Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Haya mjuje kwa wingi tumsaidie ndugu yetu amejitahidi sana kuomba ban.

Tumripoti weeee mpaka apate zawadi.

Mi nimeshaanza. Wewe je unasubiri niniii.
 
UKWELI MCHUNGU...Mimi nimeoa MWAKA JANA...na NIMEZALISHA wanawake 3 tofauti NJE YA NDOA,,na Hao niliowazalisha nao WAMEOLEWA NA WANAUME wengine....lakini ni kama Nina WAKE 4 ,,sababu bado NAWATAFUNA wale MAMA WATOTO WANGU,,niliowazalisha ingawa wapo kwa WAUME ZAO......na MUDA WOWOTE nikiwataka NAWABOMOA.....single mothers NOMA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu.


Ni uzembe wa hali juu sana kuzaa kabla ya ndoa. Ni mwanamke ndiye unayeamua ushike mimba au usishike. Sisi wanaume huwa tunatandika tu.....sasa kama you don't take care about yourself....who else will? Halafu unamlaumu mwanaume kakutia mimba na hajakuowa.

Asikulaghai kwa maneno matamu yoyote yale eti beba mimba kabla hajakuowa. Usikubali. Na mwisho wa siku uamuzi unao wewe wa kubeba mimba au lah. Sasa mnakwama wapi? Be smart.

"Asiponioa ntalea mwenyewe!" Huo ni uzembe.....tunajua mna vipato vyenu....mna pesa zenu, mnayamudu maisha....mnaweza kulea watoto wenu. Nikuulize, hivi kuna raha gani kulea mtoto peke yako? Mnapojitosheleza kiuchumi na kijamii (kutokuwa single mother), machaguo yanaongezeka. Hamuoni? Basi someni. Baadaye mnasema kuolewa bahati. Kuolewa sio bahati. Kuolewa mna haki wala msiite bahati....we unadhani wanangu mi ntalea na nani? R.I.P Ngwea

Meraki
Hapo wadada huwa wanachagua kubet. Mi huwa nawaambia hata dada zangu ambao bado hawajaolewa, wasijaribu kubet katika kuolewa. Mimba haimfanyi mwanaume akuoe. Usibebe mimba ya mtu hajakuoa, kitakachofuata ni majuto.
Wasichana wanajifariji kuitwa single mom, hakuna faraja yeyote kulea mtoto peke yako. Mtoto anastahili malezi ya wote wawili.
 
Kama singo moms wanapewa mimba na mbuzi ni halali kuwasema ila kumbuka ni wanaume haohao mashababi na malijali ndo walio simamia ukucha kwenye show mpka mimba zikaingia na kwanini alaumiwe mwanamke wakati kwenye mtombano walikua wote....mnasema oooh wanatabia chafu nyie je ndo kusema watakatifu sana??? Me nadhani ungehamasisha wanaume kutumia mipira wakati wa mechi kama mtu huna future nae well condom hamziwez na kudinyana peku mnapenda so ni jukumu Lenu mnaodinyana kuchukua tahadhari juu ya kunasa mimba....na lawama asibebe mwanamke pekeake as if alijifinger na kujijaza mimba mwenyewe ....wengi umu mnajitia oooh hatuoi single maza lkn kila cku ao masingo maza wanaolewa vzuri tu...everything happen for a reason...
Trust me, kuna wadada wanasema condom zinawaumiza, and yet hatumii contraceptives. Wakati huo huo kahamishia makazi kwa mtoto wa kiume ambaye hajamuoa na pengine hana mpango huo. Ujue wanaume tunafkiria tofauti sana, yaweza kuwa ni tunachukulia kuwa ni regular sex tu lakini mdada ashawaza kuwa mke....hapo ndo tunapokataana. Besides, ni makosa kumuoa mtu sababu tu umezaa nae.
 
UKWELI MCHUNGU...Mimi nimeoa MWAKA JANA...na NIMEZALISHA wanawake 3 tofauti NJE YA NDOA,,na Hao niliowazalisha nao WAMEOLEWA NA WANAUME wengine....lakini ni kama Nina WAKE 4 ,,sababu bado NAWATAFUNA wale MAMA WATOTO WANGU,,niliowazalisha ingawa wapo kwa WAUME ZAO......na MUDA WOWOTE nikiwataka NAWABOMOA.....single mothers NOMA

Sent using Jamii Forums mobile app
Subiri mapovu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom