Wakina mama hujisikia vibaya watoto wao wa kiume wasiposhughulika na wanawake

Wakina mama hujisikia vibaya watoto wao wa kiume wasiposhughulika na wanawake

Dah mimi familia yetu ni kazi kazi... Madingi ndo usiseme kukusakazia hata kama gari halina mafuta ilikuwa unawekewa ukawinde mbuzi uzitafune ten ukute kuna kamanzi anakaelewa anakwambia oyaaa yule mtoto mzuri vp unamuogopa?

But unapewa taadhari kumbuka kuvaa kiroba.
 
yawezekana ni kweli kabisa

zamani hizo kabla ya kutoka kwenye milki ya wazazi nilikua mtu wa ndani sana

napenda kulala kupita maelezo hadi leo ni mtu wa hivyo,mimi huwa nikitoka shule nakula,

nafanya homework nloachiwa na baba (baba ni teacher) nikimaliza ni usingizi mpk jioni

muda wakwenda kusoma,ratiba yangu ni hiyo hiyo

Jmosi na Jpili huwa no homework wala kusoma ni kucheza tv game nk,ila mimi bana ni KITANDA

kUNA SIKU MAMA akarudi mchana akauliza CONTROLA yuko wapi dada wakazi akamwambia

yupo ndani kwake kalala,nakumbuka ile siku mama alikuja nitoa ndani akaniamsha akaanza nigombeza

kwanini nalala lala kwanini siendi kucheza na wenzangu,basi akanishika mkono akatoka namimi nikiwa

na wenge langu la usingizi tukaenda kabatini akatoa raba akaniambia haya vaaa,nikavaa nilipomaliza tukatoka

Akanipeleka hadi uwanjani mtaani kuna uwanja watoto wa mtaa huo hupenda kweli kucheza basi

kufika pale akaniombea NAMBA Akawambia wahakikishe nacheza na nisiruhusiwe kurudi nyumbani

kama mpira haujaisha...(nilichukia sana ile siku)

TABIA NI KAMA NGOZI

sikuishia hapo niliendelea hivyo hivyo na tabia yangu ya kulala lala ila baadae (leo hii) ndio naelewa kwanini

mama alikua hataki nikae ndani japo hakuwahi kabisa niambia hayo maneno hapo juu kuhusu wanawake nk
 
Itoshe tu kusema hujui..hujamwelewa mtoa mada, hujakua kwenye mazingira aliyo ekezea mtoa mada.. Ama umelelewa kwenye familia ya 'mom and Dady...

Yaan mzaz ana concern na afya mtoto wake wa kumzaa unasema n ushangingi ? Au asubiri mpaka tatizo liote mzizi ndio aje atibu ????
Sijamuelewa?
Concern ya afya ya mtoto wake, yaani mtoto anasoma shule ya msingi amwambie akaanze ngono useme hiyo ndio concern ya afya yake? ambao hawajaanza ngono shule ya msingi hawana afya?

Na hilo tatizo unalozungumzia ni lipi ambalo angeweza kulitibu kwa kumshinikiza aanze ngono katika umri mdogo?
 
Sijamuelewa?
Concern ya afya ya mtoto wake, yaani mtoto anasoma shule ya msingi amwambie akaanze ngono useme hiyo ndio concern ya afya yake? ambao hawajaanza ngono shule ya msingi hawana afya?

