Wakili wa Serikali Mayunge: IGA Kama ilikuwa na shida sisi tunaona ipo proper

Wakili wa Serikali Mayunge: IGA Kama ilikuwa na shida sisi tunaona ipo proper

Huyo ndiye Wakili wa Serikali ambaye ni miongoni mwa wale wanaoshindwa na Kesi za Masuluhisho nje.

Yaani Dunia nzima ione kuna kasoro, halafu yeye ndiye anayeiona ni "Proper"?
Iko proper hadi pale shauri litakapofika ICSID na isomeke United Republic of Tanzania granted to pay Dubai World in damages. Rewards $27 Trillions.

Tushawazoea wachumia tumbo na ndio huko tunapelekwa. Sahizi ni mwendo wa taifa kuingia vimikataba vya kichawi na kampuni za mafisadi wenye vibaraka nje huko kwa kigezo cha uwekezaji kisha wanakatisha mikataba ili wakienda mahakamani washindwe na serikali iamuliwe kulipa hela instantly.

Hii ni mfano halisi wa Organized Crime.
 
Sio njaa tu.
Ule Mkataba, Yaani IGA ume wakamata wote Serikalini, kuanzia Ibara ya 24-29 zote hizo zimewapa wajibu Serikali, I believe ndio zilizotoa basis za na ya Prof Shivji kusema IGA imekaa upande mmoja, na among the obligations, ni Serikali ya Tanzania, baada ya kusaini IGA kwamba itafanya kila kitu ndani ya Uwezo wake, kuhakikisha Mradi huu haupingwi.

That in its self, ni Kujivua ukuu wa Nchi hivyo basi, I think it is safe for me to say it is an apparent abdication of Sovereign powers by the Government and its agents. Huyu wakili ni Agent.

Sio njaa tu, wameshikwa pabaya na itoshe kusema,ni aibu.
Nakushauri utafute Uzi wa Tanganyika Law Society na kauli yao/zao, wameelezea kipengele kwa kipengele kuhusu mapungufu ya mkataba, makubaliano, MOU n.k
Kuna ukweli kuwa "wameshikwa pabaya" ila sidhani kama wana aibu hawa ndugu zangu.
 
Huyo ndiye Wakili wa Serikali ambaye ni miongoni mwa wale wanaoshindwa na Kesi za Masuluhisho nje.

Yaani Dunia nzima ione kuna kasoro, halafu yeye ndiye anayeiona ni "Proper"?
Kesi ambazo Serikali inashindwa sio sababu ya Mawakili wabovu.


Ni kuwa Serikali inakuwa ndiye imekosea
Mfano kesi ya juzi Serikali yenyewe ndo ilifuta leseni ambayo ilikuwa inamalizika muda wake baada ya mwaka 1
Wangetulia wasirenew
 
Jerry slaa yuko live clouds 360 anaelezea kisheria jinsi IGA ilivyo. Anatetea mkataba wa DPW
 
Jerry slaa yuko live clouds 360 anaelezea kisheria jinsi IGA ilivyo. Anatetea mkataba wa DPW
Hana jinsi na hii ndio sababu:
KIFUNGU CHA 24
KUTORIDHISHWA, LUGHA NA VIAMBATANISHO



1. Nchi Wanachama hazijaonyesha kutoridhishwa na kifungu chochote cha Mkataba huu.
====================
KIFUNGU CHA 25
KUINGIA KWENYE UTEKELEZAJI

1. Mara tu baada ya kutiwa saini kwa Mkataba huu na bila kuathiri wajibu mwingine wowote wa Nchi Wanachama katika Mkataba huu, Nchi Wanachama zitachukua hatua zote za kiutawala na udhibiti ambazo ni muhimu ili kuhakikisha kuwa Shughuli za Mradi wa Mapema zinaweza kufanywa na kutekelezwa kisheria na au kwa niaba ya mmoja au zaidi ya wawekezaji au Kampuni ya Mradi kwa mujibu wa sheria za Tanzania.
_________&_________
2. Serikali ya kila Nchi Mwanachama, ikiwa itahitajika chini ya sheria zao za ndani, ndani ya siku thelathini (30) baada ya kutiwa saini kwa Mkataba huu, itaanza mchakato wa kuridhia Mkataba huu na chombo chake cha kisheria kilichoidhinishwa ipasavyo au chombo cha mahakama ili kufanya hili kuwa ni wajibu wa lazima kwa kila Nchi Mwanachama chini ya Sheria ya Kimataifa.
na
_________&_________
3. Nchi Wanachama zinakubali kwamba masharti ya Mkataba huu na HGAs yatatumika kwa Shughuli zote za Mradi, ikiwa ni pamoja na zile zilizofanywa kabla ya kusimikwa kwa Mkataba huu au HGA husika, inapobidi.
_________&_________
na kusimikwa hapa na kipengele kidogo cha nne au 25(4)
_________&_________

