Sinyora ile ya kispaniola or ni just jina tuuukabisa mkuu ifike mahali tuwaheshimu hawa watu sio kuwadhalilisha kiasi iki yan alf hao hao ndo wakwanza kukushauri muache huyo mwanaume akufai fanya mambo yako toka kbs mtot mmoja sio dhambi alf leo mtu anakuja kudhalilishwa hivi hapana wanataka wanawake waendlee kuvumilia ujinga na manynyaso kisa kuogpa kuwa single mother.
Mkuu unamoyo sana,yani alikuacha then akarudi tena na bado ukaendelea kumpendaIla single mother aisee wana changamoto sana. Mimi nilipotezewa kwa muda mrefu alikuwa hana hata habari na mimi. Nikaona its OK kwa sababu maisha ni yake na maamuzi ni yake. Baada ya miaka kupita nikakutana naye tena. Nipo cool tu na kila mtu na wala sina chuki, akaniletea tena mazoea na hatimaye akanitongoza na kuniambia ananipenda kwa dhati.
Kidume nikaona huyu binti aje mbona imekuwa kwa ghafla hivyo. Baadae kuja kugundua kumbe tayari ameshazalishwa na mshikaji ambaye alimfanya hawezi kunifikiria mimi. Nikajifikiria nikasema huyu binti ananifanya Mimi ni mjinga(?)
Akatoa samahani nyingi na machozi ya hapa na pale na ahadi lukuki kwamba atakuwa muaminifu kwangu. Nikaona siyo mbaya nitabeba majukumu. Kwa ghafla jamaa aliyemzalisha akasema anataka arudi wayamalize kwa wazazi, naye anataka kumlea na kumuona mtoto wake. Drama zikaendelea mwisho wa siku nami nikawa miongoni mwa hiyo drama yao. Baadaye hizo issue na jamaa yake mara Maza wa jamaa aliyemzalisha anapiga simu kuhusu mjukuu wake. Nikaona daaaamn! Jamaa mara anamsumbua binti anampigia pigia simu anatumia kigezo mtoto wake. Mara mama wa huyo mshikaji anataka kumuona mjukuu.
Nikamwambia mama lengo langu na ahadi zangu zilikuwa na nia njema lakini hii hali kadri inavyozidi kwenda inaniumiza sana. Hii drama nayo inaonekana ni endelevu na moyo wangu sidhani kama utakuwa na uwezo wa kuvumulia hiyo mikiki. Nikamwambia tuachane. Alining'ang'ania sana, binafsi nikamwambia siwezi.
Tangu niachane naye mpaka sasa hivi yapata ni miezi 7. Nilimpenda lakini hiyo mikiki yake kiukweli hapana. Ila yeye mpaka sasa hivi ananipigia simu na kunitumia msg. Sijibu chochote katika hivyo na wala sijam' block.
Ila single mother aisee wana changamoto sana. Mimi nilipotezewa kwa muda mrefu alikuwa hana hata habari na mimi. Nikaona its OK kwa sababu maisha ni yake na maamuzi ni yake. Baada ya miaka kupita nikakutana naye tena. Nipo cool tu na kila mtu na wala sina chuki, akaniletea tena mazoea na hatimaye akanitongoza na kuniambia ananipenda kwa dhati.
Kidume nikaona huyu binti aje mbona imekuwa kwa ghafla hivyo. Baadae kuja kugundua kumbe tayari ameshazalishwa na mshikaji ambaye alimfanya hawezi kunifikiria mimi. Nikajifikiria nikasema huyu binti ananifanya Mimi ni mjinga(?)
Akatoa samahani nyingi na machozi ya hapa na pale na ahadi lukuki kwamba atakuwa muaminifu kwangu. Nikaona siyo mbaya nitabeba majukumu. Kwa ghafla jamaa aliyemzalisha akasema anataka arudi wayamalize kwa wazazi, naye anataka kumlea na kumuona mtoto wake. Drama zikaendelea mwisho wa siku nami nikawa miongoni mwa hiyo drama yao. Baadaye hizo issue na jamaa yake mara Maza wa jamaa aliyemzalisha anapiga simu kuhusu mjukuu wake. Nikaona daaaamn! Jamaa mara anamsumbua binti anampigia pigia simu anatumia kigezo mtoto wake. Mara mama wa huyo mshikaji anataka kumuona mjukuu.
