cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnakazania sana watu wajitokeze? Watu gan? Nyie malizaneni na Fei kwani.Kama hataki kurudi, atakula jeuri yake. Nawaomba viongozi wa Yanga waendelee kusimama kwenye mkataba wao na huyo mchezaji. Wasitetereke.
Au asubiri mpaka mkataba wake uishe 2024! Na kama hawezi, basi awaambie hao wahuni wake waliomshawishi, wajitokeze hadharani na kufuata taratibu za kumsajili.
Kumbee mnataka pesa za watuuu bureeeee, mmeishiwaaa eeeh