Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
kweli mungu ni mwema
Mungu tena?
Hujui kuwa mimi ni agnostic ikija kwenye hayo masuala?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweli mungu ni mwema
duh! basi samahani sanaMungu tena?
Hujui kuwa mimi ni agnostic ikija kwenye hayo masuala?
Jirani alikuja kushtaki Kwa Baba (RIP) kwamba mdogo wake Baba anamahusiano na bint yake hivyo yeye hapendi na amkanye mdogo wake, Baba akamjibu kwamba "nashukuru kwa taarifa Mimi na shemeji yake tulikuwa tunajadili sana.hili Jambo sasa Bora umenitoa wasiwasi" naomba mkanye bint yako asiendeleze mahusiano na bwana mdogo
Wewe ndio zezeta, unawaza eti kumuhusisha mwanao na ngono akiwa katika umri mdogo eti ndio unamuepusha na ushogaHakuna ulicho elewa hapo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]True say mkuu mimi mama yangu nilikuwa naona anatabasamu kila akiniona Nimesimama mahala na msichana, ata kama ni sehemu ya hatari,
Lakini Nakumbuka Mara zote alikuwa akinionya mara tu baada ya kurejea nyumbani
Namnukuu"Mwanangu watoto wa watu hawa angalia kuna magonjwa na Jera"
Hiyo jera alikuwa akiizungumza kila aliponikuta nimesimama na Mtoto wa Jakaya Enzi hizo(wakusoma),miaka 30 ikiwa on fire.
Cc Zero IQ
Ulipanic bibieWewe ndio zezeta, unawaza eti kumuhusisha mwanao na ngono akiwa katika umri mdogo eti ndio unamuepusha na ushoga
Upumbavu wa kiwango cha lami
Nimewahi kusikia wamama wakiongea stendi huyo mmoja alikua anamuhadithia mwenzie kuwa hamuelewi mtoto wake wa kiume kwamba hata akipita mdada mwenye tako jamaa hageuki [emoji23][emoji23][emoji23] sasa anashangaa jamaa anashida gani, hatamani au sio riziki. Jamani msiwape wazazi wenu stress.
Mi mwenyewe sitaki ufala kabisaDuu nakumbuka siku moja dingi alinisakizia binti mmoja akaniambia changamka umtafune huyo acha ufala
Ikabidi nikaze buti nikamfukuzia hadi nikamgonga
Kwahiyo mama yako HANA NIDHAMU kiasi cha kutaka uwape watu mimba hovyo hovyo!?
Na Ukaanza kumla beki tatu AusioMimi kwa kweli nilikuwa silent killer,sikuwa na skendo yeyote mtaani coz nilikuwa nachukuwa mademu mbali na home,ila walikuja kunistukia mienendo yangu kwa beki tatu,alikuwa anafurahi sana uwepo ,akianza kupika utasikia "mo" njoo
California love