Wakina mama hujisikia vibaya watoto wao wa kiume wasiposhughulika na wanawake

Wakina mama hujisikia vibaya watoto wao wa kiume wasiposhughulika na wanawake

Mkuu ni dhahiri mama yako anakuangalia kwa jicho la tofauti, ama amesikia story ambazo hazipendezi kuhusu wewe...unaviashiria vingi vinavyompa wasi wasi akaamua aanze na hilo la mwanamke...mtoto wa kiume aliyekamilika mzazi hawezi kuwa na hofu wala kutaka ajihusishe na wanawake akiwa na umri mdogo

Sisi wanaume ndio tuna hizo tabia za kusakazia watoto wetu wa kiume kutafuna mabinti japo indirect
 
Kuna siku nipo chumbani Mama akawa nje rafiki yake akapita wakaanza kupiga stori, yule rafiki akampa taarifa Mama yangu kuwa kijana wake amepata mtoto wa pili, ni mtu niliyekua sawa ki umri lakini mie nilikua bado nasoma sekondari, jamaa hakuendelea na shule.

Mama sasa alichosema.."..bora wako, mie huyu wangu sijui hata kama akipewa mwanamke anaweza kumfanya chochote.."
Sikuwahi kusikika na kashfa yeyote wala kujihusisha na mambo hayo zaidi ya masomo, kazi nakupumzika nyumbani tu wakati wa likizo.

Ikaniachia maswali, inamaana wazazi kumbe kuna vitu vinawasumbua sana bila sie kujua mawazo yao? Bahati nzuri hakujua kwamba niliwasikia.

Siku hizi akija kunitembelea anapocheza na wajukuu zake hua nakumbuka ile kauli naishia kutabasam tu!
 
Labda anaogopa asijekuwa amezaa Hiki kiumbe
IMG_20191023_094447.jpg
 
Kuna dingi wa jamaa yetu mmoja alikua mtoto wake anagegeda demu ndani yani nyumbani kwao basi dingi kamaindi sasa wakati anafoka akasema si ungeenda hata gest, alafu akapozi kidogo akatucheki alafu kageuka akampa mwana buku tano kaamwambia nenda gest alafu usirudie huu ujinga
 
Kuna dingi wa jamaa yetu mmoja alikua mtoto wake anagegeda demu ndani yani nyumbani kwao basi dingi kamaindi sasa wakati anafoka akasema si ungeenda hata gest, alafu akapozi kidogo akatucheki alafu kageuka akampa mwana buku tano kaamwambia nenda gest alafu usirudie huu ujinga
Hahaha aisee
 
Sasa mtoto wa kiume ushabalehe alafu mama haoni mishe mishe lazima apatwe na was wasi huenda mwanae shoga
 
Duu nakumbuka siku moja dingi alinisakizia binti mmoja akaniambia changamka umtafune huyo acha ufala

Ikabidi nikaze buti nikamfukuzia hadi nikamgonga
Murungu!
🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭
 
Au umbo lako ni kama huyu bwana harusi hapa ndio maana mama yako ana mashaka na wewe
 
Ulikuwa na umri gani? Kama ulikuwa umemeliza masomo na una miaka kuanzia 20 mama yako kukuambia hivyo sio ajabu

Ila kama ndio ulikuwa shule ya msingi ama sekondar kisha mama anakushinikiza ukatafute wanawake, huyo mama yako alikuwa ni shangingi, stori kama hizo mnaongea na watu wa rika lako sio mama yako
Halafu atakutoleaje mfano wa rafiki yako kufunguliwa kesi kisa wanawake? anataka umuige? mbona ameoza sana kimaadili?
sorry kwa kum judge
Itoshe tu kusema hujui..hujamwelewa mtoa mada, hujakua kwenye mazingira aliyo ekezea mtoa mada.. Ama umelelewa kwenye familia ya 'mom and Dady...

Yaan mzaz ana concern na afya mtoto wake wa kumzaa unasema n ushangingi ? Au asubiri mpaka tatizo liote mzizi ndio aje atibu ????
 
Mkuu ni dhahiri mama yako anakuangalia kwa jicho la tofauti, ama amesikia story ambazo hazipendezi kuhusu wewe...unaviashiria vingi vinavyompa wasi wasi akaamua aanze na hilo la mwanamke...mtoto wa kiume aliyekamilika mzazi hawezi kuwa na hofu wala kutaka ajihusishe na wanawake akiwa na umri mdogo

Sisi wanaume ndio tuna hizo tabia za kusakazia watoto wetu wa kiume kutafuna mabinti japo indirect
Issue sio kusikia story wala nn..mzaz anajua fika kwenye umri fulan nategemea tabia ABC kwa huyu mtoto..mbaya zaid inaweza ukute mko watoto wa kiume hata watatu hapo home...agemate..wenzio n wazee wa matukio ...wewe hata fununu tu hakuna...kwann mzazi asiwe na wasiwasi ? Sio kwamba anataka ujihusishe kwenye mapenzi ukiwa na umri mdogo..anachotaka kujua n kujihakikishia huyo kiumbe alie mbeba tumbon miez 9 ni dume kweli au ? Na kama kuna shida itatuliwe mapema
 
Back
Top Bottom