Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
UngeshitakiRIP CHACHA WANGWE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UngeshitakiRIP CHACHA WANGWE
rafiki zake akina makonda, le mutuz, mrisho gambo, jerry muro, mnyeti, Jokate wako wapi wamsaidie?
"Nokwe nu muya", alafu unaandika upuuzi.Mbona Mbowe ni katili na muuaji na bado alichangiwa. Najua wachaga wote mmeungana kumshughulikia Sabaya ila hakika atawashinda.
Hao ni vibarua wa SabayaTuambie basi Wangwe aliuawa kwa kupigwa risasi, kunyongwa, kupigwa kwa ngumi na marungu au ajali?
Atakayechangia amelaaniwa yeye na kikazi chake choteMwenyezi Mungu ameshamuweka huyu katili mikononi mwa vyombo vya haki, ni kulaani kazi ya mikono yako kama utachanga fedha kwa ajili ya hili katili, jambazi, shetani, hayawani na juha!
MoDs, hii si lugha ya jamvi hili. Tafadhali fanyeni yapaswayo.Jambazi linaomba michango mamamae,chezea Jela wewe,limekaa mwaka mmoja wamelifira limebaki na shimo tu mkunduni ujanja na utemi wote kwisha habari yake,na bado Hukumu ya tarehe 10 lazima ligongwe miaka 30 Jela,wakati huohuo Kesi ya Moshi ndio kwanza inaanza, hahahaha
Mh!Wewe matako KITURILO,Mahakama ya Rufaa ilitengua sio kwa kuona hakutenda kosa isipokuwa kulikuwa na mistake kidogo tu upande wa waendesha Mashtaka ndio maana akachomoka,lakini kama ni kosa alifanya maana alikuwa ni Jambazi kama Majambazi mengine tu,nakukumbusha Hukumu ya tarehe 10 lazima ligongwe miaka 30 Jela wakati Kesi ya Moshi ndio kwanza inaanza,kwa akili zako za matakoni unamuita Sabaya Mzalendo unafahamu maana ya uzalendo matako wewe??masela wa Gereza la Karanga nao wanamtekenya mkundu ule baada ya masela wa Gereza la Kisongo kumaliza kazi,hahaha
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sanaHali ya kifedha ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai bwana Sabaya ni tete! Hii inatokana na Wakili wa Sabaya kuomba michango kutoka kwa wasamaria wema ili kuendesha na kumaliza kesi zote zinazomkabili.
Mpaka sasa ameshachangiwa millions kadhaa na wazalendoSabaya anaonewa na kudhalilishwa mno.
Mbowe alimuua Wangwe ila Magufuli na CCM hawakumuua Alphonce Mawazo, Ben Saa nane aliyehoji uhalali wa PhD ya Magufuli na wengine walio okotwa kwenye virobaMbowe mbona alimuua Wangwe, akasema ni ajali wanasiasa wote ni wauaji labda usiingilie maslahi yao
Jambo la heri.Mpaka sasa ameshachangiwa millions kadhaa na wazalendo
Hali ya kifedha ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai bwana Sabaya ni tete! Hii inatokana na Wakili wa Sabaya kuomba michango kutoka kwa wasamaria wema ili kuendesha na kumaliza kesi zote zinazomkabili.
Wataka kutakatisha fedha hao wanajifanya kuomba misaadarafiki zake akina makonda, le mutuz, mrisho gambo, jerry muro, mnyeti, Jokate wako wapi wamsaidie?
Umemaliza kila kitu bro😅Sukuma gang wamchangie
Sabaya anakula janga na wakwaoMbona Mbowe ni katili na muuaji na bado alichangiwa. Najua wachaga wote mmeungana kumshughulikia Sabaya ila hakika atawashinda.
Wanataka kuzitakatisha kwa mbinu hiiHuyu gaidi sabaya sii ana zaidi ya billion 2 kwenye Account kwanini wasiende wakachukua huko
Tumeshamchangia fedha nyingi sana mpaka sasaUkiwaona kwenye uzi huu nishtue