Na hilo tatizo unalozungumzia ni lipi ambalo angeweza kulitibu kwa kumshinikiza aanze ngono katika umri mdogo?
Hakuna ulicho elewa hapo
 
Duu nakumbuka siku moja dingi alinisakizia binti mmoja akaniambia changamka umtafune huyo acha ufala

Ikabidi nikaze buti nikamfukuzia hadi nikamgonga
Ahahaaaaaa....! We jamaaa fala sana mpaka dingi akuchunguzie wa kumgonga?. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...! Nimecheka sana “changamka mtafune huyo”
 
yawezekana ni kweli kabisa

zamani hizo kabla ya kutoka kwenye milki ya wazazi nilikua mtu wa ndani sana

napenda kulala kupita maelezo hadi leo ni mtu wa hivyo,mimi huwa nikitoka shule nakula,

nafanya homework nloachiwa na baba (baba ni teacher) nikimaliza ni usingizi mpk jioni

muda wakwenda kusoma,ratiba yangu ni hiyo hiyo

Jmosi na Jpili huwa no homework wala kusoma ni kucheza tv game nk,ila mimi bana ni KITANDA

kUNA SIKU MAMA akarudi mchana akauliza CONTROLA yuko wapi dada wakazi akamwambia

yupo ndani kwake kalala,nakumbuka ile siku mama alikuja nitoa ndani akaniamsha akaanza nigombeza

kwanini nalala lala kwanini siendi kucheza na wenzangu,basi akanishika mkono akatoka namimi nikiwa

na wenge langu la usingizi tukaenda kabatini akatoa raba akaniambia haya vaaa,nikavaa nilipomaliza tukatoka

Akanipeleka hadi uwanjani mtaani kuna uwanja watoto wa mtaa huo hupenda kweli kucheza basi

kufika pale akaniombea NAMBA Akawambia wahakikishe nacheza na nisiruhusiwe kurudi nyumbani

kama mpira haujaisha...(nilichukia sana ile siku)

TABIA NI KAMA NGOZI

sikuishia hapo niliendelea hivyo hivyo na tabia yangu ya kulala lala ila baadae (leo hii) ndio naelewa kwanini

mama alikua hataki nikae ndani japo hakuwahi kabisa niambia hayo maneno hapo juu kuhusu wanawake nk
Kwa hiyo mpaka (leo hii) una umri gani? Umemchapapo mtu kitu?. Au bado unawaogopa?
 
Moja ya hofu kuu ambayo huwaandama wazazi wa kiafrika ni ile inayohusu kuzaa mtoto wa kiume halafu aje kuwa shoga au hanithi.

Ndio maana wamama huwa wanakikisha kile kikamba cha kitovu cha mtoto mchanga wa kiume, hakidondokei maeneo jirani na uume wake wakihofia imani potofu inayohusu masuala ya uhanithi.

Kwa mantiki hiyo inawezekana ulipokuwa mchanga kitovu chako kilidondokea kwenye eneo nililotaja hapo juu. So anachofanya bi mkubwa ni kukuuliza ili apate uhakika kama yaliyomo yamo. Bi mkubwa wako yupo sahihi.

Kivipi wakati hata mtoto mdogo huwa anadindisha vizuri
 
Moja ya hofu kuu ambayo huwaandama wazazi wa kiafrika ni ile inayohusu kuzaa mtoto wa kiume halafu aje kuwa shoga au hanithi.

Ndio maana wamama huwa wanakikisha kile kikamba cha kitovu cha mtoto mchanga wa kiume, hakidondokei maeneo jirani na uume wake wakihofia imani potofu inayohusu masuala ya uhanithi.

Kwa mantiki hiyo inawezekana ulipokuwa mchanga kitovu chako kilidondokea kwenye eneo nililotaja hapo juu. So anachofanya bi mkubwa ni kukuuliza ili apate uhakika kama yaliyomo yamo. Bi mkubwa wako yupo sahihi.
bi mkubwa anaulizia ufanisi wa kiwanda
 
Jirani alikuja kushtaki Kwa Baba (RIP) kwamba mdogo wake Baba anamahusiano na bint yake hivyo yeye hapendi na amkanye mdogo wake, Baba akamjibu kwamba "nashukuru kwa taarifa Mimi na shemeji yake tulikuwa tunajadili sana.hili Jambo sasa Bora umenitoa wasiwasi" naomba mkanye bint yako asiendeleze mahusiano na bwana mdogo
 
Back
Top Bottom