Wakili Robert Amsterdam ni nani?

Wakili Robert Amsterdam ni nani?

Hakuna nchi yoyote duniani including Marekani na China ambazo haziogopi sera mbaya za nje dhidi ya nchi yao sembuse nchi maskini kama Tanzania ambayo fedha karibu 50% zinatoka nje. Tumeona nchi nyingi tu tena zenye nguvu kama Russia, China, Iraq, etc zikiathirika vibaya na sunctions kutoka nje.

Kuiangusha Tz ni rahisi mno hata baadhi ya watu binafsi wakiamua tu kufunga viwanda au biashara zao tayari nchi inayumba sembuse nchi matajiri. Lakini kwanini Robert unamsapoti magu na yote haya ya hovyo anayofanya? Natumaini wewe ni msomi flani lakini sioni unakwama wapi kuhusu uongozi mbovu wa kidikteta tulio nao, kwanini unasapoti udikteta na ukandamizi uliopo? Unafaidika nao? Basi jua kuna wengi sana wanaumia.

Either ni mnufaika au ni mkomunisti ndie anaweza msapoti wacomunist sababu ya inferiority complex hawawezi ongoza matajiri na wasomi wanaogopa kukosolewa sababu hawana iq ya kujibu hoja kinzani bila kutumia bunduki.Thus ujihisi salama Sana kutawala masikini na wanyonge thus ni lzm wawasomeshe watu namba ili waweze kutawala kwa kuwafanya kuwa masikini ili wale wachache watakaowaabudu ndo wanapewa pesa bahati mbaya na viongozi wa dini wamezishusha heshima zao kwa kuangukia huko.So kina herier wote ni ndege wafananao.
 
Tanzania ni nchi huru, ina watu wake na mali zake, ina utamaduni wake na sheria zake. Mtu yeyote bila kujali nafasi yake atakayedhani anaweza kuharibu nchi hii atatoboka mapema kabla hajafanikiwa.
Ndio ni nchi huru lakini haijamaanisha wengine wanyanyase wengine kwa maslahi yao binafsi, kwanini wengine wanakuwa juu ya sheria na wengine ndio sheria huchukua mkondo wake (alikuwa mbunge wa ccm NA SILAHA ZISIZO NA VIBALI alifanywaje...) hawatoboki wanachama wa chama tawala wanatoboka wasio kuwa upande wao na wanyonge. Hapa lazima mkubali matokeo ya utetezi kwa wanyonge wanaomba msaada nje maana kwao hakuna sheria inayo walinda
 
Atasoma sasa huu ujumbe wako, vitu vingine ni kelele tu anazojaribu kuziadress
Nakuhakikishia jamaa na wapambe wake watasoma au wameshasoma huu ujumbe.
Vivyo hivyo usichukulie poa jumbe za JF hata wale jumba kuu wanasoma mzigo wote wa JF.

Huwa wanatujibu kiaina kwenye hotuba au kwa vitendo.
Unafikiri kwanini hadi leo JF haijafungiwa TZ?
Maxence Melo anajua hili jukwaa linawafikia wakubwa kwa kiwango gani.
Hata kamanda Shana nae ujumbe umemfikia jinsi alivyopiga siasa wakati hakutakiwa afanye siasa akiwa na sare na kitambulisho cha jeshi la polisi.
Muhimu tulitumie vizuri hili jukwaa kwa lugha yenye staha.
 
117947216_833756430490901_1415357916620263626_n.png
 
Nyie jamaa , eti "The World is Watching", kila taifa linapambana na Mambo yake, huko ulaya bado Corona inawajambisha. USA wanakimbizana na uchaguzi wao, dunia ipi mnaiongelea? Narudia tena Lissu wenu ana akili za vitabuni tu Ila elimu na maarifa ya hii Dunia hana

Hajui aongee nini wapi na lini.Asiyefunzwa na mama yake atafunzwa na ulimwengu. Baada ya uchaguzi huu atabaki hana cheo chochote chenye nguvu pale CHADEMA itakapokuwa na wabunge 2 na madiwani 6.
 
Hao "amsterdam"wakitweet Lisu na ufipa yote inalipuka kwa shangwe wandgani dunia nzima ina habari na wao, kumbe watu hawana hata mpango nyie, wapo busy na yao uchumi umekwama kwa sababu ya Corona, watu wanafikiria namana ya kucover loss na kugungua mipaka ya nchi zao, subirini october tutavyo wanyoosha
 
Sawa lkn mizengwe ya nini? Mbona mnamwogopa kama kifaru? Why kamatakamata, bambikia kesi, nyima fomu, teua wapinzani feki, jela, hamasisha vijana kutupa mawe, makongamano ya kampeni za udini...... WHY????
Just tell me why?
Hawezi kukujibu
 
Endelea kuota.. Kama ambavyo mnasemaga kuwa serikali ina mkono mrefu, hivyohivyo na dunia ina wenyewe..where is Gadaf? Where is Mubarak, Ben al and the like? Heshimu haki ya wenziyo.
Tanzania had been there before. Sijaona baadhi ya Watanzania ni wajinga wa kupitiliza. Serikali hii iogope kimburu moja tu kisa ana ofisi London na NY? Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee maajabu ya dunia. Waje watatukuta!
 
Endelea kuota.. Kama ambavyo mnasemaga kuwa serikali ina mkono mrefu, hivyohivyo na dunia ina wenyewe..where is Gadaf? Where is Mubarak, Ben al and the like? Heshimu haki ya wenziyo.
Assassinated by CIA
 
Hizi mambo zinaleta image tofauti sana! Mnafikiri majority ya Watanzania watafurahia mambo haya? Subirini uchaguzi upite kwanza mtie akili ...
 
Tanzania had been there before. Sijaona baadhi ya Watanzania ni wajinga wa kupitiliza. Serikali hii iogope kimburu moja tu kisa ana ofisi London na NY? Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee maajabu ya dunia. Waje watatukuta!
Tanzania ni nchi dhaifu sana linapokuja suala la kupambana na giant countries labda kama huijui dunia vizuri.
 
Back
Top Bottom