Wakili wa Sabaya aomba michango kwa ajili ya kuendesha kesi

Wakili wa Sabaya aomba michango kwa ajili ya kuendesha kesi

Haya sasa UVCCM uwanja ni wenu sasa, muokoeni kijana mwenzenu
 
Hatuko tayari kuona wazalendo wa nchi yetu wakinyanyaswa na wauza madawa ya kulevya.
Siyo kazi ya Rais au kiongozi yoyote wa ccm kufurahisha tu viongozi na wanachama wa vyama vya upinzani huku akiacha wanachama wa chama chake wakiteseka. Kesi ya Sabaya ni ya kisiasa pia imejaa uongo mwingi ndiyo maana alipokata rufaa mahakama ikatengua hukumu ya miaka 30 lakini Rais Samia yuko kimya.

Tunaanza kampeni rasmi ya kumchangia na kumuwekea wakili Sabaya kwenye kesi yake. Kama msaliti wa nchi mzee wa MIGA aliweza kuchangiwa ,sisi kama watanzania wazalendo hatuwezi kushindwa kumchangia Sabaya ambaye kwa uzalendo wake aliitoa wilaya ya Hai kutoka ya 63 kwenye ulipaji kodi hadi ikawa ya 4 kitaifa.
Hatuwezi kuhukumu watu kwa kusikiliza upande mmoja wa wanafiki chadema ambao hawana jema kwa nchi yetu.

Chadema kila kitu wanapinga na kuponda, walipinga ndege, bwawa la umeme, elimu bure, ujenzi wa viwanda kila kitu wao ni kupinga tu, Ndege zilipokamatwa walishangilia.
Ndiyo tuwasikilize? Hapana.

#Justice for SABAYA
#Free SABAYA
Wewe matako KITURILO,Mahakama ya Rufaa ilitengua sio kwa kuona hakutenda kosa isipokuwa kulikuwa na mistake kidogo tu upande wa waendesha Mashtaka ndio maana akachomoka,lakini kama ni kosa alifanya maana alikuwa ni Jambazi kama Majambazi mengine tu,nakukumbusha Hukumu ya tarehe 10 lazima ligongwe miaka 30 Jela wakati Kesi ya Moshi ndio kwanza inaanza,kwa akili zako za matakoni unamuita Sabaya Mzalendo unafahamu maana ya uzalendo matako wewe??masela wa Gereza la Karanga nao wanamtekenya mkundu ule baada ya masela wa Gereza la Kisongo kumaliza kazi,hahaha
 
Hali ya kifedha ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai bwana Sabaya ni tete! Hii inatokana na Wakili wa Sabaya kuomba michango kutoka kwa wasamaria wema ili kuendesha na kumaliza kesi zote zinazomkabili.


Mmmh mimi naona kama filamu ya Royal Tour imewahi sana kuwa produced, mbona maajabu na vivutio vya utalii vinazidi kuwa vingi! hii nayo ingeongezwa kule ingevutia bana!
 
Wana legacy tukaonyeshe uwepo wetu pamoja na kumobilize wanyonge kwa wingi kama walivyoshiriki msibani
 
Hatuko tayari kuona wazalendo wa nchi yetu wakinyanyaswa na wauza madawa ya kulevya.
Siyo kazi ya Rais au kiongozi yoyote wa ccm kufurahisha tu viongozi na wanachama wa vyama vya upinzani huku akiacha wanachama wa chama chake wakiteseka. Kesi ya Sabaya ni ya kisiasa pia imejaa uongo mwingi ndiyo maana alipokata rufaa mahakama ikatengua hukumu ya miaka 30 lakini Rais Samia yuko kimya.

Tunaanza kampeni rasmi ya kumchangia na kumuwekea wakili Sabaya kwenye kesi yake. Kama msaliti wa nchi mzee wa MIGA aliweza kuchangiwa ,sisi kama watanzania wazalendo hatuwezi kushindwa kumchangia Sabaya ambaye kwa uzalendo wake aliitoa wilaya ya Hai kutoka ya 63 kwenye ulipaji kodi hadi ikawa ya 4 kitaifa.
Hatuwezi kuhukumu watu kwa kusikiliza upande mmoja wa wanafiki chadema ambao hawana jema kwa nchi yetu.

Chadema kila kitu wanapinga na kuponda, walipinga ndege, bwawa la umeme, elimu bure, ujenzi wa viwanda kila kitu wao ni kupinga tu, Ndege zilipokamatwa walishangilia.
Ndiyo tuwasikilize? Hapana.

#Justice for SABAYA
#Free SABAYA
Mkuu bwala ya nyerere limefikia wapi, naona Wazuri mpya kaweka bajeti kubwa kwenye nishati jadidifu. Huyu Waziri atakuwa mpinzani.
 
Hii habari haiwezi kuwa ya ukweli, Wakili anataka kupiga hela! Tutaamini kama Sabaya mwenyewe ataomba msaada kama alivyomuomba Rais Samia kuingilia kati kesi zake mahakamani!
 
Mwenyezi Mungu ameshamuweka huyu katili mikononi mwa vyombo vya haki, ni kulaani kazi ya mikono yako kama utachanga fedha kwa ajili ya hili katili, jambazi, shetani, hayawani na juha!
 
Back
Top Bottom