Nikamwambia mama lengo langu na ahadi zangu zilikuwa na nia njema lakini hii hali kadri inavyozidi kwenda inaniumiza sana. Hii drama nayo inaonekana ni endelevu na moyo wangu sidhani kama utakuwa na uwezo wa kuvumulia hiyo mikiki. Nikamwambia tuachane. Alining'ang'ania sana, binafsi nikamwambia siwezi.
Tangu niachane naye mpaka sasa hivi yapata ni miezi 7. Nilimpenda lakini hiyo mikiki yake kiukweli hapana. Ila yeye mpaka sasa hivi ananipigia simu na kunitumia msg. Sijibu chochote katika hivyo na wala sijam' block.
[emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]wakaolewe na waliwazalisha[emoji1] [emoji1] ,, mkuu naona unagusa nyoyo za watu,,, wapo single maza wengi sana wanatafuta watu wa Kuolewa nao humu,,,
Sent using Jamii Forums mobile app
Nlikuomba msamaha ili tusibishane, ili usinilazimishe niandike mambo ambayo yatakuadhirisha mbele ya wana JF (walio comment katika uzi wako huu), ila haukutaka kunisikiliza, na ukaamua kunitukana nakuniita FOOLISH.You're foolish, Quran inaelekeza waislamu waoe wanawake bikra,then hiyo Aya unatafsiri Kama unavyotaka wewe,Basi kachukue mashoga maana wanaweza wakawa na faida katika Maisha yako
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mwanaume rijali mwenye akili timamu hawezi kuoa single mother,hao wanaowaoa single mother ni wavulana tu ambao hawana upeo wa mbali
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah! Ila sasa imebaki kuwa history.Mkuu unamoyo sana,yani alikuacha then akarudi tena na bado ukaendelea kumpenda
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu namuoneo huruma bint huyo.
Na wew nawe unaonekana ulikua lover boy tu, hujui hata unaowa lini...
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mpumbavu aliyekufa kibogoyo,aliyekuwa hajui kusoma wala kuandika huwa anasikilizwa na vilaza wenzake Kama wewe,kwa hiyo unaoa single mother kisa Mohammed alioa single mother, Foolish, StupidNlikuomba msamaha ili tusibishane, ili usinilazimishe niandike mambo ambayo yatakuadhirisha mbele ya wana JF (walio comment katika uzi wako huu), ila haukutaka kunisikiliza, na ukaamua kunitukana nakuniita FOOLISH.
Sikutaka kuandika chochote zaidi, ila umenilazimisha.
Nakupa mfano hai mmoja tu, kwanza, huku nikusubiri "Upapatuke zaidi/Ujikanyage zaidi /Udanganye zaidi".[emoji52] [emoji53] [emoji18]
*** Sawda bint Zam'a (Aliekua mke wa mtume Muhammad S.A). Alikua miongoni mwa wanawake wa kwanza aliehama kwenda/kutoka Abyssinia (Ethiopia) kwa njia ya mwenyezi mungu. Na alikua miongoni mwa wacha-mungu wazuri sana (Mengine anajua mungu zaidi).
Mume wake wa kwanza alikua akiitwa "As-Sakran ibn Amr" aliezaa nae mtoto mmoja wa kiume (akiitwa "Abdur Rahman ibn Sakran"). Sawda livyofiwa na mume wake, baada ya muda ndio Mtume Muhammad S.A alipomuoa na akawa mke wake.
Kwa kauli hio yako uliosema,
*** Je, Mtume Muhammad S.A alienda kinyume na maandiko (Hayo unayosema yapo katika Qur'an, ambayo WEWE PEKE YAKO ndio unayoyajua) kwa kuoa SINGLE MOTHER (Mwanamke mwenye mtoto)????
*** Je, aliofanya Mtume Muhammad S.A sio mifano ya kuigwa na waislam dunia nzima???
*** Je, unajua sababu ya kuruhusiwa na baraka zake kwa kuoa SINGLE MOTHERS/DIVORCED/WIDOWS??? (Kwaajili ya kuwastiri wasiteseke, wasiadhirike, wapate utulivu, wasipotee njia kwa kushawishiwa, na mengine mengi).
