Wakili wa Sabaya aomba michango kwa ajili ya kuendesha kesi

MoDs, hii si lugha ya jamvi hili. Tafadhali fanyeni yapaswayo.
 
Lile V 8 akiliuza tu, kesi zote zimeisha na ka chenji ka kuanzia maisha kanabaki kidogo
 
Mh!
 
Hali ya kifedha ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai bwana Sabaya ni tete! Hii inatokana na Wakili wa Sabaya kuomba michango kutoka kwa wasamaria wema ili kuendesha na kumaliza kesi zote zinazomkabili.

Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana
 
Mbowe mbona alimuua Wangwe, akasema ni ajali wanasiasa wote ni wauaji labda usiingilie maslahi yao
Mbowe alimuua Wangwe ila Magufuli na CCM hawakumuua Alphonce Mawazo, Ben Saa nane aliyehoji uhalali wa PhD ya Magufuli na wengine walio okotwa kwenye viroba
 
Hali ya kifedha ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai bwana Sabaya ni tete! Hii inatokana na Wakili wa Sabaya kuomba michango kutoka kwa wasamaria wema ili kuendesha na kumaliza kesi zote zinazomkabili.

Wanajibabaisha tu hao jamaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…