Wakili wa Fei Toto asema wamepokea hukumu lakini Fei hana mpango wa kurudi Yanga

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnakazania sana watu wajitokeze? Watu gan? Nyie malizaneni na Fei kwani.

Kumbee mnataka pesa za watuuu bureeeee, mmeishiwaaa eeeh
 
Huyu Fei anajua kiwango na umri vinaenda??
 
Elewa alikuwa na mgogoro kila mtu alikuwa na madai pale mwenye hatia alikuwa hajulikanipaka hukumu itoke
Ukiwa na mgogoro wa kimaslahi au kutochezeshwa kwenye timu ambayo una mkataba nayo ndio scenario ya kutafuta timu inatolewa na FIFA. Sasa kwa upande wa Fei Toto masuala hayo hayapo kwenye mgogoro wake na Yanga.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnakazania sana watu wajitokeze? Watu gan? Nyie malizaneni na Fei kwani.

Kumbee mnataka pesa za watuuu bureeeee, mmeishiwaaa eeeh
Nilitaka nishangae usimquote huyo jamaa, sema huwa unamuandama sana bn😄😄😂.

Coca bn😂
 
Binafsi naona alipata ushauri usio mzuri!
Hivi inakuwaje mchezaji wa Club kubwa kama Yanga au Simba afanye maamuzi kama vile yupo timu ya daraja la tatu? Ingekuwa amepata offer ya kwenda kucheza Ulaya nisinge mlaumu ila kucheza hapahapa Bongo? kulikuwa na haja gani ya kukimbia dirisha dogo? hii inaweza kumfanya asiaminike na hivyo kumpunguzia umaarufu!
AANGALIE NA WATU WA KUMSHAURI LA SIVYO, ATAPOTEA KWENYE ANGA YA MICHEZO
 
Kakojoe kalale
 
Anawasikiliza wajinga, akashauriwa mambo ya kijinga, akayakubali maujinga, akayatekeleza hayo mauijnga, anaonekana mjinga sabqbu anawasikiliza wajinga, ataendelea kubakia na ujinga wake.
 
Huyu dogo ana haribu career yake kizembe kabisa
Career yake ilibakiza miaka mingapi na angekusanya tumilioni tungapi mpaka iishe kwa aina ile ya mkataba? Apambane tu. Hata hili analofanya huenda linampa fedha nzuri tu, either ashinde au ashindwe.
 
Nilitaka nishangae usimquote huyo jamaa, sema huwa unamuandama sana bn[emoji1][emoji1][emoji23].

Coca bn[emoji23]
Tunajuanaa wenyeweee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wala hakunaa bayaaa hata.
 
Kwahiyo yanga bila fei haiwezekani yani. Tabia za kishamba kumkomalia mchezaji asiendeleze ndoto zake
Tabia hii iko yanga tyuuh, ndo maana leo Ngasa hana chochote kaishia kuwa chokaaa mbayaa magomeni mikumi.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Kuna kitu kinaitwa review
 
Kwahiyo yanga bila fei haiwezekani yani. Tabia za kishamba kumkomalia mchezaji asiendeleze ndoto zake
Hapa ndio kuna shida. Yanga inachotaka ni utaratibu ufatwe, sio kwamba hawataki aondoka. Athari za kupotezea jambo kama hilo ni kubwa sana mbeleni kwa wachezaji wengine. Imagine Aziz Key anaelipwa 27m per month akiamua na yeye kufanya kama fei alivyofanya na wengine nao hata wa timu zingine wakafanya the same hivi kina club itabaki na wachezaji?. Kuna kumkomalia mtu na kuna kufata sheria ili ubaki salama na ulionao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…