Wakina dada msiopaka Makeup nawapeni maua yenu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wewe anakuachage kwa mfano??! Yaani akikuona mnaanza tena Tom na Jerry
Mimi tena uduguu wako nitasemwa mpk kwenye uzi wa chakula, ujenzi hadi ufugaji kote
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa mnoooo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] coutry wako anajijua yee mwenyewwe. Khaaah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] coutry wako anajijua yee mwenyewwe. Khaaah

Michalii ya chuga ndivyo ilivyo [emoji23][emoji23][emoji23]

Penzi limekaa kimitego tukikorofishana tu uduguu ujiandae kutapamba moto humu
 
Tunapokea, japo mi sijanyoa. Ila kwenye make-ups hunikuti.

Although nimepaka mara 2 nilikua nasimamia harusi halafu natokea kama bi harusi 😂
 
Yalishasja, tusonge mbele. Nyuma tusirudi[emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wewe anakuachage kwa mfano??! Yaani akikuona mnaanza tena Tom na Jerry
Mimi tena uduguu wako nitasemwa mpk kwenye uzi wa chakula, ujenzi hadi ufugaji kote
Cute wife mrembo matata, kila nachotaka napata
Kwako nimeshadata, fanya fasta ndoa inafata
Sijui umenilisha limbwata, umenijaa moyoni
Sisikii siambiwi na sioni, taswira yako machoni
Mguu wa bia, kiuno laini siachi kukusifia
Sijali wanaokuchukia, day n night nitakupigania
Michano na mistari nakulilia, kilio umekisikia
 

[emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji8][emoji8] [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
 
[emoji7][emoji7]
wooooow'...!!
thanks for the love sweetheart, aiseeeh' huwa tunapendeza kiukweli, na ka way ketu pembeni ka kishkaji..!![emoji2960]
Wassup sista!! It's been a long time, hasn't it? Glad to see u're still around
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu kweli sema sijapaka bleach shemeji yako hapendi anasema utakuwa km wacheza show wa Koffi
Bleach wapo zinawapendeza na pia wapo zinawachukiza. Hapa inabidi ujijue utatokaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…