Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dunia yako inaonekana kuwa ipo chumbani kwako tu au mwisho wake ni urefu wa pua yako tu.Huyo ndiye Wakili wa Serikali ambaye ni miongoni mwa wale wanaoshindwa na Kesi za Masuluhisho nje.
Yaani Dunia nzima ione kuna kasoro, halafu yeye ndiye anayeiona ni "Proper"?
Yaani Dunia nzima ione kuna kasoro, halafu yeye ndiye anayeiona ni "Proper"?[emoji419][emoji375]Huyo ndiye Wakili wa Serikali ambaye ni miongoni mwa wale wanaoshindwa na Kesi za Masuluhisho nje.
Yaani Dunia nzima ione kuna kasoro, halafu yeye ndiye anayeiona ni "Proper"?
Yaani Dunia nzima ione kuna kasoro, halafu yeye ndiye anayeiona ni "Proper"?[emoji419][emoji375]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawashaur msimjibu huyu anajua ukweli wote anachta watu..Asante kwa mchango wako mzuri kummqliza mama Samia kwa mabifu ya kike sisi tunakataa dpword sio mama samia.huu uhuru katupa yyDunia yako inaonekana kuwa ipo chumbani kwako tu au mwisho wake ni urefu wa pua yako tu.
Haupo "proper", sifahamu chochote kilichojiri, usinijibu, kama kuna link iweke nikajisomee.Nawashaur msimjibu huyu anajua ukweli wote anachta watu..Asante kwa mchango wako mzuri kummqliza mama Samia kwa mabifu ya kike sisi tunakataa dpword sio mama samia.huu uhuru katupa yy
Hahahahaha njaa mbaya saaana, ukiwa na Ndugu kama huyu heri kumnyonga tuHuyo ndiye Wakili wa Serikali ambaye ni miongoni mwa wale wanaoshindwa na Kesi za Masuluhisho nje.
Yaani Dunia nzima ione kuna kasoro, halafu yeye ndiye anayeiona ni "Proper"?
Hahahahah Wanakuaga wamelewaAmeuliza, "Yani kutoa taarifa kwa DP World kunashida gani?"
Sio njaa tu.Hahahahaha njaa mbaya saaana, ukiwa na Ndugu kama huyu heri kumnyonga tu
Dunia yako inaonekana kuwa ipo chumbani kwako tu au mwisho wake ni urefu wa pua yako tu.
Jaman toka tuulize kwaninibandar za zenji hazipo hatulali wakatizinaongoza kwa low productivity and less revenueU-Haupo "proper", sifahamu chochote kilichojiri, usinijibu, kama kuna link iweke nikajisomee.
Mbona umekasirika, mambo yameenda vibaya kwa upande wako unaoushabikia?
Atakua alipigiwa simu na profesa.Wakili Mayunge ameuliza
"Yani kutoa taarifa kwa DP World kunashida gani?"
Hiki kibibi Kiko Kwa stress mbaya sanaAcha matusi wewe bint, Hadi Kinana anakuambia anaona kuna shida wanasikiliza maoni wewe Nani nanushuzi wako hapa?
Ameuliza, "Yani kutoa taarifa kwa DP World kunashida gani?"