Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Mwambie atakuelewa zaidi madamu alimkataa na hamna mawacliano atakuelewa
 
Ukitaka kuoa oa mwanamke ambaye anaufurahisha moyo wako

Kwamfano Kuna watu hawapend wanawake weupe Sasa utamlazmishaje mtu Kama huyo aoe cheupe? Kila mtu afanye kitu ambacho roho yake itampendeza

Ila mm single mother no Tena big no...

Msimamo wangu sio wako
 
Simamia msimamo wako mkuu... Hao hawafai hata kidogo!!
 
Hata wewe sio rijali. Rijali gani unachamba mange haoni ndani
 
Kati yangu mimi na wewe tuthibitishe nani ni mtoto wa first year. Maana naona una wazimu unaokuingia vibaya.


Huyo jamaa ni kichaa unapoteza muda wako kumjibu. Nilidhani utamtambua mapema
 
Kweli halafu hawa wavulana ni waoga wa maisha wanachokimbia sio single mother wanakimbia majukumu ni wakina uchebe hawa ila mi naona mwanamke ni mwanamke akikupenda mkapendana weka ndani watoto lea

Sent using tekino


Nenda kwa kuhani au shekhe wako muulize naomba sifa za mwanaume aliyelaaniwa. Then rudi uisome comment yako
 
HUYU HAPA
Mwanaume anayehitaji msaidizi wa maisha anahitajika - JamiiForums
 
Duh single mother lazi.wanayo

But sio wote wana tabia mbaya..je na waliowazalisha (wanaume) hawafai kuoa

Mimi nadhani kikubwa ni upendo...kama wote mtapendana sioni ubaya hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sababu kubwa uloeleza ni kwa kuwa mama yako mzazi awezi kufurahishwa haha basi sawa

Ila unaweza usimuoe single maza ukaowa mama wa marehemu kadhaa na bado mkafika kwenye hiyo ndoa mayai hakuna tena kizazi kishaharibika, Muombe tu Mungu akupushie majanga ila usiwaKashifu wadada ambao wamekutana na hiyo hali mana hakuna mwanamke anapenda kuzaa alafu alee mwenyewe.

Alafu vipi wadada single inafaa waolewe na single father? Umekuwa binafsi zungumzia upande wa pili pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…