Wakili wa Fei Toto asema wamepokea hukumu lakini Fei hana mpango wa kurudi Yanga

Wakili wa Fei Toto asema wamepokea hukumu lakini Fei hana mpango wa kurudi Yanga

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Wakili Salum Nduruma ambaye anamuwakilisha mchezaji Feisal Salum katika mgogoro wake wa kimkataba dhidi ya Yanga amesema wamepokea nakala ya maamuzi ya Kamati na mteja wake hana mpango wa kurejea Yanga kuendelea kuichezea timu hiyo.

“Feisal Salumu mpaka sasa hivi hana mpango wa kurudi na kuichezea Yanga na msimamo wake ni uleule kwamba anataka kuendelea kupinga hayo maamuzi kwa sababu anaona hayakumtendea haki… njia iko nyeupe kwenda CAS,” amesema na kuongeza:

“Hukumu tuliyopewa haina tofauti na kile kilichotolewa wiki iliyopita na Kamati. Tunataka kuwaandikia FIFA kuwaelezea mazingira yote yalivyokuwa ili kama inawezekana wakati Fei anaendelea na rufaa aweze kusajiliwa katika dirisha moja."
 
Kwasasa ndio muda wa kupiga pesa za Yusufu Bakresa ki ulaini, Mawakili Fanyeni haraka kuanzisha ilo shauri kabla haja ghairi nakala ya hukumu mmeshapewa.

Iyo kesi Kwa njia ya kawaida mwambieni hawezi kushinda, Aandae fedha zisizo pungua Dola laki mbili na nusu mpaka laki tatu na hamsini ataweza kushinda, ni kama milioni 570/ 800. Wenzenu Simba ishu ya Morison walifikia Dola laki 3 karibu milioni 670 kwakua wao figisu walizianzia Ndani ya Tff ambao Kuna baadhi ya staff walikua wakiwapa muongozo namna ya kuwasiliana kule FIFA/CAS.
Ndio maana Lile shauri la Morison lilichukua muda kutolewa hukumu kwakua Simba walikua wanawalipa wadau Kwa mafungu.
Ili mambo yasiwe mengi mshaurini Yusufu Bakresa aonane na Yanga kabla ya Dilisha kufungwa anaweza aka okoa fedha nyingi kwakua siamini Yanga watakataa Dola laki mbili kwasasa na mkataba umebaki mwaka na nusu.
 
Kama hataki kurudi, atakula jeuri yake. Nawaomba viongozi wa Yanga waendelee kusimama kwenye mkataba wao na huyo mchezaji. Wasitetereke.

Au asubiri mpaka mkataba wake uishe 2024! Na kama hawezi, basi awaambie hao wahuni wake waliomshawishi, wajitokeze hadharani na kufuata taratibu za kumsajili.
 
Daah...! Namuonea huruma huyu dogo. Maamuzi yake ya kipumbavu sana. Watu wanaomshauri wanampoteza sana.
Kwanza uwezo wake utapotea ksbb za kisaikorojia. Pili timu yoyote ya nje haiwezi kumuona kama mchezaji anaefaa kwa hatua zake hizo zinahesabiwa ni utovu wa nidhamu. Labda tu wanaomshabikia kwa upuuzi wake huo ni hizi timu za humu humu.
 
Aisee nimeGoogle maana ya neno extraordinary katika uvunjaji wa mkataba feitoto hawezi kutoboa hata aende wapi.. mana ili uvunje mkataba lazima uwe na sabab za msingi mfano unanyanyasika kazin (uwe na ushaid wa video ama maandishi) ama wizi au kitu chochote kinachohatarisha usalama wako au wa klabu pia.
 
Wakili Salum Nduruma ambaye anamuwakilisha mchezaji Feisal Salum katika mgogoro wake wa kimkataba dhidi ya Yanga amesema wamepokea nakala ya maamuzi ya Kamati na mteja wake hana mpango wa kurejea Yanga kuendelea kuichezea timu hiyo.

