Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
no hakuna shida wala matatizo ya kudate singo maza,almuradi ufahamu kuwa ana watoto,ambao wana umuhimu kwake na kwa taifa,ujiadjust kwa ukweli huo kwa kumpa sapoti ya muda na raslimali fedha,aweze kuhudumia watoto wake ambayo ni kazi ya kizalendo pia kwani watoto hao wana umuhimu wake kwake,na kwa taifa
Ni lazima ua he ubinafsi unapodeti na wsnawake wa aina hii na pia kwa kumsapoti unamuweka kwenye right frame of mind ya kungonoka na wewe kama lote
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee kudate single mother inahitaji uwe na roho ya chuma kweli kweli.
Wamejaa lawama, gubu za kiwango cha juu, hawana Jema kabisa. Kila kitu mtoto wangu mtoto wangu. And always hawana shukrani. [emoji3525][emoji3525][emoji3525][emoji3525]
Wanaume wa kundi hilo japo sio wote wanatakiwa kufungwa mawe na kutupwa bahariniMsiwalaumu tu hao single mother,lawama zingine muwape na hio minjemba miharifu iliyowaachia watoto
bora umesema mkuu,wamekalia kuwasemea mbovu hao singo mama bila kuangalia upande wa pili wa shilingi.mnawaumizaWanaume wa kundi hilo japo sio wote wanatakiwa kufungwa mawe na kutupwa baharini
Tupa kule akamletee gubu aliemzalishaAisee kudate single mother inahitaji uwe na roho ya chuma kweli kweli.
Wamejaa lawama, gubu za kiwango cha juu, hawana Jema kabisa. Kila kitu mtoto wangu mtoto wangu. And always hawana shukrani. [emoji3525][emoji3525][emoji3525][emoji3525]
Hata kudate na single father ni ngumu vile vileAisee kudate single mother inahitaji uwe na roho ya chuma kweli kweli.
Wamejaa lawama, gubu za kiwango cha juu, hawana Jema kabisa. Kila kitu mtoto wangu mtoto wangu. And always hawana shukrani. [emoji3525][emoji3525][emoji3525][emoji3525]