kuwa seperated na mtu mmoja ambae hata familia yake haipo hapa nchini, Yeye atafute tu hata kundi la lawyers wa abroad akishindwa kuwalipa basi afunge nao ndoa mana si ndio miongoni mwa sera zake
Mambo ya faragha ya mtu ni siri hata wewe ukiwa na mkeo/mmeo hatujui mnayoyafanya usikute mnayofanya ni bora hata ushoga.
 
Nimemsikia akiipangia mahakama Cha kufanya. Hii ni style mpya na sijui itamfikisha wapi?

Anasema "kisutu nitakuja lakini no baada ya kujiridhisha kwamba Jambo hili la KIKATIBA ambalo linakuja kila baada ya miaka mitano ninajidhirisha kwamba Jambo hili limekamilika kikamilifu"

"Nawaomba Watanzania walio Dar es Salaam na mikoa jirani wajitokeze kwa wingi Kisutu siku ya jumatano"

Nimetafakari sana na kujiridhisha kwamba Tundu Lissu hayuko peke yake nyuma ya kauli na matendo take wapo watu wengi nyuma yake wasioitakia mema Tanzania na yeye ni kama chambo.

Aidha kwako Mwenyekiti Mbowe huyu Bwana kaja kukupaka kinyesi na kukipaka chama kinyesi hana Shida ya kuwa Rais wa Tanzania kwakua anajua Hilo haliwezekani, bali kaja kutumia CHADEMA Kama Daraja la kupata kile walichokipanga na walio nyuma yake.

Tahadhari Chama chako kisije kubeba dhima ya historia mbaya ya Udalali wa nchi yako kwa wazungu.

Mwisho, nijikumbushe pamoja na kuwakumbusha Watanzania wenzangu kwamba Tanzania ni kubwa kuliko mtu.

Wasalam
Msikupige risasi msitupige mabomu we are all humans

#MYGAMEISFAIRPLAY
 
Hata kama ukiwa mtawala hapa duniani kwa sasa huwezi kutawala unavyotaka wewe!! Mataifa ya ulimwengu wa ujumla wake yaliweka Sheria nyingi ili kuilinda dunia hii iwe salama kwa kiwango kitakachojaribu kuwafanya binadamu wote kuwa ha Haki na Usawa!!

Sasa unapokuwa mtawala ukawakandamiza wananchi wako basi sheria zinakubana. Kama hutaki kuwa sehemu ya sheria hizi upo na hiari kujitoa kote - ila kumbuka hata hii misaada ya world Bank usifikiri inakuja kuja tu - ni lazima uwe umekubaliana kisheria na baadhi ya vipengele vya kimataifa.

Robert anachofanya si cha kubeza - kama kweli tunataka kujua nini maaana ya sheria za kimataifa basi jamaa tusiyemtaka awekwe ndani kesho kutwa ili asitokee kutetea pingamizi lake lolote kama litakuwepo na apoteze haki yake ya kugombea Urais wa Jamhuri yetu - then tuone huyu Robert atafanya nini? Sisi wabongo nature yetu ni kutaka kujua nini atafanya!!

Hata nyumbani kwako kuna sheria, huwezi baba ukaingilia dirishani wakati mlango upo sababu kuu eti wewe ndiyo umeijenga hiyo nyumba, au ukalala stoo kisa tu hakuna wa kuuliza, nyumba vyote ni vyako !! likewise huwezi ukapata mshahara ukautumia woote peke yako, kwa kujua kwamba wanafamilia wengine hawahusiki nao maana wao hawakuufanyia kazi, na huwezi vilevile kutesa watoto wako utakavyo kisa tu kwamba umewazaa wewe - aisee majirani lazima wakurushe kichura.
 
Jaribio la kuuawa na Lisu nilililaana dakika chache baada ya kusikia Lisu kapigwa risasi. Nenda kwenye ukurasa wangu wa facebook utaelewa.

Ninachopenda ni haki.
Lakini haki inayoingilia maslahi ya taifa hiyo itadhibitiwa, japo sishauri njia ya kifo, lakini kama itashindikana kabisa, hakuna namna
WanaJF wanaojadili mada yako, hasa mashabiki na wafuasi wa Lissu wanabeza hoja zako na kudai unaweweseka. Kama kuna kuweweseka ni wao kwa sababu hoja zako dhidi ya Lissu ni za msingi kuhusu usalama na maendeleo ya Tanzania.