“Feisal Salumu mpaka sasa hivi hana mpango wa kurudi na kuichezea Yanga na msimamo wake ni uleule kwamba anataka kuendelea kupinga hayo maamuzi kwa sababu anaona hayakumtendea haki… njia iko nyeupe kwenda CAS,” amesema na kuongeza:

“Hukumu tuliyopewa haina tofauti na kile kilichotolewa wiki iliyopita na Kamati. Tunataka kuwaandikia FIFA kuwaelezea mazingira yote yalivyokuwa ili kama inawezekana wakati Fei anaendelea na rufaa aweze kusajiliwa katika dirisha moja."
huyo wakili ana shida atamponza fei bure
 
Kwasasa ndio muda wa kupiga pesa za Yusufu Bakresa ki ulaini, Mawakili Fanyeni haraka kuanzisha ilo shauri kabla haja ghairi nakala ya hukumu mmeshapewa.

Iyo kesi Kwa njia ya kawaida mwambieni hawezi kushinda, Aandae fedha zisizo pungua Dola laki mbili na nusu mpaka laki tatu na hamsini ataweza kushinda, ni kama milioni 570/ 800. Wenzenu Simba ishu ya Morison walifikia Dola laki 3 karibu milioni 670 kwakua wao figisu walizianzia Ndani ya Tff ambao Kuna baadhi ya staff walikua wakiwapa muongozo namna ya kuwasiliana kule FIFA/CAS.
Ndio maana Lile shauri la Morison lilichukua muda kutolewa hukumu kwakua Simba walikua wanawalipa wadau Kwa mafungu.
Ili mambo yasiwe mengi mshaurini Yusufu Bakresa aonane na Yanga kabla ya Dilisha kufungwa anaweza aka okoa fedha nyingi kwakua siamini Yanga watakataa Dola laki mbili kwasasa na mkataba umebaki mwaka na nusu.
Pumba
 
Wakili Salum Nduruma ambaye anamuwakilisha mchezaji Feisal Salum katika mgogoro wake wa kimkataba dhidi ya Yanga amesema wamepokea nakala ya maamuzi ya Kamati na mteja wake hana mpango wa kurejea Yanga kuendelea kuichezea timu hiyo.

“Feisal Salumu mpaka sasa hivi hana mpango wa kurudi na kuichezea Yanga na msimamo wake ni uleule kwamba anataka kuendelea kupinga hayo maamuzi kwa sababu anaona hayakumtendea haki… njia iko nyeupe kwenda CAS,” amesema na kuongeza:

“Hukumu tuliyopewa haina tofauti na kile kilichotolewa wiki iliyopita na Kamati. Tunataka kuwaandikia FIFA kuwaelezea mazingira yote yalivyokuwa ili kama inawezekana wakati Fei anaendelea na rufaa aweze kusajiliwa katika dirisha moja."
Uyu wakili ni boya kabisa, yaani fifa waangalie mazingira na wasizingatie mkataba wake? Anasema aweze kusajliwa dirisha dogo yaani mchezaji halali mwenye mkataba fifa iruhusu asajiliwe na timu nyingine inaingia akilini, uyu wakili naona yuko kwenye udalali wa kupiga pesa za uyu dogo sio bure
 
Uyu wakili ni boya kabisa, yaani fifa waangalie mazingira na wasizingatie mkataba wake? Anasema aweze kusajliwa dirisha dogo yaani mchezaji halali mwenye mkataba fifa iruhusu asajiliwe na timu nyingine inaingia akilini, uyu wakili naona yuko kwenye udalali wa kupiga pesa za uyu dogo sio bure
Imeshatokea mara nyingi, Okwi akiwa na mgogoro na timu yake ya Tunisia alisajiliwa sport club villa acheze kulinda kipaji usishangae akaibukia Simba
 
Ina wezekana kabisa Fei kushinda... mchana kweupe, na pia kuna sababu nyingi ktk sheria (muongozo) unaruhusu hayo kufanyika

Na zaidi hiyo miongozo ndio ina enda kutatua matatizo yote, subilini mshangazwe...

Kapitieni sheria zile kwa umakini mkubwa bila kuegemea upande wowote, pia pitieni mkataba wa Yanga...

