Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waambie wamasai wamchangie! Wachaga na Mbowe hawahisiki hapa!Mbona Mbowe ni katili na muuaji na bado alichangiwa. Najua wachaga wote mmeungana kumshughulikia Sabaya ila hakika atawashinda.
Wewe matako KITURILO,Mahakama ya Rufaa ilitengua sio kwa kuona hakutenda kosa isipokuwa kulikuwa na mistake kidogo tu upande wa waendesha Mashtaka ndio maana akachomoka,lakini kama ni kosa alifanya maana alikuwa ni Jambazi kama Majambazi mengine tu,nakukumbusha Hukumu ya tarehe 10 lazima ligongwe miaka 30 Jela wakati Kesi ya Moshi ndio kwanza inaanza,kwa akili zako za matakoni unamuita Sabaya Mzalendo unafahamu maana ya uzalendo matako wewe??masela wa Gereza la Karanga nao wanamtekenya mkundu ule baada ya masela wa Gereza la Kisongo kumaliza kazi,hahahaHatuko tayari kuona wazalendo wa nchi yetu wakinyanyaswa na wauza madawa ya kulevya.
Siyo kazi ya Rais au kiongozi yoyote wa ccm kufurahisha tu viongozi na wanachama wa vyama vya upinzani huku akiacha wanachama wa chama chake wakiteseka. Kesi ya Sabaya ni ya kisiasa pia imejaa uongo mwingi ndiyo maana alipokata rufaa mahakama ikatengua hukumu ya miaka 30 lakini Rais Samia yuko kimya.
Tunaanza kampeni rasmi ya kumchangia na kumuwekea wakili Sabaya kwenye kesi yake. Kama msaliti wa nchi mzee wa MIGA aliweza kuchangiwa ,sisi kama watanzania wazalendo hatuwezi kushindwa kumchangia Sabaya ambaye kwa uzalendo wake aliitoa wilaya ya Hai kutoka ya 63 kwenye ulipaji kodi hadi ikawa ya 4 kitaifa.
Hatuwezi kuhukumu watu kwa kusikiliza upande mmoja wa wanafiki chadema ambao hawana jema kwa nchi yetu.
Chadema kila kitu wanapinga na kuponda, walipinga ndege, bwawa la umeme, elimu bure, ujenzi wa viwanda kila kitu wao ni kupinga tu, Ndege zilipokamatwa walishangilia.
Ndiyo tuwasikilize? Hapana.
#Justice for SABAYA
#Free SABAYA
Si rahisi mbu akamchangia binadamu damu. Wewe na njaa yako hiyo huwezi kuchangia hata bukuTayari nimeshatuma laki moja.
#free Sabaya
Hali ya kifedha ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai bwana Sabaya ni tete! Hii inatokana na Wakili wa Sabaya kuomba michango kutoka kwa wasamaria wema ili kuendesha na kumaliza kesi zote zinazomkabili.
yes na Clouds FM wamchangieClouds 360.......
Mkuu bwala ya nyerere limefikia wapi, naona Wazuri mpya kaweka bajeti kubwa kwenye nishati jadidifu. Huyu Waziri atakuwa mpinzani.Hatuko tayari kuona wazalendo wa nchi yetu wakinyanyaswa na wauza madawa ya kulevya.
Siyo kazi ya Rais au kiongozi yoyote wa ccm kufurahisha tu viongozi na wanachama wa vyama vya upinzani huku akiacha wanachama wa chama chake wakiteseka. Kesi ya Sabaya ni ya kisiasa pia imejaa uongo mwingi ndiyo maana alipokata rufaa mahakama ikatengua hukumu ya miaka 30 lakini Rais Samia yuko kimya.
Tunaanza kampeni rasmi ya kumchangia na kumuwekea wakili Sabaya kwenye kesi yake. Kama msaliti wa nchi mzee wa MIGA aliweza kuchangiwa ,sisi kama watanzania wazalendo hatuwezi kushindwa kumchangia Sabaya ambaye kwa uzalendo wake aliitoa wilaya ya Hai kutoka ya 63 kwenye ulipaji kodi hadi ikawa ya 4 kitaifa.
Hatuwezi kuhukumu watu kwa kusikiliza upande mmoja wa wanafiki chadema ambao hawana jema kwa nchi yetu.
Chadema kila kitu wanapinga na kuponda, walipinga ndege, bwawa la umeme, elimu bure, ujenzi wa viwanda kila kitu wao ni kupinga tu, Ndege zilipokamatwa walishangilia.
Ndiyo tuwasikilize? Hapana.
#Justice for SABAYA
#Free SABAYA
RIP CHACHA WANGWEMbowe alimuua nani na aliteka wapi?
Mbowe mbona alimuua Wangwe, akasema ni ajali wanasiasa wote ni wauaji labda usiingilie maslahi yaoMbowe alimuua nani na aliteka wapi?
Tuambie basi Wangwe aliuawa kwa kupigwa risasi, kunyongwa, kupigwa kwa ngumi na marungu au ajali?Mbowe mbona alimuua Wangwe, akasema ni ajali wanasiasa wote ni wauaji labda usiingilie maslahi yao
Zimetumika kumaliza kesi ya kwanza!Zile hela alizokuwa anaiba na kuteka alipeleka wapi
Kwanini hajafungwa au kupelekwa mahakamani?Mbowe mbona alimuua Wangwe, akasema ni ajali wanasiasa wote ni wauaji labda usiingilie maslahi yao
Zimepigwa pin na TAKUKURU zipo bankZile hela alizokuwa anaiba na kuteka alipeleka wapi