Sikushauri uijibu hii comment yangu (hayo majibu baki nayo moyoni kwako), ukitaka tuendelee kubishana utasababisha nifunguke nisiotaka kusema.
### Swala la mimi au wewe kua MPUMBAVU, tuwaachie wana JF humu wataamua.
Huo mfano hau- relate na mada tunayoongelea , Foolish,darasa la saba ulifaulu kweli?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Una lugha ngumu sana brother.
Bila shaka utakuwa unafanana sana na mshua wako. Hongera sana.
Ni kisa cha kweli.
Jirani yangu ana watoto kabla ya ndoa wawili wa kike, kila mmoja na mama yake. Akaoa mke mwingine, amezaa nae watoto watatu, wakiume wawili na wakike mmoja.
Mama aliwakataa kuishi na watoto wakufikia, baba akakomaa kibishi bishi japo watoto walikuwa wanapigwa na baba kwa makosa yasiyo eleweka kumridhisha mke. Wale watoto wameajiriwa, ila wamepigwa marufuku kukanyaga nyumbani na mama yao wa kambo.
Mwezi uliopita siri imefichuka, mtoto wa kwanza wa kiume na wa pili wa kike sio watoto wa kwenye ndoa, mama amewajengea watoto wake nyumba mbili kwa siri. Mume amesha jua kila kitu, amehama nyumbani.
Je, una uhakika uliye nae ni baba yako? Vipi mama yako akakuonyesha baba mwingine tofauti na huyo, hautawasifia masingo maza kuwa wana akili? Maana utakuwa umelelewa na mtu ambaye sio baba yako.
Tuwaheshimu wanawake kwa nafasi zao. Ni magumu mengi wanayapitia.
Itapendeza zaidi ikiwa haujawahi kulala na binti yeyote,unasubiria siku ukioa binti bikra na wewe bikra, siku mkikutana mtakuwa mna bikiriana tu.
Shwaini zako...
Mimi nimesema sioi single mother Sasa nashangaa watu wananitolea mapovu, wanataka kunipangia mwanamke wa kuoa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16], Foolish Sana hawaMapovu mengi sana humu ndani ila mimi naona wote mpo sawa, atakaye oa single mother au asiye na mtoto kutokana na yale aliyoyapitia ktk maisha. Kuna changamoto nyingine tena za kuumiza kwa single parent hasa wa kike wanakuwa wapo kwy dimbwi la mawazo.Mtu kama kakutana na mikiki ya kuoa single mother akaogopa mwacheni akatafute asiye na mtoto na msichana kutokuwa na mtoto sio kwamba hakuwahi shika mimba ila ni maamuzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sahihi kaa na msimamo wako maana hii wanataka kuweka ruksa na kufanya wasichana wengi wawe single mother kbda ya kuolewa tena wanatetea wakisema bora hao kuliko aliyetoa mimba kuna uhakika gani huyo aliyezaa hakutoa hapo awali? Maisha ni maamuzi na hili swala la kulea mtoto peke ako linaathiri maisha ya mama hadi ya mtoto. Mimi ni mtoto wa single parent najua athari zake.Mimi nimesema sioi single mother Sasa nashangaa watu wananitolea mapovu, wanataka kunipangia mwanamke wa kuoa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16], Foolish Sana hawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Umemaliza kila kitu kaka mkubwaUpo sahihi kaa na msimamo wako maana hii wanataka kuweka ruksa na kufanya wasichana wengi wawe single mother kbda ya kuolewa tena wanatetea wakisema bora hao kuliko aliyetoa mimba kuna uhakika gani huyo aliyezaa hakutoa hapo awali? Maisha ni maamuzi na hili swala la kulea mtoto peke ako linaathiri maisha ya mama hadi ya mtoto. Mimi ni mtoto wa single parent najua athari zake.