Waacheni TFF wabaki kusema bado ana mkataba na Yanga...
 
Aisee nimeGoogle maana ya neno extraordinary katika uvunjaji wa mkataba feitoto hawezi kutoboa hata aende wapi.. mana ili uvunje mkataba lazima uwe na sabab za msingi mfano unanyanyasika kazin (uwe na ushaid wa video ama maandishi) ama wizi au kitu chochote kinachohatarisha usalama wako au wa klabu pia.
Ila kweli,angekua hata na kavideo kanakomuonesha akimchotea maji ya kuoga Mayele km anavyodai,kangemsaidia😂😂
 
Ina wezekana kabisa Fei kushinda... mchana kweupe, na pia kuna sababu nyingi ktk sheria (muongozo) unaruhusu hayo kufanyika

Na zaidi hiyo miongozo ndio ina enda kutatua matatizo yote, subilini mshangazwe...

Kapitieni sheria zile kwa umakini mkubwa bila kuegemea upande wowote, pia pitieni mkataba wa Yanga...

Waacheni TFF wabaki kusema bado ana mkataba na Yanga...
Tunaomba utufafanulie sheria na muongozo unaoruhusu hayo kufanyika.
 
Wakili Salum Nduruma ambaye anamuwakilisha mchezaji Feisal Salum katika mgogoro wake wa kimkataba dhidi ya Yanga amesema wamepokea nakala ya maamuzi ya Kamati na mteja wake hana mpango wa kurejea Yanga kuendelea kuichezea timu hiyo.

“Feisal Salumu mpaka sasa hivi hana mpango wa kurudi na kuichezea Yanga na msimamo wake ni uleule kwamba anataka kuendelea kupinga hayo maamuzi kwa sababu anaona hayakumtendea haki… njia iko nyeupe kwenda CAS,” amesema na kuongeza:

“Hukumu tuliyopewa haina tofauti na kile kilichotolewa wiki iliyopita na Kamati. Tunataka kuwaandikia FIFA kuwaelezea mazingira yote yalivyokuwa ili kama inawezekana wakati Fei anaendelea na rufaa aweze kusajiliwa katika dirisha moja."
Kulingana na Mkataba wake ulivyo, Fei Toto hawezi kwenda FIFA.
 
Kwani FIFA wanasikiliza tena kesi au wanasoma hukumu ya TFF kuona kama inamapungufu tu basi? Maana navyojua maana ya rufaa siyo kusikiliza tena ushahidi! Lakini mimi simshangai wakili wake maaana wakili hawezi kwambia kwamba hapa hutoshinda siku zote atakwambia hii tunatoboa hata kama ulikamatwa live unachinja mtu.
 
Kwasasa ndio muda wa kupiga pesa za Yusufu Bakresa ki ulaini, Mawakili Fanyeni haraka kuanzisha ilo shauri kabla haja ghairi nakala ya hukumu mmeshapewa.

Iyo kesi Kwa njia ya kawaida mwambieni hawezi kushinda, Aandae fedha zisizo pungua Dola laki mbili na nusu mpaka laki tatu na hamsini ataweza kushinda, ni kama milioni 570/ 800. Wenzenu Simba ishu ya Morison walifikia Dola laki 3 karibu milioni 670 kwakua wao figisu walizianzia Ndani ya Tff ambao Kuna baadhi ya staff walikua wakiwapa muongozo namna ya kuwasiliana kule FIFA/CAS.
Ndio maana Lile shauri la Morison lilichukua muda kutolewa hukumu kwakua Simba walikua wanawalipa wadau Kwa mafungu.
Ili mambo yasiwe mengi mshaurini Yusufu Bakresa aonane na Yanga kabla ya Dilisha kufungwa anaweza aka okoa fedha nyingi kwakua siamini Yanga watakataa Dola laki mbili kwasasa na mkataba umebaki mwaka na nusu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa bakhresaa anahusika vipi? Ishu ni ya nyie utopoloo na Fei toto, au mnazitakaa sanaa pesa za Azam eeeh?

Poleeeeeni sanaaaa.
 
Back
Top Bottom