Wakimbizi wa Kiafrika wapigwa mpaka kifo huko nchini Hispania

Waliokufa na kujeruhiwa hawakufa Hispania - walikufa nchini Moroko wakati walipojaribu kuvunja geti kwenye fensi baina ya Moroko na mji wa Kihispania Mellila.
Polisi iliyowapiga na kukataa usaidizi hawakuwa Wahispania, ilikuwa polisi ya nchi ya Kiafrika na Kiislamu, yaani Moroko.

Naona Hispania ina wajibu pia kwa sababu inasukuma Moroko kuzuia majaribio ya kushambulia fensi ya mpakani kwa kila namna,

Morocco blamed the deaths on a ‘stampede’ as around 2,000 migrants surged towards the 12-meter high razor wire topped border fence.

Sanchez insisted the ultimate blame lay with human trafficking rings that ‘are profiting from the suffering of human beings who only want to seek a better life.’

The UN committee said such tragedies could be avoided ‘if a comprehensive rights-based approach had been incorporated in border policies’.

“We urge the Moroccan and the Spanish Governments to conduct prompt, thorough, independent, impartial and transparent investigations into these deaths and to determine the corresponding responsibilities. In addition, measures should be taken to ensure access to justice for victims and their families.

“The authorities should also provide full reparation for the human rights violations, including breaches of the non-refoulement principle by arbitrary pushbacks,” it added.

The calls echo those of human rights organisations in both Spain and Morocco.

Amnesty International has expressed its “deep concern” over the events at the border.

“Although the migrants may have acted violently in their attempt to enter Melilla, when it comes to border control, not everything goes,” said Esteban Beltrán, the director of Amnesty International Spain.

“The human rights of migrants and refugees must be respected and situations like that seen cannot happen again.”

Amnesty International has expressed its “deep concern” over the events at the border.

“Although the migrants may have acted violently in their attempt to enter Melilla, when it comes to border control, not everything goes,” said Esteban Beltrán, the director of Amnesty International Spain.

“The human rights of migrants and refugees must be respected and situations like that seen cannot happen again.”
 
[emoji848]Au basi nimebadili mawazo, Kill dem all.
 
Ni kweli ila wenye madaraka hawawezi kukubali hilo.
 

Graphic Video Shows African Migrants Being 'beaten And Killed In Spain​

 

Graphic Video Shows African Migrants Being 'beaten And Killed In Spain​

Watu hao walipigwa na polisi ya nchi ya Kiafrika na ya Kisilamu, yaani katika Moroko.

Walipojaribu kuvuka fensi iliyowekwa kuzuia watu kuingia Hispania. Ila walipigwa na kufa katika Moroko wakipigwa na polosi ya Moroko.
 
ukiwalaumu tuu wazungu na wao watakuuliza mbona mugabe alipowanyan'anya mashamba wazungu mlikaa kimyaaaa!kuna wakati raisi wa ughaibuni aliwauliza mbona wakati wazungu wa zimbabwe wananyanyaswa na mugabe mlikomaa na ukimya? huo haukuwa ubaguzi?
mugabe akwa anitwa mpiganaji huku akiiteketeza nchi yake! sisi ndo tulivyo
 
Inasikitisha sana...
usisitikite hii ni injlii:njoo kwangu wote mnao elemewa na mizigo, Nira yangu ni raini na mzigo wangu ni mwepesi. wanakufa kila saa baharini kukimbilia nchi zilimtangaza yesu duniani na kuleta ukristo. wakifika ulaya wanakuta sheria za jamii ni nzuri saaanah, hakuna njaa wala shida ya pesa.
 
Ardhi ngum sana hii, Inahitaj angalau Rangi nyingine ikalie kiti, Hii Green/Yellow unafiki sana.
Congo alipokuwa mkoloni hajatoka ilikuwa bingwa wa kulima mtama na mahindi. walikula na kuuza ulaya. kaja mwafrica kutawala kuna njaa na mama ntilie wengi kupita Ghana na Niger. ingawa kuna madini lakini lumba lao ni kali sana!
 
kituko hao ni team Putin hlf wanaeza kupunguza oxygen ya Ulaya , hii vita imetufanya waafrika tuonekane rangi zetu , na waliofanya huo ujinga sio raia bali ni serikali ila hawawez kuweka open
 
Waafrika tuna shida sana HATUPENDANI tunabaguana waziwazi sababu kubwa ni dini. Kwakuwa anayepigwa tunahisi ni Muislam basi ni sawa tu na kwakuwa anayetenda ni mzungu basi tunaona kama yuko upande wetu(Christian) ana haki ya kufanya hivyo. Chuki hizi zinazunguka pande zote kila mmoja anatamani upande mwingine upate madhara ili akejeli TUMEFIKIA PABAYA SANA.
 
Ukweli ni kwamba waafrika tujenge mataifa yetu, viongozi wasioweza kuweka dira nzuri za maendeleo watolewe madarakani. Kila mmoja achape kazi. Kujiliza liza na kutaka kubembelezwa hakuwezi kuwa solution.
Kujenga mataifa yetu ni muhimu lakini kushabikia wenzetu kuuwawa kikatili ni upumbafu na roho mbaya
 
Hao wakimbizi walikufa Moroko, si Hispania. Kama walipigwa na polisi, ilikuwa polisi ya Moroko, nchi ya Kiafrika na Kiislamu.
Walijaribu kuvunja fensi kati ya Moroko na mji wa Mellila (ambao ni eneo la Hispania kwenye mwambao wa Moroko)
 
Nchi za ovyo Sana hizi , nyingine hazikufaa hata kuitwa nchi , huwa napata hasira kuona hawa wapuuz wanaojiita viongozi wananenepa na kuvimbiwa vitambi huku wananchi wakitopea kwenye extreme poverty and misery .Hivi huwa hawaoni hata aibu wakiwa kwenye mikutano ya kimataifa ?
 
Hahaaa [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] eti kuruka na ungo
 
Na hili ndio tatizo kubwa ubinafsi WA kupumbav Huu ndio unapelekea unequal distribution of the national cake , majitu yakipata nyadhifa ni kufilisi kabisa wengine mfe Tu njaa no body cares
 
Tatizo ni kwamba ..hata hapa tz tunaona JPM alivyo kataa kwenda kwa mabeberu ila viongozi wakiwa wafuasi wa mudi wanasujudia sana mabeberu na watu weupe kama miungu tazama SA100 ...NDIYO MAANA MIMI NASEMAGA SIKU ZOTE, SASA HIVI TZ HAKUNA WAISLAMU BALI KUNA WAISIHARAMU TU....hadi imefikia mabeberu kusema " bora tanzania iongozwe na wafuasi wa mudi " siku zote kuliko wakristo
 
Zamani waafrika walichukuliwa utumwani kwa lazima siku hizi wanajipeleka wenyewe kwa lazima
 
Mimi mwenyewe nimeshangaa yaani watu wanashangilia kabisa waafrica wenzao kuuwawa

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…