Hitimisho
Wale single parent endeleeni kulea watoto maana ni zawadi kutoka kwa MUNGU tena watoto hao huwa wanakuja kuwa baraka sana ktk jamii na wale mnaowaona hawajazaa mnajua walitoa sana tulieni muombe MUNGU awape waume ili muache kudanga. Haya yote yanatokea baada ya kuvunja amri (kuzini)
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupe muhtasari kidogoMimi pia ni muanga wa hii kityu kinachoitwa "bikra".
Honestly sitaki hata kusikia....
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole inaonekana na wewe ni hand caper. 1(+1)Mjinga hawezi kuelewa hivi, ni mwanaume mpuuzi tu ndio atachukua ushauri wa kitoto namna hii. Yaani watu wamependana washindwe kuoana kisa kuna mvulana Jf kasema?
Sent using Jamii Forums mobile app
Jee! kuhusu zile tafiti ambazo zimefanywa na idara ya ustawi wa jamii [kwenye ndoa zenye matatizo] zinazoonyesha kuwa karibu asilimia 40 ya watoto kwenye ndoa hizo siyo wa baba halisi?Habari zenu.
Nasema hivi. Mwanaume yeyote rijali hawezi kuoa mwanamke single mother. Ninaposema single mother namaanisha wewe mwanamke uliyezaa kabla ya kuolewa.
Na ninaposema rijali namaanisha mwanaume mwenye akili sawa sawa au bara bara anayefikiri kwa usahihi asiyeendeshwa na mihemko bali hutumia akili yake kutafakari mambo. Hii ina maana mwanaume chizi au mwenye ugonjwa wa akili sio rijali. Ili uwe rijali ni lazima uwe na akili timilifu. Ushahidi ni kwamba mwanaume hanithi anapungukiwa pia akili. (Sitaki kulizungumzia hili) na ukishapungukiwa akili wewe sio rijali.
Ukweli ni kwamba mama zetu ( sisi wanaume) wanafurahi zaidi kama utampa taarifa kuwa unamuowa bint ambaye hajawahi kuzaa. Achilia mbali bikra ambayo hata hivyo wanatamani uwaambie unamuowa bikra. Ni heri uwaambie unamuowa bint uliyezaa naye wewe mwenyewe mtoto wake wa kwanza kuliko kuwaambia wamama eti....eti...unamuowa Lilian single mother!!! Nyoyo husononeka ingawa hawawezi kusema wazi wazi. Utasikia tu mama akisema "Kama umempenda na mnapendana sawa" Tafakari sana haya maneno kijana unayetaka kumuowa single mother.
Ni uzembe wa hali juu sana kuzaa kabla ya ndoa. Ni mwanamke ndiye unayeamua ushike mimba au usishike. Sisi wanaume huwa tunatandika tu.....sasa kama you don't take care about yourself....who else will? Halafu unamlaumu mwanaume kakutia mimba na hajakuowa.
Asikulaghai kwa maneno matamu yoyote yale eti beba mimba kabla hajakuowa. Usikubali. Na mwisho wa siku uamuzi unao wewe wa kubeba mimba au lah. Sasa mnakwama wapi? Be smart.
"Asiponioa ntalea mwenyewe!" Huo ni uzembe.....tunajua mna vipato vyenu....mna pesa zenu, mnayamudu maisha....mnaweza kulea watoto wenu. Nikuulize, hivi kuna raha gani kulea mtoto peke yako? Mnapojitosheleza kiuchumi na kijamii (kutokuwa single mother), machaguo yanaongezeka. Hamuoni? Basi someni. Baadaye mnasema kuolewa bahati. Kuolewa sio bahati. Kuolewa mna haki wala msiite bahati....we unadhani wanangu mi ntalea na nani? R.I.P Ngwea
Jamaa akuzalishe huko halafu mi nije nikuoe? Acheni masihara nyie. Mi hakuna niliyemzalisha bila ndoa nikampiga chini sina sababu ya kuowa single mother.
Na wewe single mother uliyekaa chini ukaona ulikosea wapi na sasa umekuwa RAIA mwema, good luck. Ukimpata anayeeleweka mwambie akuoe. Kijana haukatazwi kuoa single mother. Ukimpata oa......yajayo ni yako.
Hakuna mwanaume RIJALI anayeweza kuowa single mother, kwa sababu za kimaadili. Period.
Meraki