Wakili wa Serikali Mayunge: IGA Kama ilikuwa na shida sisi tunaona ipo proper

Wakili wa Serikali Mayunge: IGA Kama ilikuwa na shida sisi tunaona ipo proper

Iko proper hadi pale shauri litakapofika ICSID na isomeke United Republic of Tanzania granted to pay Dubai World in damages. Rewards $27 Trillions.
And that is a hefty sum to pay compared to our GDP and Economy. Just Imagine how long it would take us to pay $27 trillions
Tushawazoea wachumia tumbo na ndio huko tunapelekwa. Sahizi ni mwendo wa taifa kuingia vimikataba vya kichawi na kampuni za mafisadi wenye vibaraka nje huko kwa kigezo cha uwekezaji kisha wanakatisha mikataba ili wakienda mahakamani washindwe na serikali iamuliwe kulipa hela instantly.
You are so right. Ukitizama kulia kushoto mauzito ya mikataba hiyo ni kwenda kuchinjiwa Ulaya au kwenye mahakama zao za nje.
Hii ni mfano halisi wa Organized Crime.
Hakika ndugu.
 
Iko proper hadi pale shauri litakapofika ICSID na isomeke United Republic of Tanzania granted to pay Dubai World in damages. Rewards $27 Trillions.

Tushawazoea wachumia tumbo na ndio huko tunapelekwa. Sahizi ni mwendo wa taifa kuingia vimikataba vya kichawi na kampuni za mafisadi wenye vibaraka nje huko kwa kigezo cha uwekezaji kisha wanakatisha mikataba ili wakienda mahakamani washindwe na serikali iamuliwe kulipa hela instantly.

Hii ni mfano halisi wa Organized Crime.
Upo smart sana Mwamba hao wahuni ndio wanatoa taarifa ya ndege eti ipo Sweden mara Portugal ikamatwe pana madarali Watanzania wanaishi kwa hiyo mbinu uliyoitaja na ni ngumu sana kuwashinda wanatafuta kila mbinu wapate pesa wao sio ishu ya Mkataba ishu ni pesa baada ya Mkataba mbovu kuvunjwa ndio wanaipata...
 
And that is a hefty sum to pay compared to our GDP and Economy. Just Imagine how long it would take us to pay $27 trillions

You are so right. Ukitizama kulia kushoto mauzito ya mikataba hiyo ni kwenda kuchinjiwa Ulaya au kwenye mahakama zao za nje.

Hakika ndugu.
Acha tu haya mambo ukiyafikiria kwa mapana unabaki kustaajabu tu
 
Acha tu haya mambo ukiyafikiria kwa mapana unabaki kustaajabu tu
20141018_MAP004_0.jpg
 
Back
Top Bottom