4. Mkataba huu utaanza kutumika baada ya kubadilishana hati za uidhinishaji chini ya sheria za kila Nchi Mwanachama, isipokuwa kwa mujibu wa ibara ndogo ya 1 na 2 hapa juu, ambayo itaanza kutumika baada ya kutia saini Mkataba huu na kila Nchi Mwanachama.

Wanachomoaje?
 
Atakua alipigiwa simu na profesa.
Sijakuelewa, Ulikuwa ukimaanisha Professor wa taaluma gani?
Inakuwa huna uhuru na maamuzi juu ya rasilimali yako.
Kweli kabisa na sioni kwanini aulize swali,kawa maoni yangu, yawezekana ana kejeli tu, na hiyo sio sawa.
Hiyo clause- Article 4(2) katika IGA ni ile ambayo inatakiwa irekebishwe au kunyofolewa, Sababu inaweza leta tafrani na migongano ihuko mbele, husasani kwenye utafasiri wake.
Tutasikia majaji watasema nini.
 
Hana jinsi na hii ndio sababu:
KIFUNGU CHA 24
KUTORIDHISHWA, LUGHA NA VIAMBATANISHO



1. Nchi Wanachama hazijaonyesha kutoridhishwa na kifungu chochote cha Mkataba huu.
====================
KIFUNGU CHA 25
KUINGIA KWENYE UTEKELEZAJI

1. Mara tu baada ya kutiwa saini kwa Mkataba huu na bila kuathiri wajibu mwingine wowote wa Nchi Wanachama katika Mkataba huu, Nchi Wanachama zitachukua hatua zote za kiutawala na udhibiti ambazo ni muhimu ili kuhakikisha kuwa Shughuli za Mradi wa Mapema zinaweza kufanywa na kutekelezwa kisheria na au kwa niaba ya mmoja au zaidi ya wawekezaji au Kampuni ya Mradi kwa mujibu wa sheria za Tanzania.
_________&_________
2. Serikali ya kila Nchi Mwanachama, ikiwa itahitajika chini ya sheria zao za ndani, ndani ya siku thelathini (30) baada ya kutiwa saini kwa Mkataba huu, itaanza mchakato wa kuridhia Mkataba huu na chombo chake cha kisheria kilichoidhinishwa ipasavyo au chombo cha mahakama ili kufanya hili kuwa ni wajibu wa lazima kwa kila Nchi Mwanachama chini ya Sheria ya Kimataifa.
na
_________&_________
3. Nchi Wanachama zinakubali kwamba masharti ya Mkataba huu na HGAs yatatumika kwa Shughuli zote za Mradi, ikiwa ni pamoja na zile zilizofanywa kabla ya kusimikwa kwa Mkataba huu au HGA husika, inapobidi.
_________&_________
na kusimikwa hapa na kipengele kidogo cha nne au 25(4)
_________&_________

4. Mkataba huu utaanza kutumika baada ya kubadilishana hati za uidhinishaji chini ya sheria za kila Nchi Mwanachama, isipokuwa kwa mujibu wa ibara ndogo ya 1 na 2 hapa juu, ambayo itaanza kutumika baada ya kutia saini Mkataba huu na kila Nchi Mwanachama.

Wanachomoaje?
TLS wamejibu vizuri tu, and they have articulated IGA clauses as vague, they raise doubt and show ambiguities let alone being left for speculation or different interpretetion as we have heard from different people and sources, along with contradictions and they (TLS)recommends their total removal.
 
Yakhe, Asubuhi hii, ngoja basi ninywe chai niutafute. Loh!

hasira za nini sasa nimeuliza tu.
😳 She can be grummpy and mean. One thing I know, she can be someones Grandma
 
Back
Top Bottom