Sio mbaya ukileta
Watanijua watu wangu wa karibu wamejaa humu jf, sitakuwa comfortable tena ku comment pumba
Na utashangaa wewe ni mmoja wapo tunafahamiana [emoji28]
Kwa hiyo huleti?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu niache
Watanijua watu wangu wa karibu wamejaa humu jf, sitakuwa comfortable tena ku comment pumba
Na utashangaa wewe ni mmoja wapo tunafahamiana [emoji28]
Kwa hiyo huleti?
Sio mbaya ukileta Pm [emoji23]
Nitalifikiria [emoji28]
Jmn cute pm nako nifikiriwe na kunaniliu sasa si utanipiga kibuti kabisa [emoji1787]
🤣🤣🤣Jf mvurugano mara pap nimetuma picha kwa bro, yaani humu kukaa kwa password sana tuna fake I’d [emoji23][emoji23][emoji23]
Jf mvurugano mara pap nimetuma picha kwa bro, yaani humu kukaa kwa password sana tuna fake I’d [emoji23][emoji23][emoji23]
Ndiyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyo lazima??
Wala usihofu mkuu, nikiwa hata kaka yako mbona nitafurahi tu Hamna Shida kabisa yaani swadakta tu [emoji23], labda nitakuwa kaka wa mchongo
Nitalitazamia [emoji23]
Fake photo hiyo haifaiView attachment 2658887
Kula chuma hicho [emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12] unanitafutia balaa, kuna mwenzio alikuwa ananiponda humu alivyoniona live katangaza uchumba
Fake photo hiyo haifai
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nataka niifanyie maombezi[emoji23][emoji23][emoji23] we mbona msumbufu?! Picha yangu ya nini??
Nataka niifanyie maombezi