Wakina Dada/ Wanawake ni vitu gani huwa mnaviangalia haraka mnapokutana na Wanamume?

Wakina Dada/ Wanawake ni vitu gani huwa mnaviangalia haraka mnapokutana na Wanamume?

Eti Bantu Lady Watanzania kufanya mazungumzo mengi ya starehe, mahusiano na kungonoka ukilinganisha na mambo ya sayansi na teknolojia, uchumi etc ni ishara ya watu kuwa na akili ndogo?

Yoda
Yaani bado unataka kufahamu kama watanzania tuna akili nyingi dunia ya leo? Kwani toka 1961 tumevumbua nini? Ikiwa hata viwanda tuliviua, acha tuendelee na story za kuswikana basi siku zisogee, tukitoka hapa ni yanga na simba, then diamond na Ali kiba mengine atajua mungu wao
 
Maneno ndo huwa wanasikiliza

Siku moja nasafiri alikuwepo gentleman mmoja ila alipoanza kuimba ile nyimbo ya

Diamond inasema "kibane kibane mwisho kiliwe " that was too shit wanawake walimshusha vyeo vyote Asap.

Good looking and being smart upstair you can attract the pretty woman.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Yaani bado unataka kufahamu kama watanzania tuna akili nyingi dunia ya leo? Kwani toka 1961 tumevumbua nini? Ikiwa hata viwanda tuliviua, acha tuendelee na story za kuswikana basi siku zisogee, tukitoka hapa ni yanga na simba, then diamond na Ali kiba mengine atajua mungu wao
1. Nyumbu pale RUVU.
2. Gari ya Masoud Kipanya.
3. Gobore
 
Eti Bantu Lady Watanzania kufanya mazungumzo mengi ya starehe, mahusiano na kungonoka ukilinganisha na mambo ya sayansi na teknolojia, uchumi etc ni ishara ya watu kuwa na akili ndogo?

Yoda
Sidhani, kuna watu wana akili kubwa ila mazungumzo yao ni ngono sana. Nafikiri akili ya mtu inapimwa kwa vitu vingi. Sijui kama nimejibu sawa Mkuu Kiranga
 
🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌 luv umemaliza kila kitu. Mimi napenda tu kuwaangalia kwenye zipu. Maana kuna wanaodidindisha, basi unajua huyu kibamia huyu wa kati, yule mandingo. Ubusy tu siku hizi, unatunyima kuona vitu vinavyovimba bila hamira 😊
Hivi kumbe una maneno makali namna hii🤣
 
Wasalaam Wadau huu uzi nimefikiria kuuanzisha ili kupata maoni ya kina Dada/Wanawake wa humu Jamiiforums. Kama kichwa cha huu uzi kinavyojieleza Dada zangu ni nini hasa au kitu gani huwa unakiangalia na kukiweka kwenye mawazo yako haraka sana? Pale unapokutana na Mwanaume au Kijana kwa mara ya kwanza ? Iwe ni miadi, mualiko au sherehe au tukio lolote linalokukutanisha na Mwanamume/Kijana kwa mara ya kwanza ?.
Nimejaribu kuorodhesha baadhi ya vitu hapa muweze kutuambia hapa. Je ni kipi kati ya hivi nilivyoandika hapa chini huwa ni cha kwanza kukiweka akilini na kukitilia maanani ?

1. Manukato
2. Mikono na kucha
3. Mtindo wa nywele
4. Viatu
5. Usoni
6. Tabasamu
7. Muonekano
8. Mavazi
Usafi/umaridadi/utanashati ni muhimu kwa kila binadamu.

Kikubwa Jiamini kijana na binti atakuelewa kama ana akili za kutosha, usijetafuta Escort ya 10 Rose Noire ili tu binti akukubali,ishi ndani ya uwezo wako kama ni manukato/mavazi yaendane na vile unaweza kumudu gharama yake,vingine usivyoweza ukimuigizia mwisho wa siku mtakuja kutufungulia thread ya kukutana na "jangiri wa kike"
 
Sidhani, kuna watu wana akili kubwa ila mazungumzo yao ni ngono sana. Nafikiri akili ya mtu inapimwa kwa vitu vingi. Sijui kama nimejibu sawa Mkuu Kiranga
Kwa hivyo inawezekana kabisa wana akili kubwa ila wanapenda sana kubaki kwenye mazungumzo haya kwa makusudi tu, hawataki kuitumia akili yao kubwa kwenye mambo mengine mengi?

Yoda
 
Kuna mke wa mtu nae anakoment hapa, ooh me msafi, ananukia,,,, kumbe hapo alipo ananyonyesha ni mzembe kushindia madela, ananuka maziwa ukimuuliza bra umevaaa lini hakumbuki kisa eti ni mzazi ,,,, ! Ke wengi ni wachafu kuliko wanaume basi tu
 
Back
Top Bottom