Wakina dada msiopaka Makeup nawapeni maua yenu

Watanijua watu wangu wa karibu wamejaa humu jf, sitakuwa comfortable tena ku comment pumba

Na utashangaa wewe ni mmoja wapo tunafahamiana [emoji28]

Sio mbaya ukileta Pm [emoji23]
 
Jf mvurugano mara pap nimetuma picha kwa bro, yaani humu kukaa kwa password sana tuna fake I’d [emoji23][emoji23][emoji23]

Wala usihofu mkuu, nikiwa hata kaka yako mbona nitafurahi tu Hamna Shida kabisa yaani swadakta tu [emoji23], labda nitakuwa kaka wa mchongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…