Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Mtazamo wangu kwenye hili swala ni kama ifuatavyo.Mahusiano yoyote yanawezeshwa/yanafanikishwa na mawasiliano.Hawa 'single mothers wamekua wakiendeleza mawasiliano na wapenzi wao wa zamani wakidai wanawasiliana kwasababu ya mtoto.Hapo ndipo changamoto ilipo.

Tofauti ya 'single mother' na mdada asiye na usichana wake au aliyetoa ujauzito ni mtoto.Hivyo kama mtu anaogopa/hataki kuoa 'single mother' kutokana na sababu nyingine yoyote tofauti na mtoto(==》mawasliano na mpenzi wa zamani);basi inabidi atumie sababu hizohizo kukaa mbali na asiye na bikira.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
shida ni mawasiliano na baba wa mtoto tu mengine hayana sababu maana mwanaume alikutelekeza na mtoto ukapata mwanaume mwingine anakulea wewe na mtoto then yule wa zamani unamuona bora tena. Hili ndilo linakera wanaume

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenye "bikira" wapo?
Hao hao wanao waponda masingo maza ndio waharibifu wakubwa wa mashimo madogo (watoto wa shule), na ndio wenye tamaa na shimo "jirani".
 
Still there is a difference,Bond ya mtoto Ni kubwa Sana Sana Sana na inahusisha wahusika waliomzaa mtoto Pamoja na ndugu wa pande zote mbili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
 
You have nailed it!!!!! Nipe number yako ya m pesa nikutumie 20k ya mwaka mpya,yaani hapo wanaume wawili tunakuwa tumeoa mwanamke mmoja halafu yule aliyemzalisha mara ya Kwanza ndo anakuwa Ana credit anakula bure tuuu,ndo maana mwanaume rijali mwenye akili timamu hawezi kuoa single mother

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ndo foolish,Biblia na Quran zinaelekeza kila mwanaume aoe mwanamke bikra,Sasa sijui wewe unamuongelea Mungu yupi

Sent using Jamii Forums mobile app

Wewe unaongelea Biblia na Quran ipi?

Boya we.

Quran haijawahi kuelekeza tofauti na Mitume waliotumwa kutukomboa kwa kutuelekeza njia yenye Nur!

Mtume Muhammad (S.A.W) alimkuta Khadija(R.A.A) akiwa bikra?

Ulitaka attention kupitia thread yako, and it just shows how dumb you are.
 
Wenye "bikira" wapo?
Hao hao wanao waponda masingo maza ndio waharibifu wakubwa wa mashimo madogo (watoto wa shule), na ndio wenye tamaa na shimo "jirani".
Wapoooo!!! February naenda kumuoa mtoto Amanda bikra Ana miaka 19, pembeni nishatia mimba na kuzalisha single mother watatu, wanaume hoyeeeeee!!!!!![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiniletee habari za huyo mpumbavu aliyeoa binti wa miaka 12, Foolish,Stupid woman

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi sijali,ilimradi single mother awe mzuri,Hata kama ana watoto watatu,
 
Kama ww umeweza kumsamehe yeye ni nani asiwez kumsamehe alie mzalisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…