Lissu, wanayemshabikia, kwa kauli zake, anathibitisha ni kibaraka na yuko tayari kuuza nchi kwa mabeberu, kwa jinsi anavyojikweza na kujigamba kwa dharau. Mifano iko mingi kwa kauli na matendo yake;-

√ Lissu kwa kuweka Wakili huyo, ni dhahiri anawadharau mawakili wazalendo ambao wana sifa, ujuzi na uzoefu kuliko yeye na isitoshe aliwahi kuwa Rais wa chama chao. Yabidi tujiulize, Je, tukimpa kuongoza nchi hii ataweza kuwatumia wataalamu wazalendo? Je, hiyo pesa anayomlipa huyo wakili beberu, ameipata wapi? Hatatumia fedha yetu kuwanufaisha mabeberu?

√ Ameonesha dharau ya wazi kwa vyombo vya ulinzi ambavyo ndivyo vinavyolinda usalama wetu na mali zetu, ikiwa ni pamoja na yeye. Kushambuliwa kwake isiwe ndiyo sababu ya kuvidharau vyombo vya usalama. Je, ukweli wa shambulio hilo utakapowekwa hadharani atakuwa na lipi la kusema?

√ Lissu pia ananajisi taaluma yake kwa kuwadharau viongozi wa mahakama, chombo ambacho yeye ni sehemu ya mfumo wake. Kuwabeza hadharani siyo tu ni utovu wa nidhamu, ni ushahidi ulio wazi kuwa Lissu hana heshima. Akiwa Rais ataweza kuwaheshimu viongozi wenzake na raia kwa ujumla?

√ Lissu, mgombea Urais wa nchi, hadharani anamkebehi Rais aliyeko madarakani, je, akipewa hayo madaraka atamheshimu nani?

Lissu, wanayemshabikia, kwa sababu hizo, hakika hana sifa yoyote ya kuwa kiongozi kwa ngazi yoyote katika jamii iliyostaarabika.

INAFIKIRISHA LISSU ANA AGENDA GANI?
 
Mabeberu ni kana nani ni hawa wanaokuja kuwekeza?

ni hawa tunaonunua ndege kutoka kwao?

Ni hawa wanaotupatia silaha?

Ni hawa wanaotupa mikopo?

Naomba jibu.

Mabeberu ni kama wale aliokuwa anaongelea Tundu jana kuwa wanataka tuendelee kuruhusu ushoga wakati mila na desturi hazitaki,
Wanataka tufuate ushenzi wao kwa kutulazimisha ndo watupe msaada, hao ndo Mabeberu.

Ila mtu wa kutoa msaada bila masharti huyo sio beberu,
Pia muwekezaji sio beberu kwa sababu anafanya biashara.

Mwisho kwa kukusaidia ni sawa mtu aje kwako akute una njaa au unaumwa huna dawa au chakula kisha akupe pesa na kukupa sharti la kumruhusu mkeo kwenda disco na atakachokifanya huko ni haki yake kisha useme huyo kakusaidia kwa nia njema.
Mtu wa hivyo ndo tunamuita beberu
 
Nimemsikia akiipangia mahakama Cha kufanya. Hii ni style mpya na sijui itamfikisha wapi?

Anasema "kisutu nitakuja lakini no baada ya kujiridhisha kwamba Jambo hili la KIKATIBA ambalo linakuja kila baada ya miaka mitano ninajidhirisha kwamba Jambo hili limekamilika kikamilifu"

"Nawaomba Watanzania walio Dar es Salaam na mikoa jirani wajitokeze kwa wingi Kisutu siku ya jumatano"

Nimetafakari sana na kujiridhisha kwamba Tundu Lissu hayuko peke yake nyuma ya kauli na matendo take wapo watu wengi nyuma yake wasioitakia mema Tanzania na yeye ni kama chambo.

Aidha kwako Mwenyekiti Mbowe huyu Bwana kaja kukupaka kinyesi na kukipaka chama kinyesi hana Shida ya kuwa Rais wa Tanzania kwakua anajua Hilo haliwezekani, bali kaja kutumia CHADEMA Kama Daraja la kupata kile walichokipanga na walio nyuma yake.

Tahadhari Chama chako kisije kubeba dhima ya historia mbaya ya Udalali wa nchi yako kwa wazungu.

Mwisho, nijikumbushe pamoja na kuwakumbusha Watanzania wenzangu kwamba Tanzania ni kubwa kuliko mtu.

Wasalam
Mbona mnaogopa sana, kuna maswala katika nchi hii huitaji hata elimu ya chekechea kuyangamua na kuyaelewa .
 
Kinachotakiwa nikufuata haki tu uchaguzi huru aliyeshinda atangazwe mikutano ya wapinzani iachwe huru na ilindwe na polisi viombo vya habari viachwe viwe huru kufanya kazi yao......

Halafu uone wajina wako atakua amekosea wapi au atakosea
 
tuletee kwanza waliokuwa wanaweka watu kwenye viroba ndio tusome huu upupuu, itoshe kusema fanya kazi, uzalendo waachie ACT
 
Back
Top Bottom