mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,253
- 22,843
Nikini wetu?Murungu!
[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikini wetu?Murungu!
[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Ei baba wako akakuendia mmbora!!!!!Nikini wetu?
Huyu ni mwanaume kweli mbona kafungashaLabda anaogopa asijekuwa amezaa Hiki kiumbe
View attachment 1241565
Embu mwangalieHuyu ni mwanaume kweli mbona kafungasha
instagram.com
Sijamuelewa?Itoshe tu kusema hujui..hujamwelewa mtoa mada, hujakua kwenye mazingira aliyo ekezea mtoa mada.. Ama umelelewa kwenye familia ya 'mom and Dady...
Yaan mzaz ana concern na afya mtoto wake wa kumzaa unasema n ushangingi ? Au asubiri mpaka tatizo liote mzizi ndio aje atibu ????
Hakuna ulicho elewa hapoSijamuelewa?
Concern ya afya ya mtoto wake, yaani mtoto anasoma shule ya msingi amwambie akaanze ngono useme hiyo ndio concern ya afya yake? ambao hawajaanza ngono shule ya msingi hawana afya?
Na hilo tatizo unalozungumzia ni lipi ambalo angeweza kulitibu kwa kumshinikiza aanze ngono katika umri mdogo?
Ahahaaaaaa....! We jamaaa fala sana mpaka dingi akuchunguzie wa kumgonga?. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...! Nimecheka sana “changamka mtafune huyo”Duu nakumbuka siku moja dingi alinisakizia binti mmoja akaniambia changamka umtafune huyo acha ufala
Ikabidi nikaze buti nikamfukuzia hadi nikamgonga
duh ametuliaLabda anaogopa asijekuwa amezaa Hiki kiumbe
View attachment 1241565
Kwa hiyo mpaka (leo hii) una umri gani? Umemchapapo mtu kitu?. Au bado unawaogopa?yawezekana ni kweli kabisa
zamani hizo kabla ya kutoka kwenye milki ya wazazi nilikua mtu wa ndani sana
napenda kulala kupita maelezo hadi leo ni mtu wa hivyo,mimi huwa nikitoka shule nakula,
nafanya homework nloachiwa na baba (baba ni teacher) nikimaliza ni usingizi mpk jioni
muda wakwenda kusoma,ratiba yangu ni hiyo hiyo
Jmosi na Jpili huwa no homework wala kusoma ni kucheza tv game nk,ila mimi bana ni KITANDA
kUNA SIKU MAMA akarudi mchana akauliza CONTROLA yuko wapi dada wakazi akamwambia
yupo ndani kwake kalala,nakumbuka ile siku mama alikuja nitoa ndani akaniamsha akaanza nigombeza
kwanini nalala lala kwanini siendi kucheza na wenzangu,basi akanishika mkono akatoka namimi nikiwa
na wenge langu la usingizi tukaenda kabatini akatoa raba akaniambia haya vaaa,nikavaa nilipomaliza tukatoka
Akanipeleka hadi uwanjani mtaani kuna uwanja watoto wa mtaa huo hupenda kweli kucheza basi
kufika pale akaniombea NAMBA Akawambia wahakikishe nacheza na nisiruhusiwe kurudi nyumbani
kama mpira haujaisha...(nilichukia sana ile siku)
TABIA NI KAMA NGOZI
sikuishia hapo niliendelea hivyo hivyo na tabia yangu ya kulala lala ila baadae (leo hii) ndio naelewa kwanini
mama alikua hataki nikae ndani japo hakuwahi kabisa niambia hayo maneno hapo juu kuhusu wanawake nk
Madingi wa kidigitalAibu nimeona Mimi
siwaogopi najitahidi sanaKwa hiyo mpaka (leo hii) una umri gani? Umemchapapo mtu kitu?. Au bado unawaogopa?
Moja ya hofu kuu ambayo huwaandama wazazi wa kiafrika ni ile inayohusu kuzaa mtoto wa kiume halafu aje kuwa shoga au hanithi.
Ndio maana wamama huwa wanakikisha kile kikamba cha kitovu cha mtoto mchanga wa kiume, hakidondokei maeneo jirani na uume wake wakihofia imani potofu inayohusu masuala ya uhanithi.
Kwa mantiki hiyo inawezekana ulipokuwa mchanga kitovu chako kilidondokea kwenye eneo nililotaja hapo juu. So anachofanya bi mkubwa ni kukuuliza ili apate uhakika kama yaliyomo yamo. Bi mkubwa wako yupo sahihi.
Haha ilikuwa kitambo wakati nabalehe saiv umri ushanitupa mkonoAhahaaaaaa....! We jamaaa fala sana mpaka dingi akuchunguzie wa kumgonga?. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...! Nimecheka sana “changamka mtafune huyo”
EkinipimaEi baba wako akakuendia mmbora!!!!!
bi mkubwa anaulizia ufanisi wa kiwandaMoja ya hofu kuu ambayo huwaandama wazazi wa kiafrika ni ile inayohusu kuzaa mtoto wa kiume halafu aje kuwa shoga au hanithi.
Ndio maana wamama huwa wanakikisha kile kikamba cha kitovu cha mtoto mchanga wa kiume, hakidondokei maeneo jirani na uume wake wakihofia imani potofu inayohusu masuala ya uhanithi.
Kwa mantiki hiyo inawezekana ulipokuwa mchanga kitovu chako kilidondokea kwenye eneo nililotaja hapo juu. So anachofanya bi mkubwa ni kukuuliza ili apate uhakika kama yaliyomo yamo. Bi mkubwa wako yupo sahihi.
kweli mungu ni mwemaDah!
Kama ni hivyo basi mama yangu huwa anajisikia vizuri sana.
Maana ‘body count’ yangu ni ndefu teh